TAKUKURU mchunguzeni Mbunge wa Hai, Saashisha Mafuwe

Kwayu

JF-Expert Member
Nov 8, 2007
499
92
Mbunge wa Hai SAASHISHA MAFUWE na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha uduru wanatuhumiwa kuongwa kiasi cha shilingi 70,000,000/= na Mrusi aitwaye ALEX au ALTEZA, ili kutengenezea mizengwe muwekezaji wa Makoa Farm Mjerumani aitwaye Elizabeth ili mkataba wake na chama cha ushirika cha Uduru uvunjwe kabla ya muda wake ili shamba hilo apewe mrusi Altezza.

Mkataba wa mama huyo na chama cha ushirika unategemewa kwisha mwaka 2029. Mara kadhaa mbunge amesimama bungeni akishawishi serikali kuvunja mkataba huo hii ni kwa sababu ya maslahi yake binafsi.

Wanakijiji wa Uduru Machame tunataka TAKUKURU wamchunguze SAASISHA MAFUWe na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha Uduru.
 
Mbunge wa Hai SAASHISHA MAFUWE na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha uduru wanatuhumiwa kuongwa kiasi cha shilingi 70,000,000/= na Mrusi aitwaye ALEX au ALTEZA, ili kutengenezea mizengwe muwekezaji wa Makoa Farm Mjerumani aitwaye Elizabeth ili mkataba wake na chama cha ushirika cha Uduru uvunjwe kabla ya muda wake ili shamba hilo apewe mrusi Altezza.
Mkuu Kwayu, kwanza kabisa asante kwa taarifa hii, sisi watu wa habari, tunaiita ni news tip ya kuifanyia habari za uchunguzi, yaani an investigative journalism, na kuja na kitu kamili. Hivyo kama una ushahidi usiotia shaka wa haya unayoyasema, usiishie tuu kuleta humu jf pekee, peleka kunako husika, hoja zako zifanyiwe kazi, tena siku hizi reporting is made simple through online reporting and you don't have to give out your details.
Mkataba wa mama huyo na chama cha ushirika unategemewa kwisha mwaka 2029. Mara kadhaa mbunge amesimama bungeni akishawishi serikali kuvunja mkataba huo hii ni kwa sababu ya maslahi yake binafsi.
Mbunge ni Mwakilshi wa wananchi, hivyo akisimama kupinga jambo lolote au kupigia kelele issue yoyote inayohusisha wananchi, hauwezi kuwa ni kwa maslahi binafsi unless uyaainishe.

It's good tukijua mkataba huo ni wa muda gani na unahusiana na nini, isije kuwa huyo mama wa Kijerumani ni mjukuu wa Karl Peters na amewafanya Uduru kama alichofanya babu yake Carl Peters kwa Sultan Mangungo wa Msovero, then ni kitu ambacho hakikubaliki, tueleze faida za mkataba huo ili na sisi media tumsaidie kuwaelimisha umma faida za Mama Mjerumani huyo ili afike 2029 na ikibidi aongezewe.
Wanakijiji wa Uduru Machame tunataka TAKUKURU wamchunguze SAASISHA MAFUWe na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha Uduru.
Naunga mkono hoja tena wassiishie kumchunguza Saashisha tuu bali hata huyo Mama Mjerumani, nani alimleta, ilikuwaje akapata huo mkataba, alitoa nini na kwa nani kuwezeshwa na hadi wanakijiji wa hapo Machame wanafaidikaje na uwepo wa mkataba huo na Mama Mjerumani, compared to Mrusi Alex na hiyo asali kidogo tuu ya milioni 70 aliolambisha, Mjerumani akipigwa chini na akapewa Mrusi Alex, si ni mabomba ya Udaru yatatoka maziwa na asali na 2025 yule naniliu wa hapo atarejea kule naniliuni ?.

Thanks for this, very good tip to work on.
P
 
Mkuu Kwayu, kwanza kabisa asante kwa taarifa hii, sisi watu wa habari, tunaiita ni news tip ya kuifanyia habari za uchunguzi, yaani an investigative journalism, na kuja na kitu kamili. Hivyo kama una ushahidi usiotia shaka wa haya unayoyasema, usiishie tuu kuleta humu jf pekee, peleka kunako husika, hoja zako zifanyiwe kazi, tena siku hizi reporting is made simple through online reporting and you don't have to give out your details.

Mbunge ni Mwakilshi wa wananchi, hivyo akisimama kupinga jambo lolote au kupigia kelele issue yoyote inayohusisha wananchi, hauwezi kuwa ni kwa maslahi binafsi unless uyaainishe.

It's good tukijua mkataba huo ni wa muda gani na unahusiana na nini, isije kuwa huyo mama wa Kijerumani ni mjukuu wa Karl Peters na amewafanya Uduru kama alichofanya babu yake Carl Peters kwa Sultan Mangungo wa Msovero, then ni kitu ambacho hakikubaliki, tueleze faida za mkataba huo ili na sisi media tumsaidie kuwaelimisha umma faida za Mama Mjerumani huyo ili afike 2029 na ikibidi aongezewe.

Naunga mkono hoja tena wassiishie kumchunguza Saashisha tuu bali hata huyo Mama Mjerumani, nani alimleta, ilikuwaje akapata huo mkataba, alitoa nini na kwa nani kuwezeshwa na hadi wanakijiji wa hapo Machame wanafaidikaje na uwepo wa mkataba huo na Mama Mjerumani, compared to Mrusi Alex na hiyo asali kidogo tuu ya milioni 70 aliolambisha, Mjerumani akipigwa chini na akapewa Mrusi Alex, si ni mabomba ya Udaru yatatoka maziwa na asali na 2025 yule naniliu wa hapo atarejea kule naniliuni ?.

Thanks for this, very good tip to work on.
P
👏👏
 
Mbunge wa Hai SAASHISHA MAFUWE na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha uduru wanatuhumiwa kuongwa kiasi cha shilingi 70,000,000/= na Mrusi aitwaye ALEX au ALTEZA, ili kutengenezea mizengwe muwekezaji wa Makoa Farm Mjerumani aitwaye Elizabeth ili mkataba wake na chama cha ushirika cha Uduru uvunjwe kabla ya muda wake ili shamba hilo apewe mrusi Altezza.

Mkataba wa mama huyo na chama cha ushirika unategemewa kwisha mwaka 2029. Mara kadhaa mbunge amesimama bungeni akishawishi serikali kuvunja mkataba huo hii ni kwa sababu ya maslahi yake binafsi.

Wanakijiji wa Uduru Machame tunataka TAKUKURU wamchunguze SAASISHA MAFUWe na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha Uduru.
 
Mbunge wa Hai SAASHISHA MAFUWE na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha uduru wanatuhumiwa kuongwa kiasi cha shilingi 70,000,000/= na Mrusi aitwaye ALEX au ALTEZA, ili kutengenezea mizengwe muwekezaji wa Makoa Farm Mjerumani aitwaye Elizabeth ili mkataba wake na chama cha ushirika cha Uduru uvunjwe kabla ya muda wake ili shamba hilo apewe mrusi Altezza.

Mkataba wa mama huyo na chama cha ushirika unategemewa kwisha mwaka 2029. Mara kadhaa mbunge amesimama bungeni akishawishi serikali kuvunja mkataba huo hii ni kwa sababu ya maslahi yake binafsi.

Wanakijiji wa Uduru Machame tunataka TAKUKURU wamchunguze SAASISHA MAFUWe na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha Uduru.
Saashisha ni mwizi na hajui anachotakiwa kukifanya Jimboni kwske
 
Back
Top Bottom