black flowers
Member
- Jan 16, 2024
- 64
- 217
Sipendi kudaiwa kwakweli.Pole mkuu aiseee...
Mi kwenye madeni hapo.
Huwa naogopa sana kukopa an na huku kwenye simu ni chap haraka narudisha
Sipendi kudaiwa kwakweli.Pole mkuu aiseee...
Mi kwenye madeni hapo.
Huwa naogopa sana kukopa an na huku kwenye simu ni chap haraka narudisha
Una madeni kidogo sana.Ngoja mimi nitulie nisije kuwaamsha wanaonidai bure.Kuna watu madeni yanawatia stress wanashindwa hata kula wakiyawaza wanaishia kufakufa tuwasaidie kwa kuwatajia madeni yetu ili wajione Hawapo peke yao.
Nikianza na Mimi mwenyewe.
1.mkopo wa BOT(hazina)kila mwez 160000
2.mkopo NMB kila mwezi 120000
3.Nyangao credit 90000 kila mwez bado miez miwili nimalize
4.mama mwenye nyumba kodi 240000 miez mitatu
5.MGODI VODACOM 70000
6.dukani kwa Rashid 30000
7.nipige Tafu 21000
8.fundi Fulani 50000
9.maji na umeme 15000
10.mfanyakazi mwenzangu alinikopesha 20000
11.kwenye Mabar huwa sina madeni Makubwa ni kama 25000
Mimi nayowadai watu ni kama laki na kitu.
Ila bado unakopa sio..?Sipendi kudaiwa kwakweli.
Kila M TZ anadaiwa1700000 deni la taifa🤣🤣🤣🤣🪑💺
Unataka tusipate usingizi na madeni yetu?Tanzania kuna biashara moja nzuri sana, serikali ikikupa kibali cha kuweka jela wa wanaodaiwa.
Madeni yatapunguwa, watu watalipiana na mwenye jela atafanya faida. Mpango wa Kiislam huo, raha sana.
Ushahidi wa kudaiwa ukiwepo unawekwa ndani mpaka deni lishe. Sasa huko ndani ni lazima ujinunulie chakula na mahitaji yako yote.
Mradi inajulikana upo jela sasa ndugu wawache michango ya harusi wawalipie jamaa zao kwanza watoke jela.
Inasaidia sana watu kurudisha madeni yao.
Huko ndiyo unalala kwa raha kama gesti tu, unajuwa ndugu, jamaa na marafiki na kwa sisi Waislam watowa zaka watalipa tu.Unataka tusipate usingizi na madeni yetu?
Kuna mtu ananidai cha ajabu nimeenda kumweleza siwezi kumkopa ndani ya mda akanipigia dua alafu akaniambia niendelee kumkopa, yaan kanisisitiza nisiache kumkopa
Huu Uzi uwekewe lamination. Binafsi ninadaiwa kama 30m, benki na kausha damu mtaani (jumla)Mkopo 1 - 750,000/mwezi bado 3yrs
Mkopo 2 - 380,000/mwezi bado 2yrs
Mkopo 3 - 240,000/ mwez bado 1yr
Mkopo 4 - 138,000/mwez bado 2yrs
Mkopo 5 - 450,000 salary advance
Ukiacha salary advance hiyo mikopo yote nikikatwa nabaki na take home 700,000/. Ila mwez huu watakata salary advance ntabaki na 250k. Ntachukua tena advance
We utopolo kwelikweliTanzania kuna biashara moja nzuri sana, serikali ikikupa kibali cha kuweka jela wa wanaodaiwa.
Madeni yatapunguwa, watu watalipiana na mwenye jela atafanya faida. Mpango wa Kiislam huo, raha sana.
Ushahidi wa kudaiwa ukiwepo unawekwa ndani mpaka deni lishe. Sasa huko ndani ni lazima ujinunulie chakula na mahitaji yako yote.
Mradi inajulikana upo jela sasa ndugu wawache michango ya harusi wawalipie jamaa zao kwanza watoke jela.
Inasaidia sana watu kurudisha madeni yao.
Kumbe upo nyangao😂Kuna watu madeni yanawatia stress wanashindwa hata kula wakiyawaza wanaishia kufakufa tuwasaidie kwa kuwatajia madeni yetu ili wajione Hawapo peke yao.
Nikianza na Mimi mwenyewe.
1.mkopo wa BOT(hazina)kila mwez 160000
2.mkopo NMB kila mwezi 120000
3.Nyangao credit 90000 kila mwez bado miez miwili nimalize
4.mama mwenye nyumba kodi 240000 miez mitatu
5.MGODI VODACOM 70000
6.dukani kwa Rashid 30000
7.nipige Tafu 21000
8.fundi Fulani 50000
9.maji na umeme 15000
10.mfanyakazi mwenzangu alinikopesha 20000
11.kwenye Mabar huwa sina madeni Makubwa ni kama 25000
Mimi nayowadai watu ni kama laki na kitu.
Jela hiyo ni kwa wadaiwa sugu na wanaoshindwa kulipa.We utopolo kwelikweli
Hayo madeni ianze kulipa serikali kwanza ndio tuje sisi raia
Inachekesha. Sasa nani kaoa hapoNdiyo maana kwetu sisi mke hakai nyumba ya mume hata kidogo. Ni lazima tumjengee kwanza ndiyo aolewe.
Wewe ndio mimihamna kitu sipendi na najitahidi kadri niwezavyo kuepuka n madeni
Kiislam kuna kuowana hakuna kuowa.Inachekesha. Sasa nani kaoa hapo
Mchango wa jengo kanisani-150,000
Trafic Fine na parking fees 200,000+
Songesha 3000