Ni jambo la kufikirisha sana
Pesa huwa wanakula kama chakula au wanapeleka wapi
Ni jambo la kufikirisha sana
Mabadiliko hatuwezi kuletewa na viongozi walewale wa kila siku...mbaya zaidi hata viongozi wapya vijana huko chawala hakuna wajasiri waadilifu ni wa kuhesabu..ukoo wa panya wakifisadi kila mtu anawaza apate nafasi apige asepe walahu tu achote kama ni billion zake tano hata mkifukuza hiko cheo fresh tu..madeal madeal
HahahahCC Pascal Mayalla mainly kwenye kila mtoa ufafanuzi anapitoa ufafanuzi unaopingana na uliotolewa na mwingine juu ya jambo la SGR. Mara mitumba, mara mapya, mara yalikuwa ya SGR, mara hayakuwaya SGR mara ya MGR mara siyo MGR, mara bei ni ileee, mara bei siyo ilee
Yani inashangaza hakuna wa kuhoji wala kuongea watu wote kimya, bila shaka huu ni uchawi ulioanzia family level up to country level.Niliwahi soma ushuhuda wa Prof. Iyke Nathan Uzorma The grand master now in Christ.( Mkuu wa wachawi amrudia Kristo). Sikukumbuki ni part ya ngapi ila kwenye huo ushuhuda kuna sehemu alieleza kuwa kuna:-
1.Uchawi wa kuroga mtu mmoja,
2.Kuna uchawi wa kuroga familia,
3 Uchawi wa kuroga ukoo mzima na
4.Uchawi wa kuroga nchi nzima.
Watu wengi wanashangaa kwanini kuna nchi hazina rasilimali za kutosha lakini zimeendelea kuliko nchi zenye ardhi nzuri,maji,misitu,wanyama na madini ya kila aina?
Si bure Mshana tumerogwa akili ndio maana tunakuwa km mazombi tu. Haiwezekani mafuta juu,chakula juu,umeme hamna,maji hamna, deni la taifa juu na bado raia tupo kimya tu![emoji15][emoji15][emoji15].
Huwa nashangaa sana kumuona mkurugenzi wa mabehewa anavyojikomba komba kwa ccm mfano kikao chao cha juzi yumo eti ndo maana hata kutoa ufafanuzi unaoleweka katika swala lao la mabehewa wanashindwa.
Mkuu MshanaSio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!
Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi
Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi
Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?
Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!
Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]
Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!
Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
![]()
dunianiSio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!
Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi
Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi
Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?
Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!
Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]
Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!
Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
![]()
We ndio umechanganyikiwa maana umeshindwa kuelewa yanayoendelea duniani. Nchi zingine hata hicho chakula cha kununua hakuna. Amka usingizini.Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana!
Maumivu ya bando wala hayaumi tena, bei za bidhaa na vyakula kupaa wala sio habari ya kuumiza kichwa tena.. Maji kudra zimeokoa jahazi
Sasa haya mengine haya hizo fafanuzi zake kama ukiamua kuziweka kwenye jarida moja unaweza kutengeneza bonge la comedy show ama ukapata homa ya vipindi
Fafanuzi za umeme usio imara
Fafanuzi za mikopo ya matrilion
Fafanuzi za deni la taifa
Fafanuzi za miradi iliyojaa vinguzumkuti na upigaji wa kufa mtu
Kiboko msheli ni fafanuzi za treni ya umeme, mabehewa ya SGR, gharama zake, aina zake nknk
Kuna nini Mungu baba wa mbinguni!?
Wafafanuzi sio wamoja
Wafafanuzi hawaelewani kila mmoja anatoa kioja chake kisha anapotea.. Taifa linaumwa!
Huko chawala wanasagiana kunguni, huko ndiko wamechanganyikiwa kabisa.. Hotuba zao zilizochafua hali ya hewa nazo zimekodishiwa wafafanuzi...wakifafanua sasa unaweza ukavua nguo ukimbie.. Ni mahututi wanahudumia wagonjwa[emoji2827]
Ukikaa pembeni na kupiga taswira haya matukio yote ni kama vile taifa liko kwenye wodi ya wanaougua uchizi.. Inauma sana!
Tukiona humu kila uchao watu wanatangaza kutaka kujiua basi tambua taifa linaumwa na limechanganyikiwa kabisa...![emoji1544][emoji2827]
![]()
Mwingine huyu hapa.. Maruhani yameshampanda kichwaniWe ndio umechanganyikiwa maana umeshuindwa kuelewa yanayoendelea
duniani
We ndio umechanganyikiwa maana umeshindwa kuelewa yanayoendelea duniani. Nchi zingine hata hicho chakula cha kununua hakuna. Amka usingizini.
1.kazi iendeleeFafanuzi hizi mbili ziko extremely fragmented
1. Deni la taifa na mikopo
2. Mabehewa ya SGR
Usishangae!yeye Melo anafamilia inamtegemea!hata JF yenyewe itaki kuelezwa ukweli kuhusu hatma ya nchi.
niliandika uzi kuhusu nchi niliota itafikia itakuja kuwa chinu ya jeshi.kilichotokea ni kushambuliwa na kufutwa uzi
Hii inaitwa bora kudharirika mm ila familia yangu iheshimike.. kuna la kujifunza hapo kama vijana.Huh umoja huu ni dalili piaView attachment 2443454