TAKUKURU: Chenge hahusiki na tuhuma za RADA

Hii takukuru si ndio iliyosema Richmond deal ilikuwa haina shida yoyote?

Hii takukuru si ndio iler ambayo mkurugenzi wake alipendekezwa na kamati ya bunge kuwa awajibishwe?

Hii takukuru si ndio inapeleka feki kesi za ufisadi bila ya ushahidi wa kutosha (kwa makusudi) ili serikali ishindwe?

Sasa kwanini tuiamini leo na huu upupu? siku zote wamekaa kimya leo huyo mtu wao anagombea uspika ndio wanamsafisha? Chenge arudishe kwanza zile pesa za watanzania kutoka kule Jersey ndio mambo mengine yataeleweka.
 
Hii taarifa wangetoa SFO ningeamini. Lakini siyo taasisi hii ya kulinda mafisadi ndani ya CCM! By the way si PCCB ndiyo ilikuja na kitu cha namna hii kumsafisha Lowassa?

lol ,naona mafisadi wanafanya nchi ni ya kwao na sasa ni muda wa JK kulipa fadhila kwa kuwaachia nchi taratibu ,tutakutana 2015 :israel:
 
iko siku hawa jamaa watakuwa maskini kuliko hata babu yangu kule namtumbo...

One day is will be pay day... Hope it will be very soon
 
Yaani hata wiki haijaisha tangu warejee madarakani wameshaanza upuuzi wao. Amini amini nawaambia nchi hii ndani ya miaka mitano itakuwa haikaliki kutokana na uozo mwingi utakaokuja chini ya hawa majambazi.
 
Miomi nadhani huu ni mpango wa mafisadi kum-test JK iwapo bado ako nao, na atakuwa nao, au ataamua kuanza kutenda haki kwa kupingana nao. Ni mtihani mkubwa kweli kweli kwa JK na anatazamwa sana, na mataifa ya nje hasa wahisani wetu anakokwenda kuhemea vibaba.
 
Je ni wakati sasa wa wananchi kuishughulikia taasisi ya kupamba na kuidhinisha rushwa?
 
Hii ndio CCM bana kwa raha zao. Saweni bandugu lakini Hosea Hosea Hosea unakosa haya na huruma kwa watanzania kweliiiiiiiiii??????????? why why this??!!!!??????? Ngoja nipumzike kidogo nitarudi baadae nguvu zimeniishia kabisa..
 
Miomi nadhani huu ni mpango wa mafisadi kum-test JK iwapo bado ako nao, na atakuwa nao, au ataamua kuanza kutenda haki kwa kupingana nao. Ni mtihani mkubwa kweli kweli kwa JK na anatazamwa sana, na mataifa ya nje hasa wahisani wetu anakokwenda kuhemea vibaba.
I agree
 

Hosea anataka kutupiga changa la machoni na kwa vyovyote vile katumwa na mafisadi. Atajuta.

Kuna tofauti kati ya uchunguzi kufungwa na kwa mtuhumiwa kutopatikana na hatia kwa sababu ya uamuzi wa kutofikishwa mahakamani. Kwa mfano, kilichotokea ni serikali ya Uingereza ililiagiza taasisi yake ya uchunguzi (SFO) kusitisha uchunguzi dhidi ya mwanamfalme wa Saudi Arabia aliyepewa mlungula na hao hao BAE kuhusu uuzwaji wa zana za kivita za mabilioni kwa nchi hiyo ya Kiarabu. Serikali ya Uingereza ilisema iwapo ingeendelea na uchunguzi ingeharibu uhusiano baina ya nchi hizo mbili maswahiba.

Kwa Tanzania kuhusu radar ilikuwa ni kama hivyo -- yaani BAE walikubali kulipa faini na Tanzania kurejeshwa kiasi cha hela zake walizowazidishia ili mambo yaishe. Maamuzi yote haya mawili lililenga kuitoa kimasmaso serikali ya Uingereza katika kashfa kubwa ya rushwa iliyofanywa na kampuni yake muhimu ya kutengeneza zana za kivita.


LAKINI WACHUNGUZI (SFO) KATU HAWAJASEMA WAMEFIKIA UAMUZI KWAMBA CHENGE, AU YULE MWANAMFALME WA SAUDI ARABIA HAWAKUPOKEA MILUNGULA! LA HASHA, HAWAJASEMA HIVYO!!!!

Kilichobakia na kutarajiwa ni kwa serikali ya Tanzania kuomba ushahidi wa SFO na kumfungulia mashitaka Chenge hapa nyumbani ili kulinda heshima ya serikali inayodai kukerwa na ufisadi!

HOSEA USITUDANGANYE!!!!!!
 
Nawakumbusha wana habari kuwa binti wa chenge aliwatukana siku ile pale mahakamani kinondoni kuwa hata mkimuandika baba yake vibaya mtaendelea kubaki na njaa zenu, Njaa zitawaua.... Mlivyo wagonjwa wa kusahau jana hamkumbana chenge afafanue kauli ya mwanae mkabakia kumuuliza maswali ya kumpamba kama kawaida yenu ili at the end awakamatishe bahasha. Nina uhakika ephraim kibonde naye alikuwepo hapo kuendeleza njaa zenu. Now kasafishwa next week anaukamata uspika.
 

Hosea anataka kutupiga changa la machoni na kwa vyovyote vile katumwa na mafisadi. Atajuta.

