Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,230
Peacock lodge karatu
Fun villaKwa vijana wa maeneo ya Tabata Magengeni nadhani watakuwa wanazipata vizuri hizi:
1. Bibi Erah
2. Mwendemunu
3. Kanunu
Karibuni jamvini wadau.
Mkuu mbagala live lodge naipata hii, vp gharama zake zpoje? Na vipi huduma zao mazingira ya ndan nkmbagala... mbagala live ldg
banana..... banana ldg
ubungo...... MIC hotel na Kagame hotel
hizo ndio sehemu hua nahudhulia nikiwa na mateka
Kwa vijana wa maeneo ya Tabata Magengeni nadhani watakuwa wanazipata vizuri hizi:
1. Bibi Erah
2. Mwendemunu
3. Kanunu
Karibuni jamvini wadau.
😂😂😂😂hizo ndio sehemu hua nahudhulia nikiwa na mateka
Duuh!!!!!Enzi za kufanya uhuni nimechafua guest house/lodge nyingi mnoo na hotel kadhaa!!
Cha kufurahisha zaidi pale kwenye kitabu nilikuwa najaza tarifa za marafiki zangu!! Naandika jina lake la ukweli kisha naandika na a.k.a yake km jina la ukoo, Niliwajza mpaka nikawa nawarudia!! Namba ya simu nilikuwa naweka ya swahiba wangu eng. John kisomo
Kuanzia mbagala, temeke, banana, kinondoni, magomeni, kariakoo, ilala,temeke, kigamboni, ubungo, sinza, morogoro,mwanza,tabora n.k...
Enzi za kufanya uhuni nimechafua guest house/lodge nyingi mnoo na hotel kadhaa!!
Cha kufurahisha zaidi pale kwenye kitabu nilikuwa najaza tarifa za marafiki zangu!! Naandika jina lake la ukweli kisha naandika na a.k.a yake km jina la ukoo, Niliwajza mpaka nikawa nawarudia!! Namba ya simu nilikuwa naweka ya swahiba wangu eng. John kisomo
Kuanzia mbagala, temeke, banana, kinondoni, magomeni, kariakoo, ilala,temeke, kigamboni, ubungo, sinza, morogoro,mwanza,tabora n.k...
Highland kwa pembeniKuna moja ina geti jeusi..ukishuka tu pale barracuda..fata ile lami kama unaenda njia ya vingunguti
15,000 huduma ni za kawaidaMkuu mbagala live lodge naipata hii, vp gharama zake zpoje? Na vipi huduma zao mazingira ya ndan nk
vijana wa moshi , tulikuwa tunapigia mademu pale VUNJO GUEST house, watoto wa weruweru na kibosho girlsKwa vijana wa maeneo ya Tabata Magengeni nadhani watakuwa wanazipata vizuri hizi:
1. Bibi Erah
2. Mwendemunu
3. Kanunu
Karibuni jamvini wadau.
Mkuu sehemu zote hizi umefika au umeorodhesha tu?1.Dodoma - mambo leo & Summit
2. kibondo - Cheyo & Sweedish &Kalembe
3.Kasulu - Highway @ Jerusalem & Suma
4. Makere - Safia
5.Biharamulo - Robert
6.Kahama - SM and Royal
7.Arusha - Deluxe (ipo karibu na shivaz)
8.Tanga - New safari lodge
9. Kibaha - Sima lodge
10. Songea - Half london
11.Makambako - kwa mzee abeid
12.Mbeya - Mwasa lodge
Hizo ni kwa uchache Saaana
Mkuu sehemu zote hizi umefika au umeorodhesha tu?
Hahaa!! Mkuu yote yanawezekana kama tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida na ni swahiba wangu wa karibu basi juu nimekuwekea sain lodge fulaniMkuu usijekuta uliwahi kuandika hadi jina langu?
Nanukuu1.Dodoma - mambo leo & Summit
2. kibondo - Cheyo & Sweedish &Kalembe
3.Kasulu - Highway @ Jerusalem & Suma
4. Makere - Safia
5.Biharamulo - Robert
6.Kahama - SM and Royal
7.Arusha - Deluxe (ipo karibu na shivaz)
8.Tanga - New safari lodge
9. Kibaha - Sima lodge
10. Songea - Half london
11.Makambako - kwa mzee abeid
12.Mbeya - Mwasa lodge
Hizo ni kwa uchache Saaana