TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Chimbuko/historia ya tahajudi:

Neno tahajudi limetokana na neno la kiingereza linaloitwa 'meditation' likiwa na maana ya kufikiri kwa uzingativu au kwa kujali. Neno meditation, nalo limetokana na neno la kilatini linaloitwa 'meditatio' likiwa na maana ya mazoezi ya mwili na akili.

Nano "tahajudi" linatokana na neno Kiarabu "tahajjud" na sika ulivyoelezea wewe kuwa "linatokana na neno la Kiingereza".

Tahajjud kwa Waislaam ni sunna (voluntary) iliyosisitizwa. Google neno Tahajjud utajionea namaanisha nini. Na Waislaam tunaielewa hiyo kwa zaidi ya miaka 1400 sasa na wengi wetu tunaisali swalat Tahajjud. Imesisitizwa kiasi cha maulamaaa kufundisha kuwa Muislaam anatakiwa aisali japo mara moja katika maisha yake.

Inawezekana kabisa kuwa kwa Kingereza inamaanishwa "meditation" akini si kweli kuwa neno hilo "tahajudi" limetokana na Kiingereza kama ulivyoandika.
 
Nano "tahajudi" linatokana na neno Kiarabu "tahajjud" na sika ulivyoelezea wewe kuwa "linatokana na neno la Kiingereza".

Tahajjud kwa Waislaam ni sunna (voluntary) iliyosisitizwa. Google neno Tahajjud utajionea namaanisha nini. Na Waislaam tunaielewa hiyo kwa zaidi ya miaka 1400 sasa na wengi wetu tunaisali swalat Tahajjud. Imesisitizwa kiasi cha maulamaaa kufundisha kuwa Muislaam anatakiwa aisali japo mara moja katika maisha yake.

Inawezekana kabisa kuwa kwa Kingereza inamaanishwa "meditation" akini si kweli kuwa neno hilo "tahajudi" limetokana na Kiingereza kama ulivyoandika.
Hakuna jamii ambayo hajawahi fanya tahajudi kwa kufahamu au kwa kutofahamu dini yakale zaidi ni hindu na hindu tahajudi ni kama chakula
 
Hakuna jamii ambayo hajawahi fanya tahajudi kwa kufahamu au kwa kutofahamu dini yakale zaidi ni hindu na hindu tahajudi ni kama chakula
Mimi naongelea "neno" lilivyobadilishwa asili yake, nisome vizuri usikurupuke.
 
Mimi naongelea "neno" lilivyobadilishwa asili yake, nisome vizuri usikurupuke.
Kwanza utambue meditation (tahajudi) ipo kwa kila jamii na maana yake ni ile ile sema tu zipo tahajudi za aina nyingi kwa madhumuni tofauti , zpo kwa ajili ya akili (kimwil )na zipo kwa ajili ya roho (kiroho) jamii zote zinafanya tangu kale kabsa kwakujua au kwa kutokujua ni jambo la nature kabsa ,dini zote zimeiba kutoka Kwenye akili.
 
Nano "tahajudi" linatokana na neno Kiarabu "tahajjud" na sika ulivyoelezea wewe kuwa "linatokana na neno la Kiingereza".

Tahajjud kwa Waislaam ni sunna (voluntary) iliyosisitizwa. Google neno Tahajjud utajionea namaanisha nini. Na Waislaam tunaielewa hiyo kwa zaidi ya miaka 1400 sasa na wengi wetu tunaisali swalat Tahajjud. Imesisitizwa kiasi cha maulamaaa kufundisha kuwa Muislaam anatakiwa aisali japo mara moja katika maisha yake.

Inawezekana kabisa kuwa kwa Kingereza inamaanishwa "meditation" akini si kweli kuwa neno hilo "tahajudi" limetokana na Kiingereza kama ulivyoandika.
Mwandishi amekosea ila kimantiki unataka kumcorrect kupitia dini yako kuhusu kitendo muhimu kwa kila binadamu asiye na din na mwenye dini , tatizo lako ni apo tu ,ulipo ingiza chanzo cha dini zenyewe uje ukicorrect kupitia din. Tahajudi ndo mama wa dini zote japo watoto wamekuwa wakaidi wakafuata mambo yao zaidi.
 
