Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 13,080
- 12,080
Huzuni sanaMwamba unadaiwa mpka na wife
Huzuni sanaMwamba unadaiwa mpka na wife
nikiwa sina naenda na flow nikiwa nazo hali kadhalikaBila kukuopa si utakuwa onba omba unaogopa kutake risk
Mikopo unakupa nizamu za pesa wew
sio lazima wote tufe matajiri unaelewa sijuiUtakufa maskini
na hio biashara iwe ipo hiyo ukichukua unajazaia tu sio uchukue ndio ufungulie biasharaInategemea unachukua unafanyia nini, kama ni biashara na inatoka mbona yanalipika, shida inaanzia pale unapochukua kwa ajili ya matatizo.
🤣🤣🤣🤣🤣Dr Lizzy muda wa 🦆 ukifika agiza na wine kwa bill yako. 😅
[emoji16]Nashukuru Mungu mwaka nimeanza vyema
Nadaiwa kama 5M tu mpaka February katikati naclear na sitaki kukopa mtu [emoji119]
(Mnaotudai mpunguze simu jamani)
Inatembea ila sijawahi kukutana na huo msala kabisa.Inawezekana vipi? Hiyo gari haitembei?
Maana huku elf 45 tu unapigwa camera, huendi mpaka ufanye clearance.
Yes mkopo wa biashara ni kuendeleza biashara sio kuanza japo wapo wanaoanza na kumudu kurudisha.na hio biashara iwe ipo hiyo ukichukua unajazaia tu sio uchukue ndio ufungulie biashara
Na Malimbuko[emoji3][emoji3][emoji3]Tupambane dada tulipe[emoji28][emoji28] umenichekesha ulivyosema hutarudia kuila.
Hapana mkuu..does it sound like that?Kwani mnashindana?
Hii kitu sio nzuri kabisaSidaiwi ila kwakweli Tigo nawashukuru kuleta hii kitu
Ukitaka uwe maskini kimbia MadeniMimi nanuka madeni, marejesho kama yote. Na bado sitaacha kukopa....
Aaaah Unajua bwanaMbona haya maneno mazito namna hii hukuwahi kunitamkia legend 🤣🤣🤣
Unamdai milioni 60 au elf 60? umenichanganya kidogokunamtu namdai milioni 60 na alikopa benki wamemuuzia nyumba yake hadinamuonea huruma.ila nikikumbuka million 60 yangu natamani nimfunge jela☹️☹️kunamijitu inatamaa hadikero
Mimi ilibidi nimuombe Mungu anifanyie wepesi maana kwa akili zangu siwezi 😅😅Na Malimbuko[emoji3][emoji3][emoji3]
Kidogo siku hizi fungu la kumi nimekuwa na Adabu nalo..
Mungu atusaidie sana.
[emoji28][emoji28][emoji28]Hiyo hali naielewa....siyo rahisi hata kidogo...Mimi ilibidi nimuombe Mungu anifanyie wepesi maana kwa akili zangu siwezi [emoji28][emoji28]