Tahadhari tusiyoizingatia

Tahadhari tusiyoizingatia

huo mlango kwa lugha ya wenzetu huitwa telepath. ukijua ukuutumia utapata manufaa mengi sana. njia mojawapo ya kuutumia kwa mafanikio mazuri ni kufanyia kazi wazo la kwanza, na pengind ndipo ulipotokea usemi kuwa wazo la kwanza ni la mungu, yanayofuatia ni ya shetani.
 
Miaka kumi iliyopita, Baba yangu alikuwa anataka kusafiri kwa shughuli zake za kikazi kigoma, siku mbili kabla ya safari moyo wa mama ulikuwa mzito sana akamkatalia kusafiri, mzee akakubali akawaambia wenzake huko kigoma kuwa hatakwenda, lakini usiku wa kuamkia siku ya safari, mzee alibadili mawazo akawapigia simu wenzake akasema anakwenda, hii ni baada ya wao kumsihi sana, mama alizuia lakini ilishindikana ikabidi amwache, Kweli kesho yake akaenda hiyo safari, Ndo ilikuwa mwisho wetu wa kuwa nae katika maisha haya, baada ya wiki aliletwa nyumbani kwenye jeneza.
We miss you papaa
 
Miaka kumi iliyopita, Baba yangu alikuwa anataka kusafiri kwa shughuli zake za kikazi kigoma, siku mbili kabla ya safari moyo wa mama ulikuwa mzito sana akamkatalia kusafiri, mzee akakubali akawaambia wenzake huko kigoma kuwa hatakwenda, lakini usiku wa kuamkia siku ya safari, mzee alibadili mawazo akawapigia simu wenzake akasema anakwenda, hii ni baada ya wao kumsihi sana, mama alizuia lakini ilishindikana ikabidi amwache, Kweli kesho yake akaenda hiyo safari, Ndo ilikuwa mwisho wetu wa kuwa nae katika maisha haya, baada ya wiki aliletwa nyumbani kwenye jeneza.
We miss you papaa
[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]Pole sana sana
 
Mmh tahadhari zote hizo ulikuwa hujui kwamba kuna kitu unaepushiwa? Lakini pia umegundua kuwa pamoja na balaa kukuandama kuna wakati kuna nguvu inakukinga na kukuepusha
sikua na ufahamu wowote Mkuu mshana kuhusu hili jambo,ila nmekua nikijifunza sana hapa jf,naamini wakati mwingine ntakua makini zaidi..
 
Chuo cha Sebastian Kolowa Lushoto kimevamiwa na watu wasiojulikana mida hii, na wamepiga watoto na kutaka kuchoma moto mabweni ..
 
Wanafunzi wanasema waliwaona watu waliovaa kanzu na vilemba na walikuwa na silaha ...
Aliyenitumia taarifa alikuwa ktk hali ya uoga sana , labda ndani ya JF mnaweza kutumia influence zenu kujua zaidi ..
 
Nimeambiwa Mlinzi mmoja kauawa na wengine 2 wamejeruhiwa vibaya kwa risasi ..
Matukio haya ya kuchoma mabweni ya shule na vyuo yanaongezeka kwa kasi ..., na sijasikia Polisi wetu wanaofanya mazoezi wakimudu kuzuia uhalifu huu ..., inakuwaje .... ?!
 
Siyo kila kitu ni siasa mkuu. Siamini kama CCM ni waovu kiasi hiki mpaka wachome bweni la wasichana kisa eti wasingiziwe wapinzani. Kuna conspiracy theories zingine huwa nakubaliana nazo lakini hii ya kwako hapana.

Kuna makala ndefu ilitoka kwenye gazeti ikihusisha tukio hili na mambo ya mauzauza na kwamba eti mabinti wale waliendelea kuonekana wakiwa wanalia. Shule ilibidi ifungwe tena hata baada ya kufunguliwa kutokana na mauzauza hayo.

Ukifunikwa sana na chuki za kisiasa kila kitu kwako kinakuwa ni siasa. Hata ukijamba utasingizia chama kingine kimekutega. Tuache urazini ujipambanue!
Mimi hii shule naifahamu fika ipo kwenye tarafa yetu ya mashati. Ilivyo ungua kuna walio sema ni mauza uza wengine wkasema ni mgongano wa kimaslah na shule nyingine za privet.
 
