Taja kitu kimoja kizuri ambacho ex wako alikuwanacho

Taja kitu kimoja kizuri ambacho ex wako alikuwanacho

Me wa kwangu alikuwa ni wale watoto wamelelewa kwa misingi mikali ya kidini (msabato), inaonekana walokole wenzake walikuwa hawamgongi vizuri, sasa alipokuja kukutana na mm nikawa namchapa kihuni mara nimembinua hivi mara vile akija gheto namchapia kwenye makochi sometimes bafuni yaani vurugu akadata balaa. Me nilikuwa nafanya kazi bongo yeye r chuga kila akipata ka chance mtoto huyo kaja ni kumkunjua tu na mtoto akawa anakunjuka kweli anazungusha kiuno kama feni, anajua kupika mjita yule sitasahau alikuwa akipikia pilau hapo mbona hutoki ndani na alikuwa msafi sana. Sema misimamo tofauti ya kidini ikaja kututenganisha
 
Figisu figisu......simkumbuki kwa mazuri...namkumbuka kwa mabaya maana alikuwa mwanamke mwenye mabavu...daaah
 
Daaah wangu bwana alikuwa mlokole chuo aiseee yule mtoto namkumbuka sana Beatha yaan Byanca daah, yule mtoto alikuwa anapenda sana Dini aisee na alikuwa hakosi Kanisani ila sasa alikuwa mikononi mwangu na nilishamuonjesha asali, sasa kitu ambacho sitamsahau alikuwa tukimaliza sex analiaaa sanaa na kusema tumemkoseaa Mungu anaanza kupiga magot na kutubu, roho ilikuwa inaniuma sanaa aisee, all in all ye mkristo mie muslim mwishowe kila mtu akashila hamsin zake ila kiroho safi .
 
Dhuuu!!! Na ww hata kujishusha
uponeshe penz

Wote mkawa wababe kama
Wakulima vs wafugaji
Kuna kosa hapo kwenye saikolojia ya mapenzi,hakuna mapenzi bila kuvumiliana na kusaidiana kutambua udhaifu wenu.Kama hamtajua tayizo ni nn,itafika siku,mnaachana huku mnapendana,vyema kati yenu awepo kiongozi wa kutambua mazuri na mabaya
 
Hii mada ni muhimu sana,japo kwa wanajamvi mnaichulia ya kupita,mantiki yake ni kuoata uzoefu kwann watu wanaachana na wezi wao hata kama bado wanawapenda,75% ya wachangiaji wametoa hisia za mambo mazuri ya wenzi wao,swali kwann kama nibmazuri ukayaenzi bafala ya kudhani kuachana ndo suluhu?sababu penzi si sawa nabkubadirisha shati au hauni.Kupata mwananmke au kwanaume si kweli kuwa atalinhana na ex-wako hasa kwenye papuchi.vyema tikajifunza kutatua mapungufu na changamoyo kwenye mapenzi badala ya kukimbilia kuachana ambako siku zote kumeleta msongo na kutoridhika daima
 
Kuna kosa hapo kwenye saikolojia ya mapenzi,hakuna mapenzi bila kuvumiliana na kusaidiana kutambua udhaifu wenu.Kama hamtajua tayizo ni nn,itafika siku,mnaachana huku mnapendana,vyema kati yenu awepo kiongozi wa kutambua mazuri na mabaya
Na ilikutambuana lazma
Mmoja ajishushe
 
Na ilikutambuana lazma
Mmoja ajishushe
Na ndo saikolojia yake ni sawa na kuwa na mtoto,kuna wakati uishi maisha ya kitoto,kutomnyanyasa mtoto kisaikolojia nia ni kiwa karibu naye,kama kumsikiliza hoja zake za kiyoyo,kucheza naye,kula naye,kunywa naye,na pia kumsaidia hata kama kafanya jambo lisilo la maana.
Hivyo hata kwenye mapenzi dawa ya kuvumilia ni kukubali changamoto na madhaifu ya uoande mwingine,ili kuyatatua yqwe harmonized,ni dawa mno,kujiyambua ni altitude ambayo wanadamu katibu75%tunapungukiwa
 
Tuki ninihii demu yule alikuwa ana quick multiple orgasms hanichoshi
 
Back
Top Bottom