Tahadhari TMA: Dar, Pwani, Tanga, Unguja, Pemba na Mafia kukumbwa na Mvua Kubwa leo

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,120
Kama mujibu wa taarifa hiyo ya Mamlaka ya Hali ya Hewa, wakazi wa maeneo tajwa wachukue tahadhari kwasababu Mvua hizo zinatarajiwa kunyesha kwa siku 3 kuanzia leo Oktoba 29, 2023.

TMA imeonya kuwa Mvua zinaweza kusababisha Mafuriko pamoja na kuharibu shughuli za Kiuchumi hivyo Wananchi waepuke kukaa maeneo yenye msongamano wa Watu, pia, wahifadhi mahitaji muhimu ndani.

Awali, TMA ulitabiri kuwa Tanzania inatarajia kukumbwa na Mvua za El Nino kuanzia Oktoba ambapo tayari Mikoa ya Tanga, Pemba na Unguja imeripotiwa kupata Mvua zinazozidi Milimita 50.
 
Kila Siku nasema HWa watu mimi kuwaamini Ni mpkaa siku wakisema Utabiri wa kweli...

Hapa nimewasha Feni kila sehemu nimelala uchi kwenye balcon lakini wapi ...
Kwani hawa wanazungumzia MIKOA IPI
Screenshot_20231029-152710.png

Screenshot_20231029-152641.png
 
Kila Siku nasema HWa watu mimi kuwaamini Ni mpkaa siku wakisema Utabiri wa kweli...

Hapa nimewasha Feni kila sehemu nimelala uchi kwenye balcon lakini wapi ...
Kwani hawa wanazungumzia MIKOA IPI
View attachment 2796849
View attachment 2796851
Ukiona hapo kwenye utabiri wa Weather wanasema Kunyesha ni 0%
Halafu watabiri wa Tanzania wanatuambia Mvua kubwa...
Sijui wanadhani bado tuko mwaka 80s au miaka ya 90s ya Ujima na kutokujua ......
Halooo hey hlw...
Tupo kwenye Technolojia ya science kila kitu kiko mtandaoni na Sattelite za weather ziko kibao
 
Kama mujibu wa taarifa hiyo ya Mamlaka ya Hali ya Hewa, wakazi wa maeneo tajwa wachukue tahadhari kwasababu Mvua hizo zinatarajiwa kunyesha kwa siku 3 kuanzia leo Oktoba 29, 2023.

TMA imeonya kuwa Mvua zinaweza kusababisha Mafuriko pamoja na kuharibu shughuli za Kiuchumi hivyo Wananchi waepuke kukaa maeneo yenye msongamano wa Watu, pia, wahifadhi mahitaji muhimu ndani.

Awali, TMA ulitabiri kuwa Tanzania inatarajia kukumbwa na Mvua za El Nino kuanzia Oktoba ambapo tayari Mikoa ya Tanga, Pemba na Unguja imeripotiwa kupata Mvua zinazozidi Milimita 50.
sasa hivi ni saa 11 jioni hakuna mvua..........waongo wakubwa wahedi
 
Wale wa Dar waliokuwa wanaleta dharau Kwa mamlaka ya Hali ya Hewani (TMA) kikowapi, Kwa mziki wa Jana na Leo itakuwa akili zimeenza kuwarudia, na kama uko bondeni ilikuwa unajufariji bado una muda wa kuhama. Elnino hutandika polepole ila Kwa muda mrefu hivyo maji hujaa chini ya ardhi na kusaambaa.

Tuendelee kuheshimu taaluma za watu.
 
Back
Top Bottom