Je, kumpongeza Rais na Viongozi wa nchi kutimiza majukumu yao ni sawa?

Imma_Magira

Member
Jan 8, 2022
18
26
Na Emmanuel Magira BHRM‐Mzumbe,

Kwa miaka kadhaa sasa, tumeshuhudia kampeni nyingi sana, za kuwapongeza viongoz wa nchi katika kutimiza majukumu yao. Mfano kama CCM wanavyofanya kumpongeza mwenyekiti wao wa chama. Zaidi ya hvyo tunaona mabango yaliyobandikwa kwenye taa za barabarani zikishangilia juhudi za Rais.

Kwa hali ya kawaida haipingiki kwamba, Rais na viongozi wengine wa serikali huchaguliwa kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Bila shaka dhana inayokuja hapa ni Uwajibikaji, ikimaanisha wanawajibika kwa wananchi waliwapa dhamana.

Ukakasi na sitofahamu kwangu binafsi ni kwamba, uwepo wa uanzishwaji wa vikundi na asasi mbalimbali zinazolenga kumpromote na kumpongeza Rais katika majukum yake ni sahihi?...

Soma kwa makini maelezo haya, bila shaka wanaosoma sheria watakibaliana na mimi. "Katika kutimiza majukumu ambao inabidi uyatimize (wajibu wako) sio lazima kupokea pongezi au shukrani kwa sababu ni lazima uyatimize, na badala yake pongezi na shukrani zinaweza tolewa kwa mtu ikiwa amefanya jambo kwa utashi wake binafsi na haikuwa na lazima kufanya jambo hilo, kanakwamba hata asipolifanya hatawajibika kwa namna yeyote ile."

Hivyo je, kuna ulazima wowote wa kutumia rasilimali nguvu na muda kupongeza au kutoa shukrani kwa kiongozi ambae inabidi atimize majukumu yake hata pasipo kumshukuru na kumpongeza?

NB: Naomba nisinukuliwe vibaya, sababu mtazamo huu ukiupeleke kidini zaidi utaniona nakosea, ila ni kujaribu kufkilia kwa sisi kama wasomi, kisha tupambanue mambo.

P-IMG-20230807-WA0024.jpg
 
Na Emmanuel Magira BHRM‐Mzumbe,

Kwa miaka kadhaa sasa, tumeshuhudia kampeni nyingi sana, za kuwapongeza viongoz wa nchi katika kutimiza majukumu yao. Mfano kama CCM wanavyofanya kumpongeza mwenyekiti wao wa chama. Zaidi ya hvyo tunaona mabango yaliyobandikwa kwenye taa za barabarani zikishangilia juhudi za Rais.

Kwa hali ya kawaida haipingiki kwamba, Rais na viongozi wengine wa serikali huchaguliwa kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Bila shaka dhana inayokuja hapa ni Uwajibikaji, ikimaanisha wanawajibika kwa wananchi waliwapa dhamana.

Ukakasi na sitofahamu kwangu binafsi ni kwamba, uwepo wa uanzishwaji wa vikundi na asasi mbalimbali zinazolenga kumpromote na kumpongeza Rais katika majukum yake ni sahihi?...

Soma kwa makini maelezo haya, bila shaka wanaosoma sheria watakibaliana na mimi. "Katika kutimiza majukumu ambao inabidi uyatimize (wajibu wako) sio lazima kupokea pongezi au shukrani kwa sababu ni lazima uyatimize, na badala yake pongezi na shukrani zinaweza tolewa kwa mtu ikiwa amefanya jambo kwa utashi wake binafsi na haikuwa na lazima kufanya jambo hilo, kanakwamba hata asipolifanya hatawajibika kwa namna yeyote ile."

Hivyo je, kuna ulazima wowote wa kutumia rasilimali nguvu na muda kupongeza au kutoa shukrani kwa kiongozi ambae inabidi atimize majukumu yake hata pasipo kumshukuru na kumpongeza?

NB: Naomba nisinukuliwe vibaya, sababu mtazamo huu ukiupeleke kidini zaidi utaniona nakosea, ila ni kujaribu kufkilia kwa sisi kama wasomi, kisha tupambanue mambo.

