Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,583
- 188,799
Aisee! Mnataka jamaa anyongwe kabisa nini?
wapi imetokea, Sabaya yupo Polisi?Dunia simama nishuke!!!
Yaani yule mwanaume wa Hai, leo amechuchumalishwa!!!!!!
Wakili msomi Jebra Kambole amesema Ole sabaya ama apelekwe mahakamani au aachiliwe lakini Takukuru kuendelea kumshikilia kwa siku kadhaa sasa ni kinyume cha sheria na katiba.
Mzee Mgaya anasema Takukuru waweke wazi tuhuma dhidi ya DC Ole sabaya vinginevyo wananchi wenye mapenzi mema watahisi kijana huyu mzalendo anaonewa kwa sababu alimdhibiti Mbowe.
Jumaa kareem!
Swali fikirishi sana. Na endapo atapatikana na hatia, watendaji wakuu wa vyombo vya usalama kwenye wilaya/mkoa aliokuwepo wachukuliwe hatua.Sasa wakati anafanya jinai zote hizo vyombo vilikuwa wapi?
Upo dunia ipi mkuu?
Vilikuwa mfukoni kwa gaidi namba moja magufuliSasa wakati anafanya jinai zote hizo vyombo vilikuwa wapi?
Pumbafu kwenye yale mashitaka sita kuna sehemu wamesema amelala na wanawake 40?Hivi Babu Seya alifungwaje vile. Binadamu ni wabaya wanaweza kununua mpaka minor wakutolee ushahidi wa uongo. Yaani Sabaya alale na wanawake 40 na wote watokee kutoa ushahidi?!
Sawa lakini tuendelee
Aanze kulia kwa jicho lingine. Aache lile la kwanzaMadaraka yamemponza.Atamkumbuka aliekuwa anampa kiburi.
Kumbe unajua kidogo kuhusu sheria, sasa mbona uzi wako kama umetolewa na asiyejua.Ignorantia Juris Non Excusant! Due diligence ulifanya? Au unadhani nchi inaenda kiholela? Uliwahi kufahamu kitu kinaitwa proceeds of Crimes?
Tunywe mtori nyama zipo chini, kuwa Mpole!
Mkuu umeshasahau mapema hivi. Kuna chombo gani cha dola kingeweza kufanya lolote kwa mteule wa shujaa wa Afrika?Sasa wakati anafanya jinai zote hizo vyombo vilikuwa wapi?
Huyu anafanya surveyBwashee unauliza jibu...
Hivi Babu Seya alifungwaje vile. Binadamu ni wabaya wanaweza kununua mpaka minor wakutolee ushahidi wa uongo. Yaani Sabaya alale na wanawake 40 na wote watokee kutoa ushahidi?!
Sawa lakini tuendelee
Akae ndani miaka 6 kusubiria ushahidi kukamilika kwanzaMwisho wa siku utakuta hana hatia tuhuma zilikuwa za kubambikiwa tu ...serikali imeshindwa na haina ushahidi sijui mtasemaje
Unaweza kuta vyombo vya hbr vinatupa presure tu wekeni hadharani ana tuhuma gani hawasemi