kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,703
- 11,281
" Mungu akasema, na tumfanye mtu kwa mfano wetu , kwa sura yetu, akatawale samaki wa baharini na vyote vitambaavyo ardhini " MWANZO 1:26
Tuna nguvu za kiungu ndani yetu, kwa kuwa tumeumbwa kwa mfano wake
Sent from my iPhone using JamiiForums
Una nguvu ipi ya Kiungu wewe ?
Usikimbie Swali na kujifanya hujaelewa.
Suala la Mungu kuumba binaadamu kwa mfano wake linahusika vipi na Nguvu za Mungu?
Mungu anaadhibu kwa Moto wa jahannamu Waovu na kuwalipa watu wema pepo.
Mungu anaumba Na Kutoa roho.
Nakuuliza Yesu km ana uwezo wa kuyafanya hayo?
Na km Jibu ni Ndio Nipe Andiko kuwa Yesu aliwahi kutamka kuwa yeye ni MUNGU.
Au wapi Yesu alisema ataadhibu waovu na kuwalipa Wema!
Acheni kumsingizi Yesu mambo ambayo yeye mwenyewe hakutamka
Mtapigwa laana ya milele.