as1987
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 1,257
- 596
ila siumeelewa tafsiri basi, usipotezee= habari
Nisome tena.
ila siumeelewa tafsiri basi, usipotezee= habari
Nisome tena.
Wewe papasi wa udhurungi unafikiri kila mtu mkatoliki humu.!?!?Haya sasa Waka.....toliki midebwedo!!
Naona mapovu yanavowatoka hata miswaki hamjapiga...
View attachment 500910
Jambazi
kan'tangaze
Wuzhou
poa tu
Konsciouz
Heheheheeeeeee.... Midebwedooooo!!
Hana akili timamu huyo bibi kigagulaIna tofauti gani na Uarabuni hii hoja yako, huoni jinsi waafrika wanavyo uliwa huko na ukilalamika unanyongwa. We mtu naona kichwani hamnazo, yaani unafumbia macho madhambi ya waarab na kuwabeza? Genocide ya kwanza ya waafrika ililetwa na waarab walipokuja kuvamia Afrika ya kaskazini na kuwataka waafrika wabadilishe dini kuwa waislam, waliopinga wengi walikuwa beheaded na wengine walikimbilia chini (South of the Sahara) ndipo waarab wakaja kutoka Mashariki ya kati na kulowea huko mpaka leo hii. Soma history ndipo utajuwa ukweli, siyo unakuja tu hapa na hoja za kipuuzi. Waarab si watu wa kuwabeza hata siku moja ni makatili shinda mnyama yeyoye umjuaye wewe.
Asante kwa kushare..Niliona wanasambaza kwenye magroup ikiwa imeambatana na hii meseji ya kizungu hapo chini, sijui ni kweli..........
Please when you receive this video, forward it. Share it as widely as possible! There are some fake agencies from China, Korea, Japan and other parts of Asia currently opened in Nigeria, Ghana and other African countries, promising jobs (domestic ones, such as house-keeping, baby-minding, etc). However, on arrival, they turn you to any thing less than human. Murder our people especially girls for their kidney, Heart and Liver. Mostly our own African brothers and Sisters involving in human tracking to Dubai, Cairo especially in Libya, Egypt and Lebanon.
They will prepare your travelling documents and everything; when you reach there, that will be your hell and end of your life. the accompanying video was secretly recorded by a passer-by which was unaware to these culprits and the video says it all. The life you save by circulating it might be your very relative's. Thank you.
Wewe mwanamke unaonekana ni mdini sana tena sana,Hiyo utajaza wewe, mimi nasema hiyo ni Brazil, nchi kubwa yenye wakatoliki wengi zaidi duniani, sasa wewe njoo na kusema vinginevyo.
Kwahiyo akishasema.. Wewe unaingiza shingapi!!!
Fala wewe!!
Hio Saudia kwenye kinara cha unachoaminiHiyo video ni wapi?
Hio Saudia kwenye kinara cha unachoamini
Huo alievaa kanzu na kushika jambia anatoa kafara ni ureno?Saudia wanaongea Kireno?
Punguani wahed.
Asante. Maana kuna mijitu inajitia wao Ndio wao,waMeshukiria ureno Brazil... foxy hatujui hiyo tunamjua fox tu Hapa we foxy wa madori Kama kuku wa kuchora hudonoi wala hiwiki upo upo tuHuo alievaa kanzu na kushika jambia anatoa kafara ni ureno?
Tulidhani umesoma dini ili ikukomboe lakini maskini dini imekufanya kuwa mtumwa hata hujitambui. Ukatoliki unaingiaje hapa, huo ni wi ujinga sababu huna jinsi ya kujivua hilo ghunia,Wacha kutukana wanawake wewe, huyo si mgeni yupo kwao, hiyo ni Brazil, nchi kubwa ya kikatoliki duniani.
Jee, si makafara ya kanisa hayo?
Tulidhani umesoma dini ili ikukomboe lakini maskini dini imekufanya kuwa mtumwa hata hujitambui. Ukatoliki unaingiaje hapa, huo ni wi ujinga sababu huna jinsi ya kujivua hilo ghunia,
Mimi tuu sijafungua nlivyoona onyo kua video inatishaDuh! Nchi gani hiyo Bro....Kwa mwanamke usifungue kabisa hii.
Din fulan kuwa kwa wingi eneo fulani hakubadilishi uovu wa mwanadam!!! uovu wake utaendelea kuwa pale pale na unaweza kuongezeka kwa kutumia mwamvuli wa din???Kwa kuwa tu nimeuweka ukweli kuwa huo unyama umefanyika Brazil, nchi kubwa ya kikatoliki duniani?
Din fulan kuwa kwa wingi eneo fulani hakubadilishi uovu wa mwanadam!!! uovu wake utaendelea kuwa pale pale na unaweza kuongezeka kwa kutumia mwamvuli wa din???
Hyo picha nilisikia shehe mmoja akisema kuwa kuna watu wanakuja Africa kwa lengo la kuchukua viungo vya watu vya ndani, so wanatafuta ukaribu na watu kisha wanawanunua watu na kutoa viungo vya. Ngoja niitafuta hiyo audio ambayo iliambatana na hiyo video iliyopostiwa.
Yeah. Sorry sio "shehe" but the way alikuwa anaongea ndo nikalink na shahe.Nimeisikia hiyo audio, sijui kwanini imekufanya useme kuwa anaesema yale ni "shehe" kwa sababu hajajitaja.
Yeah. Sorry sio "shehe" but the way alikuwa anaongea ndo nikalink na shahe.