Tajiri Uganda ajitangazia msiba ili kupima marafiki wa kweli

Sep 17, 2023
14
32
Jamani dunia Ina Mambo na vijimambo.

Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi.

Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam.

Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli.

Alimpa simu mke mdogo awapigie simu ndugu,jamaa,wake wenzie na marafiki awaarifu kuwa mmewe ashakata kamba😭😭

Mme huyo akajiwekea limit kuwa mtu atakayekuja saa tatu kamili mpaka saa Saba Basi huyo ndo rafiki yake wa kweli.

Kila aliyefika alikaribishwa ndani na kuchinjiwa ng'ombe,pombe kwa wingi na kila starehe na kuonya asitoe Siri.

Jambo la ajabu mke aliyeanza kufika amefika saa nne kesho yake asubuhi na wa pili saa tisa mchana kesho na mbaya zaidi mwingine hakuja hata msibani.

Wengi wamefurahi kujipatia karamu lakini wengine wanataka ashitakiwe😂
Sasa najiuliza Maswali atashtakiwaje wakati anataka awajue Marafiki 😂😂😂
Anyway sijui we unamshauri Nini?
 
Jamani dunia Ina Mambo na vijimambo.

Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi.

Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam.

Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli.

Alimpa simu mke mdogo awapigie simu ndugu,jamaa,wake wenzie na marafiki awaarifu kuwa mmewe ashakata kamba😭😭

Mme huyo akajiwekea limit kuwa mtu atakayekuja saa tatu kamili mpaka saa Saba Basi huyo ndo rafiki yake wa kweli.

Kila aliyefika alikaribishwa ndani na kuchinjiwa ng'ombe,pombe kwa wingi na kila starehe na kuonya asitoe Siri.

Jambo la ajabu mke aliyeanza kufika amefika saa nne kesho yake asubuhi na wa pili saa tisa mchana kesho na mbaya zaidi mwingine hakuja hata msibani.

Wengi wamefurahi kujipatia karamu lakini wengine wanataka ashitakiwe😂
Sasa najiuliza Maswali atashtakiwaje wakati anataka awajue Marafiki 😂😂😂
Anyway sijui we unamshauri Nini?
Mleta mada unajiona mjanjaa kupiga kamba watu wazima?
 
Jamani dunia Ina Mambo na vijimambo.

Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi.

Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam.

Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli.

Alimpa simu mke mdogo awapigie simu ndugu,jamaa,wake wenzie na marafiki awaarifu kuwa mmewe ashakata kamba😭😭

Mme huyo akajiwekea limit kuwa mtu atakayekuja saa tatu kamili mpaka saa Saba Basi huyo ndo rafiki yake wa kweli.

Kila aliyefika alikaribishwa ndani na kuchinjiwa ng'ombe,pombe kwa wingi na kila starehe na kuonya asitoe Siri.

Jambo la ajabu mke aliyeanza kufika amefika saa nne kesho yake asubuhi na wa pili saa tisa mchana kesho na mbaya zaidi mwingine hakuja hata msibani.

Wengi wamefurahi kujipatia karamu lakini wengine wanataka ashitakiwe😂
Sasa najiuliza Maswali atashtakiwaje wakati anataka awajue Marafiki 😂😂😂
Anyway sijui we unamshauri Nini?
Weka source.

Nyau ww
 
Jamani dunia Ina Mambo na vijimambo.

Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi.

Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam.

Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli.

Alimpa simu mke mdogo awapigie simu ndugu,jamaa,wake wenzie na marafiki awaarifu kuwa mmewe ashakata kamba😭😭

Mme huyo akajiwekea limit kuwa mtu atakayekuja saa tatu kamili mpaka saa Saba Basi huyo ndo rafiki yake wa kweli.

Kila aliyefika alikaribishwa ndani na kuchinjiwa ng'ombe,pombe kwa wingi na kila starehe na kuonya asitoe Siri.

Jambo la ajabu mke aliyeanza kufika amefika saa nne kesho yake asubuhi na wa pili saa tisa mchana kesho na mbaya zaidi mwingine hakuja hata msibani.

Wengi wamefurahi kujipatia karamu lakini wengine wanataka ashitakiwe😂
Sasa najiuliza Maswali atashtakiwaje wakati anataka awajue Marafiki 😂😂😂
Anyway sijui we unamshauri Nini?
Hizo story za mtaani tu
 
Jamani dunia Ina Mambo na vijimambo.

Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi.

Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam.

Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli.

Alimpa simu mke mdogo awapigie simu ndugu,jamaa,wake wenzie na marafiki awaarifu kuwa mmewe ashakata kamba😭😭

Mme huyo akajiwekea limit kuwa mtu atakayekuja saa tatu kamili mpaka saa Saba Basi huyo ndo rafiki yake wa kweli.

Kila aliyefika alikaribishwa ndani na kuchinjiwa ng'ombe,pombe kwa wingi na kila starehe na kuonya asitoe Siri.

Jambo la ajabu mke aliyeanza kufika amefika saa nne kesho yake asubuhi na wa pili saa tisa mchana kesho na mbaya zaidi mwingine hakuja hata msibani.

Wengi wamefurahi kujipatia karamu lakini wengine wanataka ashitakiwe😂
Sasa najiuliza Maswali atashtakiwaje wakati anataka awajue Marafiki 😂😂😂
Anyway sijui we unamshauri Nini?
Acha bangi
 
Jamani dunia Ina Mambo na vijimambo.

Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi.

Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam.

Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli.

Alimpa simu mke mdogo awapigie simu ndugu,jamaa,wake wenzie na marafiki awaarifu kuwa mmewe ashakata kamba😭😭

Mme huyo akajiwekea limit kuwa mtu atakayekuja saa tatu kamili mpaka saa Saba Basi huyo ndo rafiki yake wa kweli.

Kila aliyefika alikaribishwa ndani na kuchinjiwa ng'ombe,pombe kwa wingi na kila starehe na kuonya asitoe Siri.

Jambo la ajabu mke aliyeanza kufika amefika saa nne kesho yake asubuhi na wa pili saa tisa mchana kesho na mbaya zaidi mwingine hakuja hata msibani.

Wengi wamefurahi kujipatia karamu lakini wengine wanataka ashitakiwe😂
Sasa najiuliza Maswali atashtakiwaje wakati anataka awajue Marafiki 😂😂😂
Anyway sijui we unamshauri Nini?
Awereness joke!!
 
Kama mtoa mada ni mwanaume na hizo emoj nitasikitika sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom