Taja kiongozi ambaye hayupo kwenye historia yetu unataka nchi imtambue

maramojatu

JF-Expert Member
Mar 16, 2012
1,169
1,533
WanaJF,

Wakati tunaendelea kumshukuru Mh. Rais wetu, Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa Bi. Titi Mohamed najua tuna viongozi wengi ambao sisi vijana wa miaka ya 1990s au kabla hatuwajui sababu mfumo uliwaficha. Hii ni sababu aliyepo madarakani ndio huwa anaandika historia anavyotaka isomeke miaka ya mbeleni.

Sisi kama wanaJF tunaweza tukawaonyesha wengine viongozi ambao walisaidia nchi yetu na hata kuwatambua posthumously.

Nawasilisha
 
Sipend waislam wanavyoidharau vita vya majimaji..historia iliyoficha Ile vita ilikua ni jihad,mjeruman alidhamiria kuufuta uislam kuanzia iringa mpaka huko songea..kiukwel mjeruman Cha moto alikiona haswaaaa ila teknolojia ilimbeba mjerumani(matumizi ya bunduki vs vishale). Wale akina songea mbano wote walikua kwenye jihad ya kuupigania uislam...

Kufupisha stori hawakuwa Wana sema maji Bali walitaja jina la Allah

Mshindi ndiye anayeandika historia

Note. hii ni ndoto
 
WanaJF,

Wakati tunaendelea kumshukuru Mh. Rais wetu, Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa Bi. Titi Mohamed najua tuna viongozi wengi ambao sisi vijana wa miaka ya 1990s au kabla hatuwajui sababu mfumo uliwaficha. Hii ni sababu aliyepo madarakani ndio huwa anaandika historia anavyotaka isomeke miaka ya mbeleni.

Sisi kama wanaJF tunaweza tukawaonyesha wengine viongozi ambao walisaidia nchi yetu na hata kuwatambua posthumously.

Nawasilisha
Feld marshal John okelo baba wa taifa la zanzibar
 
Back
Top Bottom