View attachment 2711849
Si sawa hata kidogo ni ujinga mkubwa!
 
Na Emmanuel Magira BHRM‐Mzumbe,

Kwa miaka kadhaa sasa, tumeshuhudia kampeni nyingi sana, za kuwapongeza viongoz wa nchi katika kutimiza majukumu yao. Mfano kama CCM wanavyofanya kumpongeza mwenyekiti wao wa chama. Zaidi ya hvyo tunaona mabango yaliyobandikwa kwenye taa za barabarani zikishangilia juhudi za Rais.

Kwa hali ya kawaida haipingiki kwamba, Rais na viongozi wengine wa serikali huchaguliwa kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Bila shaka dhana inayokuja hapa ni Uwajibikaji, ikimaanisha wanawajibika kwa wananchi waliwapa dhamana.

Ukakasi na sitofahamu kwangu binafsi ni kwamba, uwepo wa uanzishwaji wa vikundi na asasi mbalimbali zinazolenga kumpromote na kumpongeza Rais katika majukum yake ni sahihi?...

Soma kwa makini maelezo haya, bila shaka wanaosoma sheria watakibaliana na mimi. "Katika kutimiza majukumu ambao inabidi uyatimize (wajibu wako) sio lazima kupokea pongezi au shukrani kwa sababu ni lazima uyatimize, na badala yake pongezi na shukrani zinaweza tolewa kwa mtu ikiwa amefanya jambo kwa utashi wake binafsi na haikuwa na lazima kufanya jambo hilo, kanakwamba hata asipolifanya hatawajibika kwa namna yeyote ile."

Hivyo je, kuna ulazima wowote wa kutumia rasilimali nguvu na muda kupongeza au kutoa shukrani kwa kiongozi ambae inabidi atimize majukumu yake hata pasipo kumshukuru na kumpongeza?

NB: Naomba nisinukuliwe vibaya, sababu mtazamo huu ukiupeleke kidini zaidi utaniona nakosea, ila ni kujaribu kufkilia kwa sisi kama wasomi, kisha tupambanue mambo.

View attachment 2711849
Sjasoma content yote ila nikuambie tu saa angetimiza wajibu wake hata kwa 2% tungekuwa mbali ssna
 
Kupoteza kwa Rasimali Adimu sana inayojulikana kama Muda...; Afadhali wanaopinga wanakupa changamoto ya kuboresha...
 
Na Emmanuel Magira BHRM‐Mzumbe,

Kwa miaka kadhaa sasa, tumeshuhudia kampeni nyingi sana, za kuwapongeza viongoz wa nchi katika kutimiza majukumu yao. Mfano kama CCM wanavyofanya kumpongeza mwenyekiti wao wa chama. Zaidi ya hvyo tunaona mabango yaliyobandikwa kwenye taa za barabarani zikishangilia juhudi za Rais.

Kwa hali ya kawaida haipingiki kwamba, Rais na viongozi wengine wa serikali huchaguliwa kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Bila shaka dhana inayokuja hapa ni Uwajibikaji, ikimaanisha wanawajibika kwa wananchi waliwapa dhamana.

Ukakasi na sitofahamu kwangu binafsi ni kwamba, uwepo wa uanzishwaji wa vikundi na asasi mbalimbali zinazolenga kumpromote na kumpongeza Rais katika majukum yake ni sahihi?...

Soma kwa makini maelezo haya, bila shaka wanaosoma sheria watakibaliana na mimi. "Katika kutimiza majukumu ambao inabidi uyatimize (wajibu wako) sio lazima kupokea pongezi au shukrani kwa sababu ni lazima uyatimize, na badala yake pongezi na shukrani zinaweza tolewa kwa mtu ikiwa amefanya jambo kwa utashi wake binafsi na haikuwa na lazima kufanya jambo hilo, kanakwamba hata asipolifanya hatawajibika kwa namna yeyote ile."

