JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Rushwa katika Taasisi za Kidini ipo hasa katika Uchaguzi wa Viongozi. Wanaoenda kugombea ni watu wanaotoka katika Jamii ambayo inaelekeza kwamba huwezi kuchaguliwa bila kutoa Hongo, hivyo analazimika kutoa hela ili achaguliwe.
Wakati huo huo Mgombea mwenza naye hupata taarifa kuwa Mwenzako anatoa hela, usipotoa hela hupiti, naye anatoa hela.
Viongozi au watoa Huduma katika Taasisi za Kidini wanapojihusisha na Vitendo vya Rushwa huweza kusababisha migawanyiko ambayo hukwamisha na kurudisha nyuma harakati za kutimiza malengo na Miradi ya Taasisi husika.
Aidha, Waumini wanaweza kugawanyika kati ya wale wanaounga Mkono na wale wanaopinga Vitendo vya Rushwa, na hivyo kusababisha Ugomvi na Migogoro.
Wakati huo huo Mgombea mwenza naye hupata taarifa kuwa Mwenzako anatoa hela, usipotoa hela hupiti, naye anatoa hela.
Viongozi au watoa Huduma katika Taasisi za Kidini wanapojihusisha na Vitendo vya Rushwa huweza kusababisha migawanyiko ambayo hukwamisha na kurudisha nyuma harakati za kutimiza malengo na Miradi ya Taasisi husika.
Aidha, Waumini wanaweza kugawanyika kati ya wale wanaounga Mkono na wale wanaopinga Vitendo vya Rushwa, na hivyo kusababisha Ugomvi na Migogoro.