Kuna tofauti kati ya uchunguzi kufungwa na kwa mtuhumiwa kutopatikana na hatia kwa sababu ya uamuzi wa kutofikishwa mahakamani. Kwa mfano, kilichotokea ni serikali ya Uingereza ililiagiza taasisi yake ya uchunguzi (SFO) kusitisha uchunguzi dhidi ya mwanamfalme wa Saudi Arabia aliyepewa mlungula na hao hao BAE kuhusu uuzwaji wa zana za kivita za mabilioni kwa nchi hiyo ya Kiarabu. Serikali ya Uingereza ilisema iwapo ingeendelea na uchunguzi ingeharibu uhusiano baina ya nchi hizo mbili maswahiba.

Kwa Tanzania kuhusu radar ilikuwa ni kama hivyo -- yaani BAE walikubali kulipa faini na Tanzania kurejeshwa kiasi cha hela zake walizowazidishia ili mambo yaishe. Maamuzi yote haya mawili lililenga kuitoa kimasmaso serikali ya Uingereza katika kashfa kubwa ya rushwa iliyofanywa na kampuni yake muhimu ya kutengeneza zana za kivita.


LAKINI WACHUNGUZI (SFO) KATU HAWAJASEMA WAMEFIKIA UAMUZI KWAMBA CHENGE, AU YULE MWANAMFALME WA SAUDI ARABIA HAWAKUPOKEA MILUNGULA! LA HASHA, HAWAJASEMA HIVYO!!!!

Kilichobakia na kutarajiwa ni kwa serikali ya Tanzania kuomba ushahidi wa SFO na kumfungulia mashitaka Chenge hapa nyumbani ili kulinda heshima ya serikali inayodai kukerwa na ufisadi!

HOSEA USITUDANGANYE!!!!!!


Asante Mkuu, umenihabarisha vitu nilivyowahi kuvisoma kuhusu Saudi Arabia na hiyo hiyo BAE. Hosea katumwa!
 

Hosea anataka kutupiga changa la machoni na kwa vyovyote vile katumwa na mafisadi. Atajuta.

Kuna tofauti kati ya uchunguzi kufungwa na kwa mtuhumiwa kutopatikana na hatia kwa sababu ya uamuzi wa kutofikishwa mahakamani. Kwa mfano, kilichotokea ni serikali ya Uingereza ililiagiza taasisi yake ya uchunguzi (SFO) kusitisha uchunguzi dhidi ya mwanamfalme wa Saudi Arabia aliyepewa mlungula na hao hao BAE kuhusu uuzwaji wa zana za kivita za mabilioni kwa nchi hiyo ya Kiarabu. Serikali ya Uingereza ilisema iwapo ingeendelea na uchunguzi ingeharibu uhusiano baina ya nchi hizo mbili maswahiba.

Kwa Tanzania kuhusu radar ilikuwa ni kama hivyo -- yaani BAE walikubali kulipa faini na Tanzania kurejeshwa kiasi cha hela zake walizowazidishia ili mambo yaishe. Maamuzi yote haya mawili lililenga kuitoa kimasmaso serikali ya Uingereza katika kashfa kubwa ya rushwa iliyofanywa na kampuni yake muhimu ya kutengeneza zana za kivita.


[SIZE=4[I]]LAKINI WACHUNGUZI (SFO) KATU HAWAJASEMA WAMEFIKIA UAMUZI KWAMBA CHENGE, AU YULE MWANAMFALME WA SAUDI ARABIA HAWAKUPOKEA MILUNGULA! LA HASHA, HAWAJASEMA HIVYO!!!![/I][/SIZE]

Kilichobakia na kutarajiwa ni kwa serikali ya Tanzania kuomba ushahidi wa SFO na kumfungulia mashitaka Chenge hapa nyumbani ili kulinda heshima ya serikali inayodai kukerwa na ufisadi!

HOSEA USITUDANGANYE!!!!!!


Penye red: Hasa ikizingatiwa kwamba SFO ilishasema huko nyuma kwamba walikuwa na ushahidi wa kumpandisha kizimbani kwani waligundua hela dola milioni moja katika akaounti ya Chenge katika visiwa vya Jersey na kwamba alishindwa kuzitolea maelezo. Jee hivi SFO sasa wamebadilisha kauli na kusema hawakukuta hela hizo? Hosea aitoe hiyo statement ya SFO! Mnafiki mkubwa huyu!!!
 
Kama nitakua HAI, nitaishtaki CCM mbele za MUNGU, this is too much sidhani kweli kama hata shetani ataikubali!!!! bytheway, kama huyu jamaa atachaguliwa kuwa SPIKA ndo utakua mwisho wa TZ mtaamini maneno yangu yatakappo tukia haya, si swala la mnajimu ni swala la wakati tu! PLS GOD HAVE MERCY ON US, JUST TODAY
 
Nchi itabaki lakini mafisadi kama wakina chenge tutawashughulikia tu. Hatuwezi kuwasahau
 
Hii taarifa wangetoa SFO ningeamini. Lakini siyo taasisi hii ya kulinda mafisadi ndani ya CCM! By the way si PCCB ndiyo ilikuja na kitu cha namna hii kumsafisha Lowassa?

SFO Hawawezi kwenda a mile further kumchunguza chenge kwa kitu kisichokuwa na interest kwao. SFO wao walimgundua chenge sababu wao walikuwa wana fanya utafiti wa Conduct za BAE amabzo ndizo zina interest kubwa kwao.

TAKUKURU kujaribu kutumia jina la SFO kumsafisha chenge ni Changa la macho ili wananchi waamini .

I belive Chenge angekuwa raia wa UK angekuwa na kesi mahakamani kwa issue hii.

TAKUKURU kama hawana ideas na vyanzo vya data vya issue hii walipeni gazeti la times uk watawapa data ambazo hata SFO hawazisemi kwa maslahi ya nchi yao
 
Back
Top Bottom