Twafwaaa!🤣🤣🤣Nako kumechanganyikiwa [emoji23]
Arusha kwa nabii
Hii mbona Haina uhusiano na huu Uzi.Baada ya watu kubanwa na kuambiwa wazi ...Uhuru wao Una limit ...not to that extent..Kwa miaka 6...
Kinachotokea sasa ni too much freedom ya kulalamika na kulaumu...
Watu wanapata sehemu ya kuondoa machungu Yao tu..new freedom ina mambo yake
Hili la SGR ufafanuzi wake sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ufafanuzi wa mabehewa ya SGR ndio umenimaliza kabisa [emoji3][emoji3]
Mizimu ya babu yako inakusaidia kuwa na fikra njemaSio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!
Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena, maji kudra zimeokoa jahazi.
Sasa haya mengine hata hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi.
Fafanuzi za umeme usio imara.
Fafanuzi za mikopo ya matrilion.
Fafanuzi za deni la taifa.
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu.
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake n.k.
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?
Wafafanuzi siyo wamoja, wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea. Taifa linaumwa!
Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi, wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827].
Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!
Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827].
![]()
Watanzania walitegemea Mbowe, Lema na Lissu wawatetee kila siku, sasa tupambane na hali yetu, Mh. Mbowe endelea kakaa kimya - kwa sasa watanzania wamegeuka na kusema ati kapewa bahasha na CCMSio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!
Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena, maji kudra zimeokoa jahazi.
Sasa haya mengine hata hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi.
Fafanuzi za umeme usio imara.
Fafanuzi za mikopo ya matrilion.
Fafanuzi za deni la taifa.
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu.
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake n.k.
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?
Wafafanuzi siyo wamoja, wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea. Taifa linaumwa!
Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi, wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827].
Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!
Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827].
![]()
Taifa linalotukana na kuwazaba vibao wazee ni lazima lilaaniwe na Muumba !! Huenda tumeshafika au tunakaribia huko. !!Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!
Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena, maji kudra zimeokoa jahazi.
Sasa haya mengine hata hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi.
Fafanuzi za umeme usio imara.
Fafanuzi za mikopo ya matrilion.
Fafanuzi za deni la taifa.
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu.
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake n.k.
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?
Wafafanuzi siyo wamoja, wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea. Taifa linaumwa!
Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi, wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827].
Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!
Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827].
![]()
Shukurani ni sauti ya imani, tumshukuru Mungu kwa hii confusion maana ni katika hili amani ya kweli itapatikanaSio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!
Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena, maji kudra zimeokoa jahazi.
Sasa haya mengine hata hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi.
Fafanuzi za umeme usio imara.
Fafanuzi za mikopo ya matrilion.
Fafanuzi za deni la taifa.
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu.
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake n.k.
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?
Wafafanuzi siyo wamoja, wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea. Taifa linaumwa!
Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi, wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827].
Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!
Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827].
![]()
Taifa linaloongozwa na ukoo wa panya ambapo kila mtu ni mwizi. Huwa najiuliza kweli mtu mwenye akili timamu unawezajue kumpa Mwigulu aongoze wizara nyeti ya fedhaSio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!
Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena, maji kudra zimeokoa jahazi.
Sasa haya mengine hata hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi.
Fafanuzi za umeme usio imara.
Fafanuzi za mikopo ya matrilion.
Fafanuzi za deni la taifa.
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu.
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake n.k.
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?
Wafafanuzi siyo wamoja, wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea. Taifa linaumwa!
Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi, wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827].
Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!
Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827].
![]()
Inawezekana kabisa! Wanasemaga Everything is happening for a reason !!Shukurani ni sauti ya imani, tumshukuru Mungu kwa hii confusion maana ni katika hili amani ya kweli itapatikana