Kwanza utambue meditation (tahajudi) ipo kwa kila jamii na maana yake ni ile ile sema tu zipo tahajudi za aina nyingi kwa madhumuni tofauti , zpo kwa ajili ya akili (kimwil )na zipo kwa ajili ya roho (kiroho) jamii zote zinafanya tangu kale kabsa kwakujua au kwa kutokujua ni jambo la nature kabsa ,dini zote zimeiba kutoka Kwenye akili.
Wewe unachobishana nini? Kanisome tena unielewe. Wewe utaijuwa Tahajud zaidi ya Waislam wenye neno lao na wenye Sala ya Tahajjud?

Unanshangaza.
 
Mwandishi amekosea ila kimantiki unataka kumcorrect kupitia dini yako kuhusu kitendo muhimu kwa kila binadamu asiye na din na mwenye dini , tatizo lako ni apo tu ,ulipo ingiza chanzo cha dini zenyewe uje ukicorrect kupitia din. Tahajudi ndo mama wa dini zote japo watoto wamekuwa wakaidi wakafuata mambo yao zaidi.
Basi asiseme kuwa neno Tahajudi linatokana na neno "meditation".

Narudia, Tahajjud ni neno la Kiarabu tena lenye "connotation" ya Kiislam. Kwa kuwa kwa miaka zaidi ya 1,400 sasa Waislam tulifundishe kuswali salat YTahajjud na Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, na wengi wetu tunaiswali hadi hii leo. Na jina lake hiyo ni Saat Tahajjud.
 
Basi asiseme kuwa neno Tahajudi linatokana na neno "meditation".

Narudia, Tahajjud ni neno la Kiarabu tena lenye "connotation" ya Kiislam. Kwa kuwa kwa miaka zaidi ya 1,400 sasa Waislam tulifundishe kuswali salat YTahajjud na Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, na wengi wetu tunaiswali hadi hii leo. Na jina lake hiyo ni Saat Tahajjud.
Kwa kukufahamisha tu meditation sio waislam tu wanasali ata wapangani wanaiyo sala kabla ya dini zote kuanzishwa .
 
Basi asiseme kuwa neno Tahajudi linatokana na neno "meditation".

Narudia, Tahajjud ni neno la Kiarabu tena lenye "connotation" ya Kiislam. Kwa kuwa kwa miaka zaidi ya 1,400 sasa Waislam tulifundishe kuswali salat YTahajjud na Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, na wengi wetu tunaiswali hadi hii leo. Na jina lake hiyo ni Saat Tahajjud.
Kingereza na kiarabu kipi ni lugha ya kale zaid kumbe ndo swali lako lilipo.
 
Basi asiseme kuwa neno Tahajudi linatokana na neno "meditation".

Narudia, Tahajjud ni neno la Kiarabu tena lenye "connotation" ya Kiislam. Kwa kuwa kwa miaka zaidi ya 1,400 sasa Waislam tulifundishe kuswali salat YTahajjud na Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, na wengi wetu tunaiswali hadi hii leo. Na jina lake hiyo ni Saat Tahajjud.
Sawa, lakini Tahajudi (meditation) ni nature ya mwanadamu, hata kulala usingizi pia ile ni meditation. Tatizo mnapobishania wewe upo kidini zaidi na mwenzio yupo ki Logic zaidi hapo ndipo mnapobishania.
 
Kwa kukufahamisha tu meditation sio waislam tu wanasali ata wapangani wanaiyo sala kabla ya dini zote kuanzishwa .
Kijana unaelewa kusoma? Mimi siongeleai "meditation"naongelea Tahajjud.

Wewe baki na "mefitation" yako, wacha mimi nibaki na Tahajjud yangu. Tatizo lako nini?
 
Sawa, lakini Tahajudi (meditation) ni nature ya mwanadamu, hata kulala usingizi pia ile ni meditation. Tatizo mnapobishania wewe upo kidini zaidi na mwenzio yupo ki Logic zaidi hapo ndipo mnapobishania.
Wewe baki na "meditation" yako, sisi Waislaam tuna Salat Tahajjud, na ndipo lilipopatikana neno "Tahajudi.
 
Hauwezi weka kitu sawa kwa kubase upande mmoja ili uweke kitu chochote sawa lazima uwe kwenye neutral state.
Wewe base upendapo nami na base nipendavyo. Unataka mimi niwe kama wewe? Mimi ni Muislam na Uislam umekamilika hauhiytaji msaada wa wamufundisho ya dini yeyote ile ya kuabudu binaadam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom