Israel mtoa roho
Member
- Sep 17, 2023
- 14
- 32
Jamani dunia Ina Mambo na vijimambo.
Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi.
Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam.
Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli.
Alimpa simu mke mdogo awapigie simu ndugu,jamaa,wake wenzie na marafiki awaarifu kuwa mmewe ashakata kamba😭😭
Mme huyo akajiwekea limit kuwa mtu atakayekuja saa tatu kamili mpaka saa Saba Basi huyo ndo rafiki yake wa kweli.
Kila aliyefika alikaribishwa ndani na kuchinjiwa ng'ombe,pombe kwa wingi na kila starehe na kuonya asitoe Siri.
Jambo la ajabu mke aliyeanza kufika amefika saa nne kesho yake asubuhi na wa pili saa tisa mchana kesho na mbaya zaidi mwingine hakuja hata msibani.
Wengi wamefurahi kujipatia karamu lakini wengine wanataka ashitakiwe😂
Sasa najiuliza Maswali atashtakiwaje wakati anataka awajue Marafiki 😂😂😂
Anyway sijui we unamshauri Nini?
Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi.
Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam.
Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli.
Alimpa simu mke mdogo awapigie simu ndugu,jamaa,wake wenzie na marafiki awaarifu kuwa mmewe ashakata kamba😭😭
Mme huyo akajiwekea limit kuwa mtu atakayekuja saa tatu kamili mpaka saa Saba Basi huyo ndo rafiki yake wa kweli.
Kila aliyefika alikaribishwa ndani na kuchinjiwa ng'ombe,pombe kwa wingi na kila starehe na kuonya asitoe Siri.
Jambo la ajabu mke aliyeanza kufika amefika saa nne kesho yake asubuhi na wa pili saa tisa mchana kesho na mbaya zaidi mwingine hakuja hata msibani.
Wengi wamefurahi kujipatia karamu lakini wengine wanataka ashitakiwe😂
Sasa najiuliza Maswali atashtakiwaje wakati anataka awajue Marafiki 😂😂😂
Anyway sijui we unamshauri Nini?