4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Mumgu hapigi sim but lipo jambo kuanzia 2019 na litakua asema yeye na imekua
Ndugu yangu mahakama pekee ndiyo inatakiwa kuthibitisha hilo. Hii ni michezo ya kisiasa tu, Mathew amfanya kazi kubwa ya kujenga chama, alijiandaa miaka mitano kushinda, hawezi kujidhalilisha namna hiyo.Dah huu ssa ndo unaitwa upofu. Yaani mtu katoa rushwa kabisa na imethibitika, lakini eti bado anatetewa. CCM ndo inayoonekana imemfanyia mchezo, basi inaonekana huko CDM watu wote ni malaika hakuna binadamu.
Bado sijapata mantiki ya hii hoja.
Yaani amtangaze mshindi kivipi wakati kura zitapigwa na kuhesabiwa mbele ya mawakala wa vyama shiriki?!!
Tuliposema CCM ifute vyama vyote vingine ibaki yenyewe tulikuwa na maana kubwa. Kwa tamaa yao ya madaraka na vyeo wanatengeneza sumu kubwa huku chini ambayo itaangamiza taifa na utaifa wetu.
Wapo wengi wanashangilia upuuzi mwingi ambao unaendelea pasipo kutathmini athari zitakazofuatia.
Siasa zinazoendelea zitatutenganisha upendo na udugu wetu vinaelekea kuzimu sasa.
Huu ujinga hauingii akiliniBado sijapata mantiki ya hii hoja.
Yaani amtangaze mshindi kivipi wakati kura zitapigwa na kuhesabiwa mbele ya mawakala wa vyama shiriki?!!
Kwani 6 wa Morogoro, na 17 wa majimbo mengine ya Tanzania, wametangazwaje wakati kura hazija pigwa?
Kosa la ccm halihalalishi la Suleiman mathewRushwa za CCM video tunazo TAKUKURU mmewaachia CCM wamalize wenyewe.
Wapokee form waendelee na tuhuma zao mpaka mahakama ithibitisheUnaongea upumbavu halafu unajiona una akili. Waliposema watamfikisha mahakamani unahisi wanaenda kuthibitisha kitu gani?
Yaani bora hata huko CCM kuna wajinga lakini huko Chadema kuna mazuzu.
Je baada ya hapo nini kitatokea?Usiwe na hofu, vyama vitafutika tuu, pamoja na chama cha Mbowe.
Hizi dhambi wanazojichotea zitakuja kuwarudi wao, watoto wao na vizazi vyao. Wajue Mungu yupo na anaonaWakristo huamini kwamba Mungu akitaka kukudondosha hukutia kwanza upofu, unakuwa unafikiri unaona kumbe huoni! Ndicho kinatokea sasa kwa CCM. Kama ulivyoandika hapa, huyu mtu ambaye hata hajathibishwa na NEC ampatie rushwa DED kwa ajili ya kumtangaza kushinda?
Yawezekana anajiamini kuwa angepata kura nyingi lakini hangetangazwaBado sijapata mantiki ya hii hoja.
Yaani amtangaze mshindi kivipi wakati kura zitapigwa na kuhesabiwa mbele ya mawakala wa vyama shiriki?!!
Hivi hawa Takukuru wameshindwq kukamata ccm walivyo kuwa wanatoa na kupokea rushwa wakati wa kura za maoni wanamkamata mgombea wa chadema asirudishe fomu ili NAPE apite bila kupingwa!miss zomboko, CHADEMA ni sumu kwa Taifa letu.
Labda Taifa lako hapo gheto kwako lakini kwa Taifa la Tanzania chadema ni mbolea katika usitawi wa Nchimiss zomboko, CHADEMA ni sumu kwa Taifa letu.
Takukuruccm ni Tawi la CCM hiloSometime hii takukuru kama inatumika vile