Kilianza kama kipele sasa limekua jipu makolo yamewaponza shoga zakeBaadhi ya Vigogo waliopita pale Tff walijikuta wako mahakamani kwa makosa ya utakatishaji fedha ilianza maskara kama hivi.
Msomali ataisoma nambaKilianza kama kipele sasa limekua jipu makolo yamewaponza shoga zake
Takukuru wakisha fika ujue TRA wapo apo wanafanya kazi sambanba ili kuangalia kama kuna jinai imetendeka.Sasa hapo ndio itafahamika, natamani na mkaguzi huru nae apatikane basi shughuli iishe.
Moto utawakaKama ni kweli Baadhi ya Vigogo waliopita pale Tff walijikuta wako mahakamani kwa makosa ya ubadhilifu na utakatishaji fedha ilianza maskara kama hivi.
Mpaka Viongozi wa Tff walipo gundua kuwa Tff ni taasisi ya umma walishachelewa.
Msomali wa Yanga piaMsomali ataisoma namba
Hapo siyo Yanga tena.Utopolo hajawahi shinda kesi bana