desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,289
- 5,468
Jamaa kaipasua toto tamu
Jamaa kaipasua toto tamu
Hivo ndio vitu hufanya ndoa nyingi kufaNi ujinga wa hali ya juu kuweka maisha yenu personal mitandaoni.
Hao wanandoa wote wana makandokando ya kufa mtu.
Sijaona Uzi uko wapi huo?Kwan hujaona watu walivyokua wanafungua files za huyu Lucy kipindi anasoma pale Green Acres?? Ni shida sana
Wew umeshaliwa mara ngap na shemeji yako pale ambapo dada ako anakuwa hayupoAcha kujipendekeza kwa wanaume bwashee, huyo Gilsant si ajabu hata hakujui ila upo busy humu kumtetea na kulazimisha watu kumjua ilhali hajulikani.Atakuja kukula kitobo,shauri yako sasa. 😂😂😂😂
Eeeeeh haya bwana, ngoja nikuache na Gilsant wako maana naona umaeanza kuleta makasiriko.Wew umeshaliwa mara ngap na shemeji yako pale ambapo dada ako anakuwa hayupo
MamboMe hata sijaelewa kwa kweli
Nop yuko Mwenge KKKT siku hiziHapo namuona Mch. Dkt Lyimo... Ni Hananasifu KKKT?
Okay Asante Kwa info.Nop yuko Mwenge KKKT siku hizi
unaweza kuta baada ya kutoka Airtel saivi upo titisielo mnampa wakati mgumu Mh KindambaBrother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani
Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya
Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..
Ndoa ipo twitter?Leo twitter kuna ndoa ya taifa
Fresh, niaje?Mambo
Uzito upi?Laiti ungejua uzito wa Gilsant usinge andika hivi. Ungepata nafasi ya kuhudhuria hii harusi ungemuelewa mleta uzi anamaanisha nini
Mkuu umeelezea fresh sana. Shida ya Vijana wa Sasa ni Ushamba na ujuaji mwingii.usihangaishe sana kichwa
Jamaa ni mtu wa digital marketing na ana ushawishi wake twitter, of course couple yao ni maarufu sana twitter na ndoa yao imeisimamisha kiaina
ila ukija kwenye uhalisia, bado sanaa kuwa "celebrities" wa tz kwa sababu watu maarufu wa bongo hii ni aidha uwe kwenye Entertainment industry au siasa.
Hapo utaona mtu kama kigogo, maria Sarungi au Fatma wanatamba twitter ila wanajulikana hadi jf na street kiasi, ila waliopo kwenye technology ambao ndo wengi twitter ni bado sanaaa. Hiki ndicho mleta mada hataki kuamini