Hivyo je, kuna ulazima wowote wa kutumia rasilimali nguvu na muda kupongeza au kutoa shukrani kwa kiongozi ambae inabidi atimize majukumu yake hata pasipo kumshukuru na kumpongeza?

NB: Naomba nisinukuliwe vibaya, sababu mtazamo huu ukiupeleke kidini zaidi utaniona nakosea, ila ni kujaribu kufkilia kwa sisi kama wasomi, kisha tupambanue mambo.

View attachment 2711849
Ni sawa tu maan ni tabia ilishamiri kuanzia awamu iliyopita!! Ilikua mtu akipatikana toka kwa watekaji cha kwanza anamshukur rais 🤣🤣 mtu ananusurika kweny ajal cha kwanza anamshukur rais 🤣🤣 watu wanajengewa miundo mbinu sifa ni kwa Rais tena lazima!! So sioni jipya hapo hayo yote ni marudio tu.
 
Na Emmanuel Magira BHRM‐Mzumbe,

Kwa miaka kadhaa sasa, tumeshuhudia kampeni nyingi sana, za kuwapongeza viongoz wa nchi katika kutimiza majukumu yao. Mfano kama CCM wanavyofanya kumpongeza mwenyekiti wao wa chama. Zaidi ya hvyo tunaona mabango yaliyobandikwa kwenye taa za barabarani zikishangilia juhudi za Rais.

Kwa hali ya kawaida haipingiki kwamba, Rais na viongozi wengine wa serikali huchaguliwa kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Bila shaka dhana inayokuja hapa ni Uwajibikaji, ikimaanisha wanawajibika kwa wananchi waliwapa dhamana.

Ukakasi na sitofahamu kwangu binafsi ni kwamba, uwepo wa uanzishwaji wa vikundi na asasi mbalimbali zinazolenga kumpromote na kumpongeza Rais katika majukum yake ni sahihi?...

Soma kwa makini maelezo haya, bila shaka wanaosoma sheria watakibaliana na mimi. "Katika kutimiza majukumu ambao inabidi uyatimize (wajibu wako) sio lazima kupokea pongezi au shukrani kwa sababu ni lazima uyatimize, na badala yake pongezi na shukrani zinaweza tolewa kwa mtu ikiwa amefanya jambo kwa utashi wake binafsi na haikuwa na lazima kufanya jambo hilo, kanakwamba hata asipolifanya hatawajibika kwa namna yeyote ile."

Hivyo je, kuna ulazima wowote wa kutumia rasilimali nguvu na muda kupongeza au kutoa shukrani kwa kiongozi ambae inabidi atimize majukumu yake hata pasipo kumshukuru na kumpongeza?

NB: Naomba nisinukuliwe vibaya, sababu mtazamo huu ukiupeleke kidini zaidi utaniona nakosea, ila ni kujaribu kufkilia kwa sisi kama wasomi, kisha tupambanue mambo.

View attachment 2711849
Ni upumbavu tu, ni sawa wewe upongezwe kwa kuwalipia watoto wako school fees.
 
Ni upumbavu tu, ni sawa wewe upongezwe kwa kuwalipia watoto wako school fees.
Yaani school fees nilipe Mimi alafu watu wanisifie kwamba 'hongera umefanya Jambo jema kumlipia huyu mtoto ukifika uzeeni atakufaa hata kwa Sukari na Mkate', kusifia hivyo ni vibaya?
 
Na Emmanuel Magira BHRM‐Mzumbe,

Kwa miaka kadhaa sasa, tumeshuhudia kampeni nyingi sana, za kuwapongeza viongoz wa nchi katika kutimiza majukumu yao. Mfano kama CCM wanavyofanya kumpongeza mwenyekiti wao wa chama. Zaidi ya hvyo tunaona mabango yaliyobandikwa kwenye taa za barabarani zikishangilia juhudi za Rais.

Kwa hali ya kawaida haipingiki kwamba, Rais na viongozi wengine wa serikali huchaguliwa kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Bila shaka dhana inayokuja hapa ni Uwajibikaji, ikimaanisha wanawajibika kwa wananchi waliwapa dhamana.

