Taifa limechanganyikiwa?

Taifa limechanganyikiwa?

Hapana siyo jaziba Mshana Jr wewe ndiyo unajisikia jazba kwa sababu watu kama wewr ndiyo mmechangia kumharibu Rais Samia, mnamdanganya kumuambia wewe kuwa mwema kuzidi Dkt Magufuli, achana na sera za Dkt Magufuli, samehe watu kodi, usiwe mkali kwenye rasilimali, ruhusu watu wale rushwa kwa urefu wa kamba zao, hakikisha watu wanakwepa kodi kwa kukataza ma ofisa wa TRA wasiende kudai kodi etc. Kikubwa hali iliyopo sasa imechagiwa sana na chawa, yaani Rais Samia kwa ufupi hakuwa anashirikishwa kwenye maamuzi na Dkt Magufuli kiasi kwamba kaja kupewa nchi hata hajui aanzie wapi na kibaya akawaweka chawa karibu matokeo yake anapagiwa safari 24/7 ili asijue kinachoendelea na wazee wanapanga safu yao.

Mkutano wa juzi unaonesha kabisa Rais Samia HAWEZI kuwa mgombea pekee wa CCM 2025 na sababu kubwa wamemtengenezea mazingira ya chuki kwa wapiga kura na hiyo ni sababu tosha kabisa aliyoigusia Kikwete kuwa iwapo kama haki isipobadilika mpaka 2025 (hali gani hiyo wakati tayari Rais Samia anachukiwa na kila mtanzania?)
Kisima kile kile
Maji Yale Yale
Ila kata ndio mpya

Magufuli hakufaa alivyokuwa rangi ndio atafaa huyu chokaa.
Mkikataa nzi wa kijani basi angalau nchi itapata Nuru.

Anzeni kumlaumu Nzilankende na sera zake mbaya mpaka kutuchagulia makamu ohe ahe.
Mshana yupo sahihi
 
Kisima kile kile
Maji Yale Yale
Ila kata ndio mpya

Magufuli hakufaa alivyokuwa rangi ndio atafaa huyu chokaa.
Mkikataa nzi wa kijani basi angalau nchi itapata Nuru.

Anzeni kumlaumu Nzilankende na sera zake mbaya mpaka kutuchagulia makamu ohe ahe.
Mshana yupo sahihi
Ila kweli hivi ilikuwaje akachagua makamu wa vile ambaye kabisa kigogo alishawahi andika ni msagaji?? Na mtumia spirit kwa sana??? Yaani dah ni noma. Ni afadhali awamu ya pili angechagua hata Lukuvi au Majaliwa tungepona kabisa. Ila kwa sasa inasikitisha sana
 
Mshana Jr wewe siyo mtu wa low IQ kiasi hicho. Dkt Magufuli alikuwa na dhamira njema na nchi yetu. Najua unafahamu kabisa hakuna nchi iliyoendelea bila kuwa na msimamo wa kuondoa tofauti. Ndiyo maana hata Ulaya wanawafundisha watoto wao na kuwaambia waafrica ni wajinga na hawana akili na ni wakutawaliwa. Ndiyo maana likija suala la maslahi ya kitaifa wanaungana. Sisi watanzania baadhi yetu wasiokuwa na uelewa unakuta kipindi kile Dkt Magufuli anapigania uwajibikaji serikalini kuna watu wakamuona mbabe, na ushahidi vyetu feki wamelipwa, na bado wafanyakazi hewa wanaweza kurudi. Kibaya kabisa kibaya kabisa ni wewe unalalamika wakati kipindi cha JK ulimtukana mzee wa watu, na alipokuja Dkt Magufuli ulikuwa mpinzani na kwa rais Samia hutaki kuwa chawa
Kumbe hata hujaelewa mada inazungumzia kitu gani.. Hapa kazi ipo! Huwa nawajadili walio hai sio waliolala kuzimu na kila kipindi kina mitazamo yake. Bunge kibogoyo na uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ni mambo ambayo yatabaki kuwa historia mbaya kwenye hili taifa na mtendaji mkuu anajulikana
 
Hapana siyo jaziba Mshana Jr wewe ndiyo unajisikia jazba kwa sababu watu kama wewr ndiyo mmechangia kumharibu Rais Samia, mnamdanganya kumuambia wewe kuwa mwema kuzidi Dkt Magufuli, achana na sera za Dkt Magufuli, samehe watu kodi, usiwe mkali kwenye rasilimali, ruhusu watu wale rushwa kwa urefu wa kamba zao, hakikisha watu wanakwepa kodi kwa kukataza ma ofisa wa TRA wasiende kudai kodi etc. Kikubwa hali iliyopo sasa imechagiwa sana na chawa, yaani Rais Samia kwa ufupi hakuwa anashirikishwa kwenye maamuzi na Dkt Magufuli kiasi kwamba kaja kupewa nchi hata hajui aanzie wapi na kibaya akawaweka chawa karibu matokeo yake anapagiwa safari 24/7 ili asijue kinachoendelea na wazee wanapanga safu yao.

