Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,797
- 22,334
Ahahah..sasa wewe Mungu atakudai nini wewe au mimi.?😂Thibitisha sidaiwi
Ahahah..sasa wewe Mungu atakudai nini wewe au mimi.?😂Thibitisha sidaiwi
Basi wewe ni kunguru wa maisha,wengine Madeni B kadhaa🤣Kuna watu madeni yanawatia stress wanashindwa hata kula wakiyawaza wanaishia kufakufa tuwasaidie kwa kuwatajia madeni yetu ili wajione Hawapo peke yao.
Nikianza na Mimi mwenyewe.
1.mkopo wa BOT(hazina)kila mwez 160000
2.mkopo NMB kila mwezi 120000
3.Nyangao credit 90000 kila mwez bado miez miwili nimalize
4.mama mwenye nyumba kodi 240000 miez mitatu
5.MGODI VODACOM 70000
6.dukani kwa Rashid 30000
7.nipige Tafu 21000
8.fundi Fulani 50000
9.maji na umeme 15000
10.mfanyakazi mwenzangu alinikopesha 20000
11.kwenye Mabar huwa sina madeni Makubwa ni kama 25000
Mimi nayowadai watu ni kama laki na kitu.
Yaan watu kumbe mnaishi kwa raha hivi? Mbona haya sio madeni sasa..hayaja kidhi vigezo vya kuitwa madeni1. Kuna duka nilichukua mahitaji 207,000/-
2. Fremu ya duka 210,000/-
3. Mfanyakazi 160,000/-
4. Mdada flani aliniuzia vitu vyake, imebaki 50,000/-
Bado sijaona madeni humu mpaka hapa nilipofikia 😂Madeni yanatutesa wengi kumbe
Kila kitu ananidaiAhahah..sasa wewe Mungu atakudai nini wewe au mimi.?😂
Kila deni lina settlement plan yale, hii ikoje, how is it gonn be recovered?Kila kitu ananidai
Sio poa.nikimaliza miaka yao sirudii tena kukopa heri niwe nachukua salary advance ya kula basiwee jamaa duh!nina stress umenifanya nicheke hapa
Acha usinielewe tu ila nadaiwa mkuuKila deni lina settlement plan yale, hii ikoje, how is it gonn be recovered?
Mkuu jiunge haraka UWABATA wakiisoma hii umekwishaa 😂Mkopo 1 - 750,000/mwezi bado 3yrs
Mkopo 2 - 380,000/mwezi bado 2yrs
Mkopo 3 - 240,000/ mwez bado 1yr
Mkopo 4 - 138,000/mwez bado 2yrs
Mkopo 5 - 450,000 salary advance
Ukiacha salary advance hiyo mikopo yote nikikatwa nabaki na take home 700,000/. Ila mwez huu watakata salary advance ntabaki na 250k. Ntachukua tena advance
Mkuu wew muaninifu sanaaa, watakufikisha 1M soonSidaiwi ila kwakweli Tigo nawashukuru kuleta hii kitu
Nawalipa sababu unaniokoaga sana huu Mkopo ndo maana naulea japo riba yake inaumiza kimtindo ila unaniokoa sanaMkuu wew muaninifu sanaaa, watakufikisha 1M soon
Mkuu huo ni mkopo gani ? Upo kwenye menu ipi ?Sidaiwi ila kwakweli Tigo nawashukuru kuleta hii kitu
🤣🤣🤣🤣🤣Nadaiwa mpaka sioni cha ajab kuhusu madeni.
Yan kifupi nimeanza kufanana na deni so hata siogopi..honeatly sikumbuki ni mangapi ila mengi sana. Kumudu kudaiwa ni kipaji sana. Sema tu hakikisha una afya, hii carreer haihitaji wagonjwa wagonjwa kama presha, moyo na kisukari..utakufa siku si zako
Dah mkuu uko TPDC nini mimi baada ya kukatwa miwili ya bank nabaki na 345000Mkopo 1 - 750,000/mwezi bado 3yrs
Mkopo 2 - 380,000/mwezi bado 2yrs
Mkopo 3 - 240,000/ mwez bado 1yr
Mkopo 4 - 138,000/mwez bado 2yrs
Mkopo 5 - 450,000 salary advance
Ukiacha salary advance hiyo mikopo yote nikikatwa nabaki na take home 700,000/. Ila mwez huu watakata salary advance ntabaki na 250k. Ntachukua tena advance