Naomba control number nilipe la kwangu kabisa, sitaki madeni mimi🏃🏃Kila M TZ anadaiwa1700000 deni la taifa🤣🤣🤣🤣🪑💺
Naomba control number nilipe la kwangu kabisa, sitaki madeni mimi🏃🏃Kila M TZ anadaiwa1700000 deni la taifa🤣🤣🤣🤣🪑💺
Mkopo 1 - 750,000/mwezi bado 3yrs
Mkopo 2 - 380,000/mwezi bado 2yrs
Mkopo 3 - 240,000/ mwez bado 1yr
Mkopo 4 - 138,000/mwez bado 2yrs
Mkopo 5 - 450,000 salary advance
Ukiacha salary advance hiyo mikopo yote nikikatwa nabaki na take home 700,000/. Ila mwez huu watakata salary advance ntabaki na 250k. Ntachukua tena advance
Dah Mimi pia nadaiwa fungu la 10 aisee Nimejipanga nilipe this January na sitorudia tena kula ela ya fungu la 101. 1 M rafiki yangu ananidai nitampa februari mwezi huu aniache nipumue.
2. 26 K, nilipita kwa mangi nikachukua vitu, lipa kwa mpesa kwenda tigo pesa ikakataa, Mangi akaniambia nenda katoe utanipitishia, sijapita. Nikipita nitampa.
3. Fungu la kumi, huwa napeleka mahali, sijawa mwaminifu december mwishoni! 🤦🏻♀️ Mungu anisaidie nipeleke ndani ya siku 3 hizi.
Tupambane dada tulipe😅😅 umenichekesha ulivyosema hutarudia kuila.Dah Mimi pia nadaiwa fungu la 10 aisee Nimejipanga nilipe this January na sitorudia tena kula ela ya fungu la 10
Nitakoma mbonaHii parking fees na trafic licence, wakikubamba siku utailipa kwa lazima au watakunyanganya funguo
Hutoboi
Kwelii Yani nlikua naziweka halopesa sababu ya kukosa mda kwenda church nikaziweka humo eeh December nikaenda likizo Yan nikajukuta natumia Ile ela Huku nasema nitairudisha nikamuomba Mungu anisamehe nitamurudishia ela yakeTupambane dada tulipe😅😅 umenichekesha ulivyosema hutarudia kuila.
Uko sahihi Mkuu ..fungu la kumi unaweza peleka madhabahuni,au kumtumia mtumishi wa Mungu wa kweli au kupeleka Kwa yatima mjane hata wahitajiIla Mimi kuna kitu mtanisaidia watu wa fungu la kumi. Kiukweli cjawah kulitoa linavyotakiwa ila pia ikitokea ninatoa mimi huwa namuambia Mungu kabisa hii nimeitenga ni fungu la kumi naenda kutoa. Mara nyingi naenda pale mburahati kwa watoto na watu wazima wasiojiweza nalipia ada na umeme na chakula. Huku kwetu Catholic natoa labda 50 pa month. Viongoz wanaosimamia hiz taasisi za dini nimeshindwa kabisa kuwaamin japo ni agizo la Mungu mniombee.
Airtel DAKA 4500
ila ya riba ndio mabaya zaidi tuyaepukeWewe ndio mimi
uchi auKwa mwanamke kwel epuka sana madeni yasije yakauponza.
hat nikiwa na shida bora nife na tai shingoni labda iwe sin namna nitàkopa ila sio kwa ribaMadeni sio mazuri, wengi tunakopa tukiwa na shida
pole sanayanatesa sana imagine unakatwa laki mbili kila mwez kwa miaka mitano.unazaa mtoto mpaka anaanza shule we bado unakatwa tu
Riba inakata sana ila ndio hvyo hakuna namnahat nikiwa na shida bora nife na tai shingoni labda iwe sin namna nitàkopa ila sio kwa riba