super model
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 307
- 321
Wangu alikua handsome mnyamwezi flani hivi amaizingi nilimpenda adi nikafa kuoza ila aliniuzi siku namkuta yupo na mademu nilipompa hi akanijibu fresh dada angu apo apo nikajiongeza nikapiga chini
Nini sasa😱😕🙁🙁🙁🙁🙁
Vingi tu my sis...ntakwambia siku nyingine[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana kakaa alikuwa anakuniyima nn
Pole eeeVoice ilikua nyororo haswa+
Chuchu zake dhaaa!!
Umbali tu ndo umetutenganisha nammis
Co kitoto
Principles zako ndiyo zimemkimbiza?Alikuwa ananisikiliza mno alikua anajua kunibembeza nilichotaka alinipatia bata kwa sana,huwa nammissmiss sometime ila acha waoane aisee
good heart
mm mmoja wa maMwanya wa chini
Mmh hizi nyuzi za ma-x mbona zimeshamiri sana? Hii inaonesha ni kiasi gani watu wanafikia maamuzi ya kuachana bila moyo kukubali haha! Ukitaka kuruka agana na nyonga!
Ukipanda hushuki? Kwa hiyo bado upo juu unabembeaPapuchi.... yake full mafuta nikipanda sishuki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hamzidi wangu kwa mitusi utadhania mzaramo kumbe from koromije..Lile lidada lilikua na matusi hata shetani haoni ndani
Hahahahhhahaa ulikomajeLile lidada lilikua na matusi hata shetani haoni ndani
mi ndo kabisaa sikumbuki kitu x ni ex tu(scraper) hapa ni mwendo wa maluwe luwe tu eish!
Dhuuu!!! Na ww hata kujishushaHapana tulijikuta tunatukanana na ndiyo ukawa mwisho wetu