Taja madeni yako unayodaiwa

Taja madeni yako unayodaiwa

1.Tsh 310,000/= bado miezi 8
2.Tsh 200,000/= bado miezi 4
3.Tsh 125,000/= bado mwezi mmoja
4.Tsh 100,000/= bado miezi 6
5.Tsh 1.8m hii sijajua nalipaje ila nadaiwa
6.Tsh 3.5m kila mwezi napunguza Tsh 150k
Nimekua mpole maana kila pesa ninayopata 90% inalipa madeni 10% ndio yangu ya kuishi.

God is good!
 
Back
Top Bottom