Ukakasi na sitofahamu kwangu binafsi ni kwamba, uwepo wa uanzishwaji wa vikundi na asasi mbalimbali zinazolenga kumpromote na kumpongeza Rais katika majukum yake ni sahihi?...

Soma kwa makini maelezo haya, bila shaka wanaosoma sheria watakibaliana na mimi. "Katika kutimiza majukumu ambao inabidi uyatimize (wajibu wako) sio lazima kupokea pongezi au shukrani kwa sababu ni lazima uyatimize, na badala yake pongezi na shukrani zinaweza tolewa kwa mtu ikiwa amefanya jambo kwa utashi wake binafsi na haikuwa na lazima kufanya jambo hilo, kanakwamba hata asipolifanya hatawajibika kwa namna yeyote ile."

Hivyo je, kuna ulazima wowote wa kutumia rasilimali nguvu na muda kupongeza au kutoa shukrani kwa kiongozi ambae inabidi atimize majukumu yake hata pasipo kumshukuru na kumpongeza?

NB: Naomba nisinukuliwe vibaya, sababu mtazamo huu ukiupeleke kidini zaidi utaniona nakosea, ila ni kujaribu kufkilia kwa sisi kama wasomi, kisha tupambanue mambo.

View attachment 2711849
Kuna utaratibu rasmi wa kuwapongeza wafanyakazi wa umma na maranyingi hufanyika mara moja kila mwaka wakati wa sherehe za Mei mosi
Rais na hao viongozi wengine ni sehemu ya watumishi wa umma.. Upongezaji mwingine nje ya huo utaratibu ni kinyume cha katiba na njia ya kuhalalisha rushwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Emmanuel Magira BHRM‐Mzumbe,

Kwa miaka kadhaa sasa, tumeshuhudia kampeni nyingi sana, za kuwapongeza viongoz wa nchi katika kutimiza majukumu yao. Mfano kama CCM wanavyofanya kumpongeza mwenyekiti wao wa chama. Zaidi ya hvyo tunaona mabango yaliyobandikwa kwenye taa za barabarani zikishangilia juhudi za Rais.

Kwa hali ya kawaida haipingiki kwamba, Rais na viongozi wengine wa serikali huchaguliwa kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Bila shaka dhana inayokuja hapa ni Uwajibikaji, ikimaanisha wanawajibika kwa wananchi waliwapa dhamana.

Ukakasi na sitofahamu kwangu binafsi ni kwamba, uwepo wa uanzishwaji wa vikundi na asasi mbalimbali zinazolenga kumpromote na kumpongeza Rais katika majukum yake ni sahihi?...

Soma kwa makini maelezo haya, bila shaka wanaosoma sheria watakibaliana na mimi. "Katika kutimiza majukumu ambao inabidi uyatimize (wajibu wako) sio lazima kupokea pongezi au shukrani kwa sababu ni lazima uyatimize, na badala yake pongezi na shukrani zinaweza tolewa kwa mtu ikiwa amefanya jambo kwa utashi wake binafsi na haikuwa na lazima kufanya jambo hilo, kanakwamba hata asipolifanya hatawajibika kwa namna yeyote ile."

Hivyo je, kuna ulazima wowote wa kutumia rasilimali nguvu na muda kupongeza au kutoa shukrani kwa kiongozi ambae inabidi atimize majukumu yake hata pasipo kumshukuru na kumpongeza?

NB: Naomba nisinukuliwe vibaya, sababu mtazamo huu ukiupeleke kidini zaidi utaniona nakosea, ila ni kujaribu kufkilia kwa sisi kama wasomi, kisha tupambanue mambo.

View attachment 2711849
Asante sana. Hawa wanaobeba hili bango hawana aibu?
 
Yaani school fees nilipe Mimi alafu watu wanisifie kwamba 'hongera umefanya Jambo jema kumlipia huyu mtoto ukifika uzeeni atakufaa hata kwa Sukari na Mkate', kusifia hivyo ni vibaya?
Ndo mpaka wafanye sherehe za gharama kubwa?
 
Back
Top Bottom