Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Sasa mimi nasubiri msimu nikanunue alizeti Burundi au Singida mwezi wa tano, niweke vijunia vyangu 20 nasubiri kuuza mwezi wa 11 au 12 bei imepanda mara mbili huyo jamaa nitamjulia wapi? Halafu anasema C.E. O roundtable hivi mtu kama Kitana wa mwanza anajua hiyo roundtable inajishughulisha na nini?
Kitana Le boss
 
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha. Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni. Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
Taifa la ny..ko

#MaendeleoHayanaChama
 
JF kuna sadist wengi sana Kaka. Mara nyingi wanajiona wanajua vitu vingi na wakishajua hawajui kitu ili kujifariji wanakuattack. Wazoee tu
Watu Wana wivu sana na ndo wanawakilisha tabia ya watanzania wengi
Kuna watu kibao wamemchukia jamaa ghafla na hawamjui
Jamaa namjua kiasi chake ni role model kwa vijana ni mpambanaji
 
Ni comments nzuri hawa watu kazi yao kutishatisha watu mara fulani mara vile sasa unaweza kudhani upo nyuma sana kumbe wakiletwa mbele yako wao ni mbugila tu wako nyuma hata hawakufikii, sasa unataka kusema mwamba anaechukua kitunguu mang’ola kwa mwaka mzima yeye anaijua kenya na juba sudani kusini anawafahamu hao ili wamsaidie nini? Wakati huko tu anapiga pesa ndefu kuliko hao tunaolazimishwa tuwafahamu wana connection
Sidhani Kama umelazimishwa Uwa fahamu hii ni jamiiforum kila mtu yuko huru kuleta habari,
Acha husda, uvivu na uzushi havitakusaidia
 
Jamaa maarufu jamhuri ya Twitter... viongozi wote wa Twitter Tanzania walikuwepo kwenye harusi
 
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha. Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni. Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
Hii ndoa haitoboi mwaka.....Wako desperate na harusi kuliko ndoa kwisha habari 😂😂😂😂
 
Ni huyu aliwahi fanya kazi ya Airtel kipindi cha nyuma like 2009 to 2010 Arusha ? Sikumbuki kitengo au namfananisha .
 
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha. Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni. Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
Hata siwajui. Nilisimama saa ngapi
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom