Taifa limechanganyikiwa?

Taifa limechanganyikiwa?

Mabadiliko hatuwezi kuletewa na viongozi walewale wa kila siku...mbaya zaidi hata viongozi wapya vijana huko chawala hakuna wajasiri waadilifu ni wa kuhesabu..ukoo wa panya wakifisadi kila mtu anawaza apate nafasi apige asepe walahu tu achote kama ni billion zake tano hata mkifukuza hiko cheo fresh tu..madeal madeal
 
Niliwahi soma ushuhuda wa Prof. Iyke Nathan Uzorma The grand master now in Christ.( Mkuu wa wachawi amrudia Kristo). Sikukumbuki ni part ya ngapi ila kwenye huo ushuhuda kuna sehemu alieleza kuwa kuna:-

1.Uchawi wa kuroga mtu mmoja,
2.Kuna uchawi wa kuroga familia,
3 Uchawi wa kuroga ukoo mzima na
4.Uchawi wa kuroga nchi nzima.

Watu wengi wanashangaa kwanini kuna nchi hazina rasilimali za kutosha lakini zimeendelea kuliko nchi zenye ardhi nzuri,maji,misitu,wanyama na madini ya kila aina?

Si bure Mshana tumerogwa akili ndio maana tunakuwa km mazombi tu. Haiwezekani mafuta juu,chakula juu,umeme hamna,maji hamna, na bado raia tupo kimya tu![emoji15][emoji15][emoji15].
Kafara la kukimbiza moto[emoji2827]
giphy.gif
 
Mabadiliko hatuwezi kuletewa na viongozi walewale wa kila siku...mbaya zaidi hata viongozi wapya vijana huko chawala hakuna wajasiri waadilifu ni wa kuhesabu..ukoo wa panya wakifisadi kila mtu anawaza apate nafasi apige asepe walahu tu achote kama ni billion zake tano hata mkifukuza hiko cheo fresh tu..madeal madeal
Si kila chizi karogwa.[emoji2827]
20221211_053949.jpg
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi

Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi

Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
giphy.gif
Iko hivii? Dhambi hufanywa ufichoni lakini kuna nguvu ya Mungu hutokeaga na kisha kuifanya dhambi hiyo kubumburuka!

Mf:mtu anafanikisha kuvunja na kuiba, lakini anadondosha kitambulisho eneo la tukio!

Mtu anamsaliti mkewe, lakini anafumaniwa "anaye" sehemu tena ghafla bila ya mkewe huyo kupanga kupitia eneo hilo la mafichoni kona kona vichochoroni huko!

Mifano hiyo ya mambo madogo, hutenda hata kwa mambo makubwa.

Sasa na hili genge limekula na kusahau kufuta midomo na kubakiza mabaki ya wali videvuni mwao kupelekea kila mtu kuelewa kuwa wametoka kula.

Wanapokuja kujiangalia kwenye kioo na kujifuta, haisaidii sababu kila mtu kaona
mabaki midomoni mwao na kishajaji!

Tunaomwamini Mungu tunaelewa kuwa nguvu ya kudhalilisha waovu ipo na inafanya kazi daima.

Ninachochukia mimi ni kampeni ya kichawa inayofanywa na Mawaziri, Wabunge na kila aina ya wateuliwa kusifia bila kukosoa mpaka anayesifiwa mwenyewe kushitukia!

Ninadhani kipindi hiki cha mpito kinachoibua mambo ya hovyo hovyo na ya kukera namna hii, yaweza kuwa ni njia ya kusudi la Mwenyezi Mungu kutuonesha ya sirini ambayo watawala hawataki tuyajue ili sasa maamuzi yabakie kwetu wenyewe!
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi

Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi

Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
giphy.gif
Lkn mkuuu mbna mlikuwa mnamuona magufuli kuwa mbinafsi ,umeona sas umehimu wa jiwe pmj na ishu zake ila jiwe alikuwa rais wa kweli kbsa kwa watanzani

Iliapzwa vyma vyote viungane kumsapoti magufuli kwa kipindi kile

Leo had na wew una lia lia tena bila aibu ,bila kuficha ids kbsa ,hpn mkuu siyo swaa kbsa nyie peopless mlifurahia san magufulia alivyo kufa na mlifanya sherehee kbsaa hvyo sioni sababu wa mtu yoyote kutoka chadema kuanza vilio huku
 
Iko hivii? Dhambi hufanywa ufichoni lakini kuna nguvu ya Mungu hutokeaga na kisha kuifanya dhambi hiyo kubumburuka!

Mf:mtu anafanikisha kuvunja na kuiba, lakini anadondosha kitambulisho eneo la tukio!

Mtu anamsaliti mkewe, lakini anafumaniwa "anaye" sehemu tena ghafla bila ya mkewe huyo kupanga kupitia eneo hilo la mafichoni kona kona vichochoroni huko!

Mifano hiyo ya mambo madogo, hutenda hata kwa mambo makubwa.

Sasa na hili genge limekula na kusahau kufuta midomo na kubakiza mabaki ya wali videvuni mwao kupelekea kila mtu kuelewa kuwa wametoka kula.

Wanapokuja kujiangalia kwenye kioo na kujifuta, haisaidii sababu kila mtu kaona
mabaki midomoni mwao na kishajaji!

Tunaomwamini Mungu tunaelewa kuwa nguvu ya kudhalilisha waovu ipo na inafanya kazi daima.

Ninachochukia mimi ni kampeni ya kichawa inayofanywa na Mawaziri, Wabunge na kila aina ya wateuliwa kusifia bila kukosoa mpaka anayesifiwa mwenyewe kushitukia!

Ninadhani kipindi hiki cha mpito kinachoibua mambo ya hovyo hovyo na ya kukera namna hii, yaweza kuwa ni njia ya kusudi la Mwenyezi Mungu kutuonesha ya sirini ambayo watawala hawataki tuyajue ili sasa maamuzi yabakie kwetu wenyewe!
Ninachochukia mimi ni kampeni ya kichawa inayofanywa na Mawaziri, Wabunge na kila aina ya wateuliwa kusifia bila kukosoa mpaka anayesifiwa mwenyewe kushitukia[emoji1752]
 
Lkn mkuuu mbna mlikuwa mnamuona magufuli kuwa mbinafsi ,umeona sas umehimu wa jiwe pmj na ishu zake ila jiwe alikuwa rais wa kweli kbsa kwa watanzani

Iliapzwa vyma vyote viungane kumsapoti magufuli kwa kipindi kile

Leo had na wew una lia lia tena bila aibu ,bila kuficha ids kbsa ,hpn mkuu siyo swaa kbsa nyie peopless mlifurahia san magufulia alivyo kufa na mlifanya sherehee kbsaa hvyo sioni sababu wa mtu yoyote kutoka chadema kuanza vilio huku
Tena huyo ndio chanzo cha madhila yote haya usimpambe hapambiki
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi

Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi

Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
giphy.gif
Mshana Jr nyamaza kabisa tena funga domo lako mlaba asali mkubwa. Wewe ni moja ya watu mliofanya sherehe kuwaunga mkono waliofanikisha mauaji ya Dkt Magufuli, na mlijipambanua kuwa mnashukuru kwa ujio wa Rais Samia. Nadhani mtulie tu maana laana ya mkuu wa nchi siyo jambo dogo na yule mdau aliyesema rais akifa akiwa madarakani nchi inakuwa kwenye hali ya tahadhari hata kwa miaka 30 ni kweli. Kibaya viongozi wetu waliotekeleza hayo mauaji ya rais aliyekuwa madarakani hawana aibu, yaani wamekuwa wakijiweka wazi kabisa bila kifichao mara Mungu kaamua ugomvi mara nimekuwa rais kwa Kudra za Mwenyezi mungu mara watu wazuri hawafi etc. Kikubwa pamoja na tofauti zetu tusiruhusu mauaji mengine yatokee, sisi wazalendo tulishakubali wauaji walifanikiwa na mtu wetu hayupo so tusonge mbele ila waache dharau na majigambo
 