Mkutano wa juzi unaonesha kabisa Rais Samia HAWEZI kuwa mgombea pekee wa CCM 2025 na sababu kubwa wamemtengenezea mazingira ya chuki kwa wapiga kura na hiyo ni sababu tosha kabisa aliyoigusia Kikwete kuwa iwapo kama haki isipobadilika mpaka 2025 (hali gani hiyo wakati tayari Rais Samia anachukiwa na kila mtanzania?)
Wote ni walewale tuu.. Usiniingize kwenye kujadili watu najadili taifa kuchanganyikiwa .. Na wa kubeba hii lawama wanajulikana kuanzia hao wafu mpaka hawa walio hai
 
Kumbe hata hujaelewa mada inazungumzia kitu gani.. Hapa kazi ipo! Huwa nawajadili walio hai sio waliolala kuzimu na kila kipindi kina mitazamo yake
Bunge kibogoyo na uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ni mambo ambayo yatabaki kuwa historia mbaya kwenye hili taifa na mtendaji mkuu anajulikana
Kila kitu ulikuwa mkakati, kwa sababu wewe huijui serikali na mifumo yake basi kamwe hutaweza kujua hasa kwa nini serikali ilifanya hivyo na wala hakuwa Dkt Magufuli. Na unajua kabisa kuna sheria ambayo rais akijaribu kuua upinzani anaweza kuondolewa madarakani. Dkt Magufuli hakuua upinzani ila kilichotokea ni hawa hawa walamba asali akina Mbowe na akina Zitto kuwabeza serikali iliyowapa nafasi ya kufanya nao kazi. Hivi wewe unajua kuwa vyombo vya ulinzi na usalama they are there kwa kila mtu??? Ila ukiwazingua wanakuzingua. Upinzani ulijiua wenyewe kwa kukosa hoja
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi

Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi

Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
giphy.gif

Nilikuwa nikiwaambia , Damu aliyoimwaga Nyerere ni nyingi. Wa Zanzibari kwa maelfu waliuliwa wakati wa Uvamizi wa 1964, na siku hizi kila uchafuzi unaoitwa uchaguzi huuliwa watu , kunajisiwa, kutiwa vilema . Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi. Huu ni wakati wa Tanganyika kuiwachia Zanzibar na kuomba radhi kwa waliyoyafanya ili hii laana isiendelee kuitafuna. Vyenginevyo tutaona makubwa zaidi ya haya. Amkeni wakati ndio huu
 
Kila kitu ulikuwa mkakati, kwa sababu wewe huijui serikali na mifumo yake basi kamwe hutaweza kujua hasa kwa nini serikali ilifanya hivyo na wala hakuwa Dkt Magufuli. Na unajua kabisa kuna sheria ambayo rais akijaribu kuua upinzani anaweza kuondolewa madarakani. Dkt Magufuli hakuua upinzani ila kilichotokea ni hawa hawa walamba asali akina Mbowe na akina Zitto kuwabeza serikali iliyowapa nafasi ya kufanya nao kazi. Hivi wewe unajua kuwa vyombo vya ulinzi na usalama they are there kwa kila mtu??? Ila ukiwazingua wanakuzingua. Upinzani ulijiua wenyewe kwa kukosa hoja
Una tatizo kubwa nimegundua huwezi kujadili hoja bali uko kujadili watu. Ukiishi kujadili watu utashindwa kwenye hoja nyingi sana
 
Una tatizo kubwa nimegundua huwezi kujadili hoja bali uko kujadili watu. Ukiishi kujadili watu utashindwa kwenye hoja nyingi sana
💉💉💉💉🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi

Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi

Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
giphy.gif
Ukitoa roho ya mtu mwema hubaki salama lazima utangetange,ogopa kuhusika na tukio la kumwaga damu uchizi flani lazima ukuingie swala la muda Tu maana washaanza kuropoka
 
Kuna shida kubwa sana na kuna mijamaa inashupaza shingo tu kwamba hakuna shida , yaani tuna matatizo mengi sana katika taifa lakini kuna majamaa kama kina sufiani wamejitoa akili kama vile hawako Tanzania , kuwa Fisiemu ni matatizo SANA. SHAME
 
Hata mimi kajamba nani,,, usiku wa kuamkia leo nimetafakari yanayoendelea nchini hadi nikaona aibu kwa watoto wetu hawa sijui tutawaeleza nini, maana hatushtuki kabisa tunaibiwa na wanaotuibia wanatutukana na kujigamba hatuna cha kuwafanya nasi tumetulia tu, tupo km kondoo,,, ni aibu na huruma sana kwa hii nchi
 
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!

Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi

Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi

Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?

Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!

Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]

Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!

Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
giphy.gif
CC Pascal Mayalla mainly kwenye kila mtoa ufafanuzi anapitoa ufafanuzi unaopingana na uliotolewa na mwingine juu ya jambo la SGR. Mara mitumba, mara mapya, mara yalikuwa ya SGR, mara hayakuwaya SGR mara ya MGR mara siyo MGR, mara bei ni ileee, mara bei siyo ilee
 
Niliwahi soma ushuhuda wa Prof. Iyke Nathan Uzorma The grand master now in Christ.( Mkuu wa wachawi amrudia Kristo). Sikukumbuki ni part ya ngapi ila kwenye huo ushuhuda kuna sehemu alieleza kuwa kuna:-

1.Uchawi wa kuroga mtu mmoja,
2.Kuna uchawi wa kuroga familia,
3 Uchawi wa kuroga ukoo mzima na
4.Uchawi wa kuroga nchi nzima.

Watu wengi wanashangaa kwanini kuna nchi hazina rasilimali za kutosha lakini zimeendelea kuliko nchi zenye ardhi nzuri,maji,misitu,wanyama na madini ya kila aina?

Si bure Mshana tumerogwa akili ndio maana tunakuwa km mazombi tu. Haiwezekani mafuta juu,chakula juu,umeme hamna,maji hamna, deni la taifa juu na bado raia tupo kimya tu![emoji15][emoji15][emoji15].
Siku hizi wachawi wanaloga ubongo wetu kwanza,halafu mengine yanakuja yenyewe.Asieamini aje Tz.
 
Back
Top Bottom