BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,121
Mamlaka hiyo ya Hali ya Hali ya Hewa Tanzania imetoa tahadhari ya Mvua kubwa katika Maeneo ya Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Pwani, Lindi, Mtwara, Tanga na Visiwa vya Mafia, Unguja na Pemba
Kwa mujibu wa TMA, athari zinazoweza kujitokeza ni pamoja na baadhi ya Barabara kutopitika kutokana na Mafuriko pamoja na Vifo.
TMA imewataka Wananchi kuchukua hatua za tahadhari ili kuepuka athari hizo.