Mshana Jr nyamaza kabisa tena funga domo lako mlaba asali mkubwa. Wewe ni moja ya watu mliofanya sherehe kuwaunga mkono waliofanikisha mauaji ya Dkt Magufuli, na mlijipambanua kuwa mnashukuru kwa ujio wa Rais Samia. Nadhani mtulie tu maana laana ya mkuu wa nchi siyo jambo dogo na yule mdau aliyesema rais akifa akiwa madarakani nchi inakuwa kwenye hali ya tahadhari hata kwa miaka 30 ni kweli. Kibaya viongozi wetu waliotekeleza hayo mauaji ya rais aliyekuwa madarakani hawana aibu, yaani wamekuwa wakijiweka wazi kabisa bila kifichao mara Mungu kaamua ugomvi mara nimekuwa rais kwa Kudra za Mwenyezi mungu mara watu wazuri hawafi etc. Kikubwa pamoja na tofauti zetu tusiruhusu mauaji mengine yatokee, sisi wazalendo tulishakubali wauaji walifanikiwa na mtu wetu hayupo so tusonge mbele ila waache dharau na majigambo
Jadili kwa heshima la sivyo hatutawezana, huyo unayejaribu kumtetea ndio anatusababishia upuuzi wote huu unaotokea sasa
Kungekuwa na mgawanyo wa madaraka na weledi kwenye kuteua na kuchagua taifa lisingefika hapa tulipo sasa
Mungu aliamua ugomvi mkubwa sana kilichofutikwa chini ni uvundo hata kimwagiwe pipa la marashi hakitaacha kunuka na harufu yake inaenda maili nyingi sana
 
Tena huyo ndio chanzo cha madhila yote haya usimpambe hapambiki
Mshana Jr wewe siyo mtu wa low IQ kiasi hicho. Dkt Magufuli alikuwa na dhamira njema na nchi yetu. Najua unafahamu kabisa hakuna nchi iliyoendelea bila kuwa na msimamo wa kuondoa tofauti. Ndiyo maana hata Ulaya wanawafundisha watoto wao na kuwaambia waafrica ni wajinga na hawana akili na ni wakutawaliwa. Ndiyo maana likija suala la maslahi ya kitaifa wanaungana. Sisi watanzania baadhi yetu wasiokuwa na uelewa unakuta kipindi kile Dkt Magufuli anapigania uwajibikaji serikalini kuna watu wakamuona mbabe, na ushahidi vyetu feki wamelipwa, na bado wafanyakazi hewa wanaweza kurudi. Kibaya kabisa kibaya kabisa ni wewe unalalamika wakati kipindi cha JK ulimtukana mzee wa watu, na alipokuja Dkt Magufuli ulikuwa mpinzani na kwa rais Samia hutaki kuwa chawa
 
Jadili kwa heshima la sivyo hatutawezana, huyo unayejaribu kumtetea ndio anatusababishia upuuzi wote huu unaotokea sasa
Kungekuwa na mgawanyo wa madaraka na weledi kwenye kuteua na kuchagua taifa lisingefika hapa tulipo sasa
Mungu aliamua ugomvi mkubwa sana kilichofutikwa chini ni uvundo hata kimwagiwe pipa la marashi hakitaacha kunuka na harufu yake inaenda maili nyingi sana
Hapana siyo jaziba Mshana Jr wewe ndiyo unajisikia jazba kwa sababu watu kama wewr ndiyo mmechangia kumharibu Rais Samia, mnamdanganya kumuambia wewe kuwa mwema kuzidi Dkt Magufuli, achana na sera za Dkt Magufuli, samehe watu kodi, usiwe mkali kwenye rasilimali, ruhusu watu wale rushwa kwa urefu wa kamba zao, hakikisha watu wanakwepa kodi kwa kukataza ma ofisa wa TRA wasiende kudai kodi etc. Kikubwa hali iliyopo sasa imechagiwa sana na chawa, yaani Rais Samia kwa ufupi hakuwa anashirikishwa kwenye maamuzi na Dkt Magufuli kiasi kwamba kaja kupewa nchi hata hajui aanzie wapi na kibaya akawaweka chawa karibu matokeo yake anapagiwa safari 24/7 ili asijue kinachoendelea na wazee wanapanga safu yao.

Mkutano wa juzi unaonesha kabisa Rais Samia HAWEZI kuwa mgombea pekee wa CCM 2025 na sababu kubwa wamemtengenezea mazingira ya chuki kwa wapiga kura na hiyo ni sababu tosha kabisa aliyoigusia Kikwete kuwa iwapo kama haki isipobadilika mpaka 2025 (hali gani hiyo wakati tayari Rais Samia anachukiwa na kila mtanzania?)
 
Back
Top Bottom