Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,900
- 944
MBUNGE SAASHISHA MAFUWE: MILIONI 300 KUJENGA DARAJA MACHAME
Daraja la Makoa lililopo Machame, ambalo limejengwa kipindi kirefu na ambalo lilikua ni kero kubwa imeanza kujengwa upya kwa gharama ya shilingi Milioni 300.
Akizungumza baada ya kufika kukagua ujenzi wa daraja hilo, mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amesema kukamilika kwa daraja hilo itatatua kero kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, huku akimshkuru rais Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi huo.
Daraja hilo ni muhimu kutoka na kuwa wananchi wengi hupitisha mazao yao ikiwemo ndizi na maziwa lakini kufuata huduma za afya na pia hutumika kwa shughuli za utalii kupitia geti la Machame.
Attachments
-
WhatsApp Image 2024-02-23 at 13.22.07(2).jpeg124.8 KB · Views: 6
-
WhatsApp Image 2024-02-23 at 13.22.07(1).jpeg105.2 KB · Views: 6
-
WhatsApp Image 2024-02-23 at 13.22.07.jpeg91.2 KB · Views: 6
-
WhatsApp Image 2024-02-23 at 13.23.48.jpeg138.3 KB · Views: 6
-
WhatsApp Image 2024-02-23 at 13.22.06(1).jpeg126.6 KB · Views: 6