chrissmeck
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 110
- 105
We umejuaje co kweli.Nalinganisha hayo unayoyasema na kilichowekwa post namba 4.
Hiyo huitwa "kujazwa ujinga".
We umejuaje co kweli.Nalinganisha hayo unayoyasema na kilichowekwa post namba 4.
Hiyo huitwa "kujazwa ujinga".
Sija uliza kwa mwenyezi mungu kuna din ngap??? Na zp ni za mungu na zp ni za shetan???Dini kwa Mwenyezi Mungu ni moja tu, zingine ni dini za kwa shetani.
Vyema sana, sasa kwanini post namba nne ikakwepa nchi husika na kuzitaja nchi nyingine kwa makusudi kabisa kuzifanya zionekane ndiyo zinafanya ushenzi huo? Fikiri.
Sija uliza kwa mwenyezi mungu kuna din ngap??? Na zp ni za mungu na zp ni za shetan???
Post number 4 alie taja nchi nyingine ni nani kama si wewe kutaja kafara za kanisa katolic?? Na vatican??
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta mungu...... Iman ni usiano wako na mungu na maanisha uwe mbaya au mzuri ni kat yako na mungu sis hatujui ndo maana hata mtu akifa tulio hai tunaamin kwamba umeenda pepon au tunasali uende peponi lakin ukweli unabaki nao wewe kwamba upo wapi au umekwenda wapi???
Jitahid sana ku focus kwenye imani na si dini!!!! Ukifa din itabak na itaendelea kubak dunian mpaka mwisho wa hi dunia......kwa sababu iman ni undani wa mtu na din maisha ya nje ya mtu......
Unaonesha hata unachokisoma hukielewi.
Post namba 4 yangu mimi? Kasome kilichoandikwa na hiyo post ilikuwa inajibu nini?
Wewe huna cha kunifundisha, unaonesha hata maana ya dini hauijui.
Eti focus kwenye imani na si dini. Unajuwa maana ya imani katika Uislam ni nini?
Hiyo iani utaipata wapi kama hauna dini? Imani yako inajengwa na dini yako.
Unajuwa maana ya dini?
Unakataa kuwa kanisa katoliki halitoi mma kfara ya binaadamu? Ule mkate wa mashonde mnaokula ni nini kile? Wakati nyinyi wenyewe mnatuainisha kuwa ule ni mwili na damu , au unasahau?
Unataka ushahidi upi zaidi ya niliyouweka humu (pitia vizuri uzi) ili uelewe kuwa kanisa katoliki linatoa kafara za watu tena za kishenzi kuliko aelezo, kuanzia kulawiti watoto wadogo makanisani mpaka kafara za damu huko Vatikano.
Hiyo video ni Brazil, taifa kubwa la kikatoliki duniani, ni nini usichokielewa?
Kama wewe ni muumini wa kanisa katoliki basi uridhie yote hayo ya kishetani yapo kwenye hilo kanisa, huo ndiyo ukweli, kama unabisha nikupe ushahidi zaidi.
Believer wa fake news wewe...FOH.
Mtume wako naye ni fake news.
Bi usijisumbue kumjibu mbeba maboksi kwasababu yeye ni mwongo kama yeriko nyerere
Mtume wako naye ni fake news.
Alitumwa kuja kumuoa binti Aisha akiwa na miaka 6,ndio utume wa Mungu huo eeh....Mtume wetu, Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam ametumwa kwa walimwengu wote.
Si kwa mihemko hyo!!! angalia tu usije vaa mabomu tu ukajilipua...Unaonesha hata unachokisoma hukielewi.
Post namba 4 yangu mimi? Kasome kilichoandikwa na hiyo post ilikuwa inajibu nini?
Wewe huna cha kunifundisha, unaonesha hata maana ya dini hauijui.
Eti focus kwenye imani na si dini. Unajuwa maana ya imani katika Uislam ni nini?
Hiyo imani utaipata wapi kama hauna dini? Imani yako inajengwa na dini yako. Kama imani yako inafanya ushetani wa dhahiri kama lifanyavyo kanisa katoliki basi nawe ni hivyo hivyo, ndiyo imani yako hiyo.
Unajuwa maana ya dini?
Unakataa kuwa kanisa katoliki halitoi makafara ya binadamu? Ule mkate wa mashonde mnaokula ni nini kile? Wakati nyinyi wenyewe mnatuaminisha kuwa ule ni mwili na damu, au unasahau? Kama mwili na damu si kula watu ni nini?
Unataka ushahidi upi zaidi ya niliyouweka humu (pitia vizuri uzi) ili uelewe kuwa kanisa linatoa kafara za watu tena za kishenzi kuliko maelezo, kuanzia kulawiti watoto wadogo (hata Tanzania haikusalimika, kwa ushahidi kamili) makanisani mpaka kafara za damu huko Vatikano.
Hiyo video ni Brazil, taifa kubwa la kikatoliki duniani, ni nini usichokielewa?
Kama wewe ni muumini wa kanisa katoliki basi uridhie yote hayo ya kishetani yapo kwenye hilo kanisa, huo ndiyo ukweli, kama unabisha nikupe ushahidi zaidi.
Mabomu mvae nyinyi,msingizie wengine.Nenda sudani kusini,mnavyomalizana.Si kwa mihemko hyo!!! angalia tu usije vaa mabomu tu ukajilipua...
Kwa hiyo,waona wivu,ulitaka akuoe wewe.Alitumwa kuja kumuoa binti Aisha akiwa na miaka 6,ndio utume wa Mungu huo eeh....
Sudan hawamalizan kwa kujitoa muhanga!!!! uleniogomvi wa madaraka ktk ya watawala na watawala hakuna anae pigania din pale na kufia din!!Mabomu mvae nyinyi,msingizie wengine.Nenda sudani kusini,mnavyomalizana.