Taifa letu la kesho linaandaliwa hapa

hivi nyie mnaolaumuu hao wazazi hawachangii ujenzi wa shule mnafikiri wote wanaishi under payroll za mafisadi?
most of the parents of those students live in almost same situation na hiyo shule.nina uhakika nyumba zao ni za udongo,hamna bati,kama lipo kwa mwenyekiti tu!na mlo ni mmoja au miwili kwa siku.
hao wazazi ni wakulima,wanalima wee,mifisadi ya kihindi ikifika inanunua mazao yao kwa bei ya chini kuliko bei ya kokoto.(na serikali inawapa bili 21!duh).
wazazi hao hufanya kazi 12 hours a day shambani ili mkono uende kinywani.serikali haitaki kuboresha mazingira yao.sasa wafanyeje?wajijengee barabara za lami?!
15 years ago wazazi hao wangeweza kuchangia ujenzi wa shule,sio sasa hivi.maisha ni magumu mnoo.sie tulioko nje hatuwezi hata ku-imagine.
kwanza kitendo cha kumpeleka mtoto kwa shule kinaonesha nia dhabiti ya wazazi hao,mostly wangekuwa shamabani wakiwasaidia wazazi kulima,au kuchuunga mbuzi na ng'ombe.
shule hospitali na barabara za nchi ya dunia ya kwanza hazijajengwa na wananchi kwa mkono,zimeengwa kupitia kodi zao,kuna mkazi wa NY anayefyatua matofali ya shule?NONE!
tatizo wazazi hao kodi wanalipa hata kwa viboko,ila zikifika kwa li-afisa la TRA linasahau ni jinsi gani huyo mzazi amesumbukia hiyo kodi na anategemea RETURNS kama shule,barabara etc.
zikifika BUNGENI ndio kabisaa!!hata mbunge wa jibo husika hawatetei wakulima wake,anawaza kuwa waziri tuu.anawaza pesa,anawaza power.
mnaosema wakulima wasiwachague hao wabunge mnakosea pia,wengi wa hao wananchi hawana TV,RADIO na hawajui kinachoendelea bungeni,kwao BILLIONI 1 ni ndogo kuliko milioni 30!mnaelewa?!
wabunge,viongozi wa serikali wanalijua hilo,nawalitumia effectively!hawawapi elimu hao wakulima ili waendelee kuwaibia.same way wakoloni walivyokuwa wanatufanyia.sasa sisi wachache tuliopewa bahati ya kuelimika ni wajibu wetu kuwasaidia wenzetu wasio na uwezo(wanaonyimwa uwezo),wa kujitetea au kujikomboa.na sio KUKAA HAPA KUWABEZA.
HUU NI ujinga wetu zaidi kuliko wa hao wananchi TUNAOWABEZA as they don't know any better.

it's time for educated Tanzanians to help POOR,UNDERPRIVILEGED tanzanians.sio kuwaza maisha bora kwa ajili yetu tuuuu 24/7.we all know a better of society is better than having one rich guy and 1 million poor guys.
 
ndo maana kunawakati wizi unaitwa distribution of wealth. Wala siungi mkono wizi, lakini ni kitu kisichoweza kuepukwa kama pengo la masikini na matajiri litakuwa kubwa kupita kiasi.

Pia huwezi kutegemea amani ya kudumu kama gap ktk jamii linakuwa kubwa la kutisha. Let say, mshahara wa mwezi mmoja wa meneja wa Tanroads ni 18Mil. Gharama za kujenga darasa moja ni sh 5 - 7 Mil. Hivyo, huyu jamaa anaweza akawa analipwa 8Mil na kiasi kinachobaki kikajenga madarasa mawili kila mwezi.

Kuna tofauti ya kufanya kazi yako binafsi na kuwa tajiri, na kufanya kazi ya umma na kujitajirisha. Hiyo ya pili ina makosa sana mkuu. Hela ya umma ibaki kwa umma. Na ndio maana govt jobs zinajulika kwa kuwa na kipato kidogo. Lakini naona kwa tz, hii ni opposite hasa kwa nafasi za juu.

Kwani wazazi wa hao watoto wanakaa umbali gani na shule?

unaweza kukuta wazazi wamesoma hapo hapo. Inaitwa circle of poverty. They dont know kuwa kuna better!
 
Hakuna cha kujitetea kuwa watoto wanakata shule. Hiyo ni primitive nonsense. Katika mazingira ya hao watoto kuna kila kitu cha kufanya wawe katika mazingira mazuri.
 
Hali kama hii inapatikana si Tanzania tu peke yake bali hata huko Mauritania, Gabon, Congo Kinshasa na Congo Brazaville, Zimbabwe, Nakuru, Tema (Ghana) na sehemu nyingine nyingi tu Afrika. Why?
 
Hali kama hii inapatikana si Tanzania tu peke yake bali hata huko Mauritania, Gabon, Congo Kinshasa na Congo Brazaville, Zimbabwe, Nakuru, Tema (Ghana) na sehemu nyingine nyingi tu Afrika. Why?

Ndivyo tulivyo mkuu. Waliopo madarakani wanajiangalia wao kwanza washibeeeee weee ndo wakukumbuke wewe komredi.
 
nenda mwakani kagombee ubunge na usikubali kupewa shangingi utakuwa ume-make difference tatizo mnailaumu serikali bila kuelewa kuwa ni wabunge hao ndo wanataka hayo mashangingi.
Kwangu mimi si lazima kuwa na hilo shangingi, hao wanacni wakiwagomea hao wabunge wasitumie mashangingi na badala yake wapewe usafiri wa bei ya nafuu huoni watakuwa wamefanya la maana sana?
Kuleta mabadiliko si lazima uwe mbunge.

Imefikia kipindi sasa wachangiaji wa mada mbali mbali wawe wanatoa suruhisho la matatizo yetu zaidi kuliko kulaumu tu bila ya kuonyesha njia mbadala.
 
Back
Top Bottom