Nimeambiwa Mlinzi mmoja kauawa na wengine 2 wamejeruhiwa vibaya kwa risasi ..
Matukio haya ya kuchoma mabweni ya shule na vyuo yanaongezeka kwa kasi ..., na sijasikia Polisi wetu wanaofanya mazoezi wakimudu kuzuia uhalifu huu ..., inakuwaje .... ?!
Unaoneka tarifa za kiteljinsia wanazifutilia kwenye siasa tuu badala ya kufuatilia kwenye matukio
 
Nimeambiwa Mlinzi mmoja kauawa na wengine 2 wamejeruhiwa vibaya kwa risasi ..
Matukio haya ya kuchoma mabweni ya shule na vyuo yanaongezeka kwa kasi ..., na sijasikia Polisi wetu wanaofanya mazoezi wakimudu kuzuia uhalifu huu ..., inakuwaje .... ?!
Ni mkakati ulioanzia Kenya ukaingia Arusha Moshi sasa Tanga...safari inaendelea
 
Ni alfajiri nyingine tena kunapambazuka....
Kwanza kwa huzuni kubwa naomba nitoe pole nyingi kwa ndugu na jamaa wa mama aliyeuliwa kikatili usiku wa kuamkia jana kwenye uwanja wa transforma chalinze! Mpaka juzi saa tano usiku alikuwa hai nyumbani kwake (si mbali sana na eneo alipouliwa) lakini asubuhi ya jana alikutwa uwanjani hapo akiwa kafa kifo cha kikatili na mateso makubwa. .mwili unaonyesha alibakwa na watu zaidi ya wawili kuvunjwa mikono kunyongwa na hatimaye kutobolewa macho RIP [emoji144] [emoji24] [emoji25]
===============================
Tumejifunza katika masomo yaliyotangulia kuhusu mlango wa sita/mlango wa machale, mara nyingi ikija kama sauti ya kutoa tahadhari au moyo kupasua au kukosa pumzi kila ukikumbuka jambo husika! Ukiwa na fikra yakinifu lazima ubadili mawazo

Sasa huu mlango wa sita hutokea ukaunganisha familia kwa namna ya ajabu kabisa kupitia kwa mama watoto na hata baba mwenyewe
Ninapoandika haya muda huu kuna watu wako kwenye vituo mbalimbali vya usafiri wa majini angani na nchi kavu na wengine wanajiandaa kwenda huko
Ni katika ya watu hao kuna ambao kati yao

= usiku mzima alikuwa akiiwaza hii safari moyo unapiga paa/una shikamooo na kukosa amani
= mke au mume anakosa amani na kukushauri uahirishe safari na ukimuuliza kwanini anakwambia hajui
= mtoto/watoto wanaota ndoto za ajabu na kukusihi usisafiri au kama ni wadogo kulia bila sababu kila unapokaribia kutoka (kuna kule kumlilia mzazi lakini siku hiyo inakuwa tofauti )

Haya ni matukio ambayo kwa namna fulani yanakunyima amani moyoni..unajaribu kujiuliza bila jibu kuna kuna nini leo
Kuna kitu kinaitwa willpower, nguvu ya kutenda bila kujifahamu (ipo willpower ya kuamua kutenda pia, njia zote na ishara zote za kukutahadharisha kuwa uendako sio salama, na kama hiyo nguvu imeamua kukuepusha na janga linalokunyemelea yatatokea haya

= utasahau kufungasha kitu muhimu kitakachokulazimu urudi nyumbani kukichukua
= utaachwa na gari au itatokea dharura yoyote ya kukuchelewesha kufika kituo husika
= kwa sababu nyingine zozote zile utakosa kusafiri kwa kuachwa na chombo husika iwe ndege boat/meli au gari
Utakasirika sana na hata kugombana na aliyesababisha hiyo hali kama si mtu wa kutafakari. ..... ni mpaka pale utakapokuja kupata taarifa za kutisha kuhusu ajali ya chombo ulichotaka kusafiri nacho ndio litakupambazukia kuwa kwanini kulikuwa na mikwamo kiasi kile
9648c0451a37950a2bbe89da171d3ecd.jpg

Usipoisikiliza ile sauti! Usipotafakari ile mikwamo na ukalazimisha kwa kupingana na ile nguvu ya ndani basi unaenda kukutana na mustakabali wako
Haya mambo yapo na shuhuda ni nyingi mno...sikiliza waliokoka kusafiri na Mv Bukoba nk . utapata ushuhuda wa ajabu kabisa

Na hii si lazima iwe safari ya mbali kuna baadhi yetu mwisho wao waliuona kabisa . siku moja kabla unakuwa ni mtu wa mawazo na kukosa furaha bila kujua sababu ninini...ni mpaka litimie la kutimia ndio watu wataanza kusimulia

Ni muhimu sana kusikiliza sauti zinenazo ndani yetu zina ujumbe gani ...sauti ya ndani ni jicho la kiroho linaona mbele ya muda mavune yaliyokuzonga ndio yanazuia tu kukupa clear msg ya kile kinachotaka kukutokea... .. kabla ya kuchukua uamuzi wowote sikiliza sauti yako ya ndani..utaokoka na mengi
ni kweli tupu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom