Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,510
- 8,013
kuna watu wana yaweza kausha dau, asa, brac vicoba nabbado mtu yupo happy anadunda hana habaree ningekonda fastaaRiba inakata sana ila ndio hvyo hakuna namna
kuna watu wana yaweza kausha dau, asa, brac vicoba nabbado mtu yupo happy anadunda hana habaree ningekonda fastaaRiba inakata sana ila ndio hvyo hakuna namna
Inategemea unachukua unafanyia nini, kama ni biashara na inatoka mbona yanalipika, shida inaanzia pale unapochukua kwa ajili ya matatizo.kuna watu wana yaweza kausha dau, asa, brac vicoba nabbado mtu yupo happy anadunda hana habaree ningekonda fastaa
Kuna paroko kamjengea lodge mdogo wake mke wangu nimeingia ganzi hata kwenda kusali mi siku hizi naongea na Mungu moja kwa moja akinichunia basiIla Mimi kuna kitu mtanisaidia watu wa fungu la kumi. Kiukweli cjawah kulitoa linavyotakiwa ila pia ikitokea ninatoa mimi huwa namuambia Mungu kabisa hii nimeitenga ni fungu la kumi naenda kutoa. Mara nyingi naenda pale mburahati kwa watoto na watu wazima wasiojiweza nalipia ada na umeme na chakula. Huku kwetu Catholic natoa labda 50 pa month. Viongoz wanaosimamia hiz taasisi za dini nimeshindwa kabisa kuwaamin japo ni agizo la Mungu mniombee.
Fatisha neno watumishi ni wanadamu kama sisiKuna paroko kamjengea lodge mdogo wake mke wangu nimeingia ganzi hata kwenda kusali mi siku hizi naongea na Mungu moja kwa moja akinichunia basi
Hizo hela wasaidie wahitaji ukipeleka kanisani umeliwa siku hizi wahitaji ni wengi kuliko kupeleka kwa hawa viongozi wetu wa dini wenye vitambi.Kwelii Yani nlikua naziweka halopesa sababu ya kukosa mda kwenda church nikaziweka humo eeh December nikaenda likizo Yan nikajukuta natumia Ile ela Huku nasema nitairudisha nikamuomba Mungu anisamehe nitamurudishia ela yake
Kama uko mburahati Kwa fr kasembo zaka ulipe Kwa mfumo wa sadaka digital direct mkuuIla Mimi kuna kitu mtanisaidia watu wa fungu la kumi. Kiukweli cjawah kulitoa linavyotakiwa ila pia ikitokea ninatoa mimi huwa namuambia Mungu kabisa hii nimeitenga ni fungu la kumi naenda kutoa. Mara nyingi naenda pale mburahati kwa watoto na watu wazima wasiojiweza nalipia ada na umeme na chakula. Huku kwetu Catholic natoa labda 50 pa month. Viongoz wanaosimamia hiz taasisi za dini nimeshindwa kabisa kuwaamin japo ni agizo la Mungu mniombee.
Team yangu, nikiwa includedBajeti yako inapangwa na nani?
Mwamba unadaiwa mpka na wifeLoan Board 6,500,000
SCB 10,000,000
NMB 50,000
VODACOM 53,000
PASCAL 100,000
GEWE 200,000
WIFE 300,000
Utakufa maskinihamna kitu sipendi na najitahidi kadri niwezavyo kuepuka n madeni
Noncense wenye akili tushajua ni chai. Maana kwa mshahara unaoweza kukopesheka amount yote hiyo ni kama milioni 7 ama 8 sasa 3/4 inayotakiwa kubaki nayo haiwezi kuwa laki7 hata siku mojaMkopo 1 - 750,000/mwezi bado 3yrs
Mkopo 2 - 380,000/mwezi bado 2yrs
Mkopo 3 - 240,000/ mwez bado 1yr
Mkopo 4 - 138,000/mwez bado 2yrs
Mkopo 5 - 450,000 salary advance
Ukiacha salary advance hiyo mikopo yote nikikatwa nabaki na take home 700,000/. Ila mwez huu watakata salary advance ntabaki na 250k. Ntachukua tena advance
Weeeeh🤣🤣Mimi nanuka madeni, marejesho kama yote. Na bado sitaacha kukopa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu mnanuka madeni
Ni ukweli mtupu, kuna watu kuwa na madeni makubwa ni kawaida yao.Ahahahahah.... madeni yana watu wake ni kwel.
Bila kukuopa si utakuwa onba omba unaogopa kutake riskhamna kitu sipendi na najitahidi kadri niwezavyo kuepuka n madeni