Ibrahimu Zuberi Mkondo
Member
- Sep 19, 2019
- 43
- 383
Msikitini sio sehemu ya kufanya upuzi kama mnavyo danganywa. Inaonekana wewe ni mtu mwenye chuki sana na uislaam, