Kuna KIBADAMO LODGE ni nzuri sana hasa ukipata vile vyumba vya jengo la Pili ambapo hamna lift, ukiwa na mateka wako mnafungua madirisha mnapata hewa nzuri huku mki-view ubungo bus stand, ni Tsh 30,000 tu.mbagala... mbagala live ldg
banana..... banana ldg
ubungo...... MIC hotel na Kagame hotel
hizo ndio sehemu hua nahudhulia nikiwa na mateka
MIC Hotel ni nzuri kwa vyumba vya Tsh 40,000 na kuendelea, nina mateka wangu anatokeaga Korogwe huwa namchakaza hapo. Kagame papo vizuri, mnaweza jifungia humo mkala raha tu. Shida reception watu wengi