Taifa limechanganyikiwa?

Taifa limechanganyikiwa?

Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi

Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi

Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
giphy.gif
Ufafanuzi wa mabehewa ya SGR ndio umenimaliza kabisa [emoji3][emoji3]
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi

Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi

Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
giphy.gif

Hili la SGR ufafanuzi wake sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoa mada hunaga uwezo na weledi wa kupambanua na kijadili mambo katika uhalisia wake bali huongozwa na hisia zako tu binafsi. Umeandika fantasy yako tu.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena, maji kudra zimeokoa jahazi.

Sasa haya mengine hata hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi.

Fafanuzi za umeme usio imara.
Fafanuzi za mikopo ya matrilion.
Fafanuzi za deni la taifa.
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu.
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake n.k.
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi siyo wamoja, wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi, wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827].

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827].
giphy.gif
Vipato vya watu vimeongezeka vinaweza kimudu hayo unayoyasema bila shida yeyote..

Tzn ndio Ina inflation ndogo Sana kuliko Nchi Nyingi za Afrika
 
Hiki ndo kipindi wafafanuzi wamekuwa juu sana, ukubali ufafanuzi au laa wao washamaliza kazi.....
 
Umebarikiwa sana Eee Tanzania,

U pekee, Taifa pekee katika zama hizi za mwisho.

Israeli ataisikia Kutoka mbali, mbali huko ni Tanzania.

Kuchanganyikiwa Kwa viongozi ni dalili za kufika mwisho Kwa KIBALI Chao Kwa wananchi.

Kiti hicho kuu ktk Nchi atakaa mwenyewe kupitia mtumishi wake.

NURU kuu itaangaza tena Tanzania.

Aaaamen.
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena, maji kudra zimeokoa jahazi.

Sasa haya mengine hata hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi.

Fafanuzi za umeme usio imara.
Fafanuzi za mikopo ya matrilion.
Fafanuzi za deni la taifa.
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu.
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake n.k.
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi siyo wamoja, wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi, wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827].

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827].
giphy.gif
Fatilia kwa nchi za Africa Mashariki utagundua Tanzania inauza vyakula hata bando kwa bei rahisi sana
 
Jadili kwa heshima la sivyo hatutawezana, huyo unayejaribu kumtetea ndio anatusababishia upuuzi wote huu unaotokea sasa
Kungekuwa na mgawanyo wa madaraka na weledi kwenye kuteua na kuchagua taifa lisingefika hapa tulipo sasa
Mungu aliamua ugomvi mkubwa sana kilichofutikwa chini ni uvundo hata kimwagiwe pipa la marashi hakitaacha kunuka na harufu yake inaenda maili nyingi sana
Naendelea kuwaambia, kama kuna mwanakutawala ama mwanakupinga haongelei upinzan kuongezeka bungeni hii nchi italiwa na wakutusemea hatakuepo, vyote mnavosema humu ,lile kundi la kula hiki kipindi liko huru kuanzia bungeni,mahakamani na mpaka setikalini, hiki kipindi litafanya juu chini kujenga mnala wa utajiri ili wa kulitiksa mbeleni asiwepo. Tuombe Mungu 2025 wanakulipinga wawe wengi sana, hili kundi ndyo litakua na simile otherwise Twaafwaa Byonkabyo!!
 
Mshana Jr wewe siyo mtu wa low IQ kiasi hicho. Dkt Magufuli alikuwa na dhamira njema na nchi yetu. Najua unafahamu kabisa hakuna nchi iliyoendelea bila kuwa na msimamo wa kuondoa tofauti. Ndiyo maana hata Ulaya wanawafundisha watoto wao na kuwaambia waafrica ni wajinga na hawana akili na ni wakutawaliwa. Ndiyo maana likija suala la maslahi ya kitaifa wanaungana. Sisi watanzania baadhi yetu wasiokuwa na uelewa unakuta kipindi kile Dkt Magufuli anapigania uwajibikaji serikalini kuna watu wakamuona mbabe, na ushahidi vyetu feki wamelipwa, na bado wafanyakazi hewa wanaweza kurudi. Kibaya kabisa kibaya kabisa ni wewe unalalamika wakati kipindi cha JK ulimtukana mzee wa watu, na alipokuja Dkt Magufuli ulikuwa mpinzani na kwa rais Samia hutaki kuwa chawa
Mumesahau kua huyu JPM aliua visemeo vya wananchi kwa mtutu wa Bunduki.!!
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena, maji kudra zimeokoa jahazi.

Sasa haya mengine hata hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi.

Fafanuzi za umeme usio imara.
Fafanuzi za mikopo ya matrilion.
Fafanuzi za deni la taifa.
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu.
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake n.k.
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi siyo wamoja, wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi, wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827].

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827].
giphy.gif
Mambo ya hovyo sana
 
Wanzanzibara safari hii kazi tunayo!
Sasa Mkuu Mshana vipi uko kwenye vyombo vyenu vya asili hamjaliona hili suala la kurogwa ili tujue tunatokaje hapa!
 
Back
Top Bottom