Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Inakuwaje taifa ambalo toka limepata uhuru uhaba wa madarasa, maji na huduma za afya ni jambo la kawaida, umaskini mkubwa kwa raia wake ni jambo la kawaida halafu bado linakuwa na sheria ambayo ilitungwa na Bunge kuhudumia na kulipa mafao viongozi wakuu wa kisiasa waliostaafu?
Inaingia akilini kumlipa mafao ya kumjengea majumba ya kifahari Rais au Waziri Mkuu ambae alishawahi kuhudumu serikalini zaidi ya miaka ishirini?
Kama Taifa linalojali wananchi wake kwanini hizi pesa zisitumike kuimarisha huduma za afya, elimu na miundombinu ili kuondoa umaskini?
Mtu alihudumu kama waziri kwa miaka ishirini, kisha anakuwa Rais kwa miaka kumi bado tu anahitaji nyumba na gari ya bure? Tena ya mabilioni ya shilingi? Kwa nini asijenge kwa mshahara wake?
My take: Kuna sheria zingine hazifai kuwepo kwenye nchi kama hii ambayo bado sana ipo nyuma kimaendeleo.
Inaingia akilini kumlipa mafao ya kumjengea majumba ya kifahari Rais au Waziri Mkuu ambae alishawahi kuhudumu serikalini zaidi ya miaka ishirini?
Kama Taifa linalojali wananchi wake kwanini hizi pesa zisitumike kuimarisha huduma za afya, elimu na miundombinu ili kuondoa umaskini?
Mtu alihudumu kama waziri kwa miaka ishirini, kisha anakuwa Rais kwa miaka kumi bado tu anahitaji nyumba na gari ya bure? Tena ya mabilioni ya shilingi? Kwa nini asijenge kwa mshahara wake?
My take: Kuna sheria zingine hazifai kuwepo kwenye nchi kama hii ambayo bado sana ipo nyuma kimaendeleo.