Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Hawa takukuru wapumbavu sana,yani kwa vile huyu Chenge anaandaliwa kuwa spika wanajifanya kuja kumsafisha wakati wao sio walio fanya uchunguzi.
Watanzania tumekwisha na sasa mafisadi wanatuandalia kifo chetu rasmi kwa kumueka huyu jamaa kuwa spika.
mods naomba msim-ban mtu yoyote kama atamwaga matusi kwenye hii thread manake ina kera mno na ndio njia rahisi yakutoa frustrations zetu za hawa mashetani wanao taka kututawala kwa mabavu.
Watanzania tumekwisha na sasa mafisadi wanatuandalia kifo chetu rasmi kwa kumueka huyu jamaa kuwa spika.
mods naomba msim-ban mtu yoyote kama atamwaga matusi kwenye hii thread manake ina kera mno na ndio njia rahisi yakutoa frustrations zetu za hawa mashetani wanao taka kututawala kwa mabavu.