itoko jr
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 1,126
- 2,514
Habarini Wanajf wenzangu, Ihope mko good.
Kwa mara ya kwanza nafanya meditation baada ya kufundishwa na jamaa mmoja hivi niliona haina maana, lakini kadri siku zilivyozidi kwenda niliona mabadiliko fulani ndani ya akili yangu.
Nikawa na uwezo wa kukuntrol akili na emotions zangu jambo ambalo limenifanya niweze kutengeneza new awareness na kufocus kwenye mambo ya msingi na kuthink outside the box wanaofanya meditation nadhani wananielewa.
So now Tahajudi nimekuwa nikipractice at any place and anytime, nikitaka hi kitu ni nzuri sana ukiimaster vizuri.
Swali langu je? Wewe huwa unafanya Tahajudi, kama jibu ni hapana anza sasa.
Nawasilisha, asanteni sana.
Kwa mara ya kwanza nafanya meditation baada ya kufundishwa na jamaa mmoja hivi niliona haina maana, lakini kadri siku zilivyozidi kwenda niliona mabadiliko fulani ndani ya akili yangu.
Nikawa na uwezo wa kukuntrol akili na emotions zangu jambo ambalo limenifanya niweze kutengeneza new awareness na kufocus kwenye mambo ya msingi na kuthink outside the box wanaofanya meditation nadhani wananielewa.
So now Tahajudi nimekuwa nikipractice at any place and anytime, nikitaka hi kitu ni nzuri sana ukiimaster vizuri.
Swali langu je? Wewe huwa unafanya Tahajudi, kama jibu ni hapana anza sasa.
Nawasilisha, asanteni sana.