WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Lakini ieleweke kuwa Taifa letu bado ni changa ,Rais wetu anafanya jitihada za hali ya juu kuondowa matatizo yanayotukabili ,tuwe wenye ustahamilivu kwa kipindi hiki kigumu ,tumpeni muda angalau inatia moyo hao wanafunzi wapo juu ya mabenchi na kupatiwa elimu.
Changa? huyu mtoto ambaye hakui ana tatizo gani?
Tatizo kuna mashimo mengi mno yanayovujisha rasilimali zetu.Yakizibwa yote naona hili taifa likiruka na kukimbia tena mbio za ajabu badala ya kutambaa kwa kusuasua.