Nimegundua njia ya kuifikia subconscious mind kupitia ndoto

February Makamba

JF-Expert Member
Jan 31, 2020
2,116
2,820
Huu Uzi naomba wanasaikolojia na wanabaiolojia(neuroscientists) waje kuhakiki maana nitaenda kupublish research.

Utangulizi:
Unajua asilimia kubwa ya Akili na mawazo unayowaza iko nje ya ufahamu wako? Unajua kuwa hata mawazo unayofikiri huwa yanachipuka kutokea kwenye akili iliyo chini ya fahamu zako? Mfano. Mtu anapokuwa anaongea kwenye stori, huwa hapangilii kwa ufahamu wake aseme nini baada ya nini, bali maneno huwa yanakuja tu from nowhere yeye anaongea tu, hata ukichunguza vitu unavyowaza mda mwingi huwa vinakuja tu vyenyewe kichwani bila Wewe kupanga. Huwa vinatokea wapi? Hii ndiyo akili iliyo chini ya ufahamu wako (subconscious mind). Na inachukua zaidi ya 95% ya ufahamu wako.hii 5% ndio ule ufahamu wako unaojitambua.

Unapokuwa hujitambui/hauna ufahamu Yani ukiwa umelala hii akili ya chini ya ufahamu huendelea kufanya kazi na ndiyo hapo tunapata kitu tunaita ndoto. Hivyo ndoto Zina Siri nyingi kuhusu mienendo ya subconscious minds zetu.

Akili iliyo chini ya fahamu(subconscious mind) inaathiri vitendo tunavyofanya kwa ufahamu wetu kupitia njia kadhaa:

1. Imani: Mara nyingi, mawazo ya chini ya fahamu yanashikilia imani zilizo imara ambazo hushape maamuzi yetu. Imani hizi zinaweza kutufanya kufanya chaguzi zinazolingana na kile tunachokiamini bila ufahamu wa moja kwa moja. Mfano ukiwa unaamini subconsciously kuwa mzungu ni superior na ana akili kukuzidi, inaweza kuathiri mawazo Yako au matendo Yako ukikutana na mzungu bila Wewe kujua.

2. Hisia: Hisia za chini ya fahamu zinaweza kuathiri sana tabia zetu. Kwa mfano, ikiwa tuna hisia za hofu au hatia ambazo hazijatatuliwa ndani ya subconscious mind, zinaweza kuathiri chaguzi na vitendo vyetu bila kujua.

3. Njia za Kawaida: Matendo mengi ya kila siku yanatokana na mazoea yaliyohifadhiwa kwenye subconscious mind. Mazoea haya hujengwa kwa muda na kuwa majibu ya moja kwa moja kwenye hali au tukio fulani.

4. Intuition and gut feelings: Mara nyingine, subconscious mind inaweza kuchakata habari haraka kuliko ufahamu wa moja kwa moja. Maamuzi ya kiintuitive mara nyingi hutoka kwa usindikaji huu wa chini ya fahamu na kuongoza vitendo vyetu. (Haya ni yale maamuzi mtu hufanya kwa harakat bila kufikiria)

5. Kumbukumbu: subconscious mind hufadhi taarifa nyingi, ikiwa ni pamoja na uzoefu wa zamani. Tunapokutana na hali fulani, kumbukumbu hizi zinaweza kuathiri chaguzi zetu, hata kama hatukumbuki kwa ufahamu wa kawaida. Mfano. Unaweza kuchukia jambo fulani automatic bila kuwa na sababu yoyote,kumbe Kuna memory kwenye subconscious mind jambo Hilo liliwahi kuudhi zamani hata. Utotoni.

6.Ubunifu: Unaweza kukaa ukashangaa idea nzuri imekuja kichwani from nowhere na ikawa kubwa mpaka ukajishangaa uliifikiriaje? Hiyo mara nyingi huwa inachipukia kutokea kwenye subconscious mind.


Kwahyo tunaweza kuona kuwa ufahamu wetu ni % ndogo sana ya akili zetu na mgodi mkubwa wa mawazo yetu, Imani zetu, kumbukumbu zetu, hisia zetu umefichwa kwenye subconscious mind.

Mbinu ambazo watu hutumia kuifikia hii subconscious mind na kuaccess madini yaliyopo huko ni kama Mindfulness, meditation (tahajudi), au Therapy.

Mimi kwa bahati nzuri nimegundua njia nyingine ya kuaccess huu mgodi uliopo vichwani mwetu, nayo ni kupitia ndoto. Nitaeleza hapa chini.
 
Kama nilivyosema hapo juu, Njia zinazotumika kufikia subconscious mind ni meditation, mindfulness,therapy na ndoto,
ila hii ya ndoto haitumiki sana maana ndoto huja randomly na hazina formula. Watu wameshindwa kuzicontrol na kuchagua waote kuhusu nini.. wameshindwa kuzielewa na kisayansi imechukuliwa ndoto ni kama makapi ya processes za kazi za ubongo zisizo na maana yoyote.

Mimi nimegundua mbinu rahisi ya kucrack hizi ndoto ili kuuelekeza ubongo ukuambie nini kupitia ndoto.


Njia ya kupitia ndoto.
Kwasababu subconscious mind ni kubwa sana na huwezi kuifikia yote, kwenye hii njia ya ndoto unachofanya ni kutarget unataka ufikie jambo gani ndani ya akili Yako.

Fikiria tu kwenye ufahamu wako wa kawaida, je unaweza kuvifikiria vitu vyote unavyovijua kwa wakati mmoja? Yani kuanzia kumbukumbu zako zote unazokumbuka,hisia,maarifa,ujuzi,Imani zako zote??

Jibu obviously ni hapana Kwasababu unaweza kufikiria jambo moja tu kwa wakati mmoja, na mambo unayoyajua ni mengi sana Yani kama wazo moja ni tone basi ufahamu wako wote ni Kama bahati ya Pacific.

Sasa kama ufahamu wa kawaida (wenye 5%) ni mkubwa Hivyo, vipi kuhusu huu ulio chini ya fahamu? Ambao ni zaidi ya 95% ya akili Yako?

Hivyo hauwezi kuifikia wote lakini unaweza kuchagua parts unazotaka kuzifikia (kama unavyochagua jambo la kufikiri au kukumbuka katika ufahamu wa kawaida) kupitia ndoto.
Pia unaweza kutoa au kuingia vitu kwenye subconscious mind Yako. Kutoa ni Ile kuextract information unazotaka kujua kwa kuuliza maswali, na kuweka ni kama unataka ubadilishe ufahamu wako wa kawaida kupitia subconscious mind Yako.

Tumia hizi steps.
*Vifaa ni simu yenye charge na earphones tu

1. Chagua topic au kitu unachotaka kuifikia kwenye subconscious mind Yako. Mfano, nataka kutoa kitu (kujua ni mwanamke gani alinifaa kuliko wote niliodate nao?)

2. Rekodi voice note fupi (isizidi sekunde 20) ukielezea au kuuliza topic uliyochagua kwa kujitaja taja jina. Mfano (February, Kati ya Jeni na Aisha ni yupi anakufaa? Wewe February, Ni Binti Aisha? Au ni Jeni? February umesikia? Ni Jeni au Aisha?)
Hakikisha unaongea slowly polepole kwa sauti ya upole. Halafu ongea huku unarudia rudia maneno.
ila Isizidi sekunde 20-30.

3. Weka hiyo voice note iwe inaplay kwa kujirudia rudia (loop) halafu weka earphones masikioni kisha lala vizuri kwenye mto kwa pozi ambalo hazitotoka usiku.

4.Ukifanya Hivyo lazima utaota ndoto kuhusu hayo maneno uliyorekodi. Ikumbuke hiyo ndoto uamkapo, ifikirie mara mbili maana hiyo ndoto huja na majibu ya kitu ulichosikiliza usingizini.

Leo ni siku ya 4 nafanya hivi kwa topics mbalimbali, nimegundua vingi sana kuhusu maisha yangu. Nitatoa ushuhuda baadae

Natumai wapo mtakaojaribu, msisahau kuleta mrejesho. Asanteni.
 
Kuna nyama zimepungua Ila big up mkuu bonge la uzi
Shukrani mkuu...
Kwa nyongeza, Ulishawahi kusahau jambo fulani mfano jina la mtu fulani au kitu fulani au msamiati fulani, ukakaa ukafikiria Yani unaona kama linakuja linapotea...ukafikiria mpaka ukakata tamaa.

Halafu baadae kabisa umeshasahau hata kama ulikuwa unafikiria hiko kitu unashangaa jibu linakuja lenyewe kichwani?

Hapo kilichtokea ni kuwa conscious mind (ufahamu wa kawaida) ilishindwa kupata jibu ikamuachia subconscious mind aendelee kupekua kwenye mafaili yake. Alipopata jibu ndio akakuletea.

*Hiki kitu kimenitokea kama dakika kadha zilizopita, nilikuwa najaribu kukumbuka jina la ID ya member fulani ikawa haiji, ila nilipomaliza kutype huu Uzi nashangaa jina likaja lenyewe kichwani wakati nilikuwa hata sifikirii Tena na nlkuwa nishasahau.
 
Kama nilivyosema hapo juu, Njia zinazotumika kufikia subconscious mind ni meditation, mindfulness,therapy na ndoto,
ila hii ya ndoto haitumiki sana maana ndoto huja randomly na hazina formula. Watu wameshindwa kuzicontrol na kuchagua waote kuhusu nini.. wameshindwa kuzielewa na kisayansi imechukuliwa ndoto ni kama makapi ya processes za kazi za ubongo zisizo na maana yoyote.

Mimi nimegundua mbinu rahisi ya kucrack hizi ndoto ili kuuelekeza ubongo ukuambie nini kupitia ndoto.


Njia ya kupitia ndoto.
Kwasababu subconscious mind ni kubwa sana na huwezi kuifikia yote, kwenye hii njia ya ndoto unachofanya ni kutarget unataka ufikie jambo gani ndani ya akili Yako.

Fikiria tu kwenye ufahamu wako wa kawaida, je unaweza kuvifikiria vitu vyote unavyovijua kwa wakati mmoja? Yani kuanzia kumbukumbu zako zote unazokumbuka,hisia,maarifa,ujuzi,Imani zako zote??

Jibu obviously ni hapana Kwasababu unaweza kufikiria jambo moja tu kwa wakati mmoja, na mambo unayoyajua ni mengi sana Yani kama wazo moja ni tone basi ufahamu wako wote ni Kama bahati ya Pacific.

Sasa kama ufahamu wa kawaida (wenye 5%) ni mkubwa Hivyo, vipi kuhusu huu ulio chini ya fahamu? Ambao ni zaidi ya 95% ya akili Yako?

Hivyo hauwezi kuifikia wote lakini unaweza kuchagua parts unazotaka kuzifikia (kama unavyochagua jambo la kufikiri au kukumbuka katika ufahamu wa kawaida) kupitia ndoto.
Pia unaweza kutoa au kuingia vitu kwenye subconscious mind Yako. Kutoa ni Ile kuextract information unazotaka kujua kwa kuuliza maswali, na kuweka ni kama unataka ubadilishe ufahamu wako wa kawaida kupitia subconscious mind Yako.

Tumia hizi steps.
*Vifaa ni simu yenye charge na earphones tu

1. Chagua topic au kitu unachotaka kuifikia kwenye subconscious mind Yako. Mfano, nataka kutoa kitu (kujua ni mwanamke gani alinifaa kuliko wote niliodate nao?)

2. Rekodi voice note fupi (isizidi sekunde 20) ukielezea au kuuliza topic uliyochagua kwa kujitaja taja jina. Mfano (February, Kati ya Jeni na Aisha ni yupi anakufaa? Wewe February, Ni Binti Aisha? Au ni Jeni? February umesikia? Ni Jeni au Aisha?)
Hakikisha unaongea slowly polepole kwa sauti ya upole. Halafu ongea huku unarudia rudia maneno.
ila Isizidi sekunde 20-30.

3. Weka hiyo voice note iwe inaplay kwa kujirudia rudia (loop) halafu weka earphones masikioni kisha lala vizuri kwenye mto kwa pozi ambalo hazitotoka usiku.

4.Ukifanya Hivyo lazima utaota ndoto kuhusu hayo maneno uliyorekodi. Ikumbuke hiyo ndoto uamkapo, ifikirie mara mbili maana hiyo ndoto huja na majibu ya kitu ulichosikiliza usingizini.

Leo ni siku ya 4 nafanya hivi kwa topics mbalimbali, nimegundua vingi sana kuhusu maisha yangu. Nitatoa ushuhuda baadae

Natumai wapo mtakaojaribu, msisahau kuleta mrejesho. Asanteni.

Sprituality will make this complete, ukiweza unganisha hii na spirituality itakuwa complete
 
Shukrani mkuu...
Kwa nyongeza, Ulishawahi kusahau jambo fulani mfano jina la mtu fulani au kitu fulani au msamiati fulani, ukakaa ukafikiria Yani unaona kama linakuja linapotea...ukafikiria mpaka ukakata tamaa.

Halafu baadae kabisa umeshasahau hata kama ulikuwa unafikiria hiko kitu unashangaa jibu linakuja lenyewe kichwani?

Hapo kilichtokea ni kuwa conscious mind (ufahamu wa kawaida) ilishindwa kupata jibu ikamuachia subconscious mind aendelee kupekua kwenye mafaili yake. Alipopata jibu ndio akakuletea.

*Hiki kitu kimenitokea kama dakika kadha zilizopita, nilikuwa najaribu kukumbuka jina la ID ya member fulani ikawa haiji, ila nilipomaliza kutype huu Uzi nashangaa jina likaja lenyewe kichwani wakati nilikuwa hata sifikirii Tena na nlkuwa nishasahau.
Daah mkuu una nondo Sana sema shida ni hawa waja Wana kasumba hawataki kujifunza mambo mapya.....


(Nje mada) huwa unafanya meditation...!?
 
Kazi nzuri, mwanzo mzuri

Ila mimi nina swali moja la kuongeza ufahamu.

Wewe niwa Allah au Yesu Kristo ?
au
are you a Christian, Muslim or Pagan ?

Meditation siku zote Lazima ikuweke karibu na Imani yako.
Kusema Ukweli Mimi sijui Niko upande gani. Na kwasasa sitafuti kujiweka kuwa upande fulani bali nachukua mafundisho nionayo yanafaa kutoka kwenye hayo makundi yote na kuyaapply kwenye maisha. Yale yasiyofaa nayaweka pembeni.

Kuhusu meditation, nilijaribu nikashindwa ila nipo kwenye mpango wa kuanza Tena mpaka nifanikiwe, nataka niwe naenda pale Buddhist meditation center upanga.

Huu Uzi sijaulenga kiimani zaidi bali kisayansi zaidi .Kwasababu hata hii njia ya ndoto nimeitumia kwaajili ya mambo ya kawaida tu kwenye maisha yasiyohusiana na Imani kabisa.
 
Daah mkuu una nondo Sana sema shida ni hawa waja Wana kasumba hawataki kujifunza mambo mapya.....


(Nje mada) huwa unafanya meditation...!?
Nilijaribu nikashindwa, Yani akili yangu inawaza sana. kukaa hata sekunde 2 bila kuwaza nilishindwa.

ila sijakata tamaa, Nina mpango nianze kufanya routinely na niwe naenda pale Buddhist meditation center nipate madini zaidi na mbinu zaidi za kufanya meditation.
 
Kusema Ukweli Mimi sijui Niko upande gani. Na kwasasa sitafuti kujiweka kuwa upande fulani bali nachukua mafundisho nionayo yanafaa kutoka kwenye hayo makundi yote na kuyaapply kwenye maisha. Yale yasiyofaa nayaweka pembeni.

Kuhusu meditation, nilijaribu nikashindwa ila nipo kwenye mpango wa kuanza Tena mpaka nifanikiwe, nataka niwe naenda pale Buddhist meditation center upanga.

Huu Uzi sijaulenga kiimani zaidi bali kisayansi zaidi .Kwasababu hata hii njia ya ndoto nimeitumia kwaajili ya mambo ya kawaida tu kwenye maisha yasiyohusiana na Imani kabisa.
Toka lini sayansi ikafundisha kutambua ndoto imebeba ujumbe gani ?
 
Toka lini sayansi ikafundisha kutambua ndoto imebeba ujumbe gani ?
Ndiomaana nikasema kuwa 'nimegundua' Yani hii ni lane mpya ambayo sayansi inaweza kufuatilia.

Btw, sio kwamba sayansi haitambui ndoto Zina ujumbe...bali ni kwamba sayansi ya Sasa Haina uwezo wa kuutambua huo ujumbe Kwasababu ndoto huja randomly na hazina formula. Wanasayansi wameshindwa kuzicontrol kwa kuchagulia watu waote kuhusu nini.. wameshindwa kuzielewa na kisayansi imechukuliwa ndoto ni kama makapi ya processes za kazi za ubongo kama kupanga memories wakati wa usingizini.

Mimi kupitia hii technique nimerahisisha ile part ya randomness katika ndoto na kuwezesha uwezekano wa research za kisayansi zaidi kufanyika kuhusu hizi ndoto.


Hivyo wanasayansi wanatambua kuwa IPO siku sayansi ya neuroscience inaweza ikakua mpaka stage ya kuweza kujua Kila neuron inafanya kazi gani na hata activities za ubongo zinazoleta ndoto zinaafanyika kwa msingi upi wenye maana ipi.[/b]
 
Ndiomaana nikasema kuwa 'nimegundua' Yani hii ni lane mpya ambayo sayansi inaweza kufuatilia.

Btw, sio kwamba sayansi haitambui ndoto Zina ujumbe...bali ni kwamba sayansi ya Sasa Haina uwezo wa kuutambua huo ujumbe Kwasababu ndoto huja randomly[\b] na hazina formula. Wanasayansi wameshindwa kuzicontrol kwa kuchagulia watu waote kuhusu nini.. wameshindwa kuzielewa na kisayansi imechukuliwa ndoto ni kama makapi ya processes za kazi za ubongo kama kupanga memories wakati wa usingizini.

Mimi kupitia hii technique nimerahisisha ile part ya randomness katika ndoto na kuwezesha uwezekano wa research za kisayansi zaidi kufanyika kuhusu hizi ndoto.


Hivyo wanasayansi wanatambua kuwa IPO siku sayansi ya neuroscience inaweza ikakua mpaka stage ya kuweza kujua Kila neuron inafanya kazi gani na hata activities za ubongo zinazoleta ndoto zinaafanyika kwa msingi upi wenye maana ipi.
oooh !! kumbe.

Sema neno kwenye jambo hili...

Kuna hali huwa inawatokea walio wengi na wengi wakiisimulia...
Ukiwa umelala kuna muda unatokea kubanwa na kitu kinakua kama kimekukandamiza hasa eneo la kufua unakua hupumui vizuri,
unakua huwezi kupiga kelele wala kusogeza kiungo chochote kisha baada ya sekunde chache hiyo hali inakuachia ..
inasemekana hasa ukiwa umelala chali ukiwa kwenye utulivu hufikirii chochote katika conscious mind yako na kausingiz kanaanza kukupitia ndio wengi wanakutana na hali hiyo gafla.

Vip unaelewa ni kwanini, imewah kukukuta ?
 
Nilijaribu nikashindwa, Yani akili yangu inawaza sana. kukaa hata sekunde 2 bila kuwaza nilishindwa.

ila sijakata tamaa, Nina mpango nianze kufanya routinely na niwe naenda pale Buddhist meditation center nipate madini zaidi na mbinu zaidi za kufanya meditation.
Kama umeweza kufanya hii bila kufanya meditation fanya mpango ujifunze afu uje urudi usome huu Uzi tena
 
Mkuu naweza kusema ww umetupa njia rahisi ya kutatua changamoto au tatizo fulani kupitia ndoto,wale wengne ndo wanafanya aestral projection na meditation sijui vitu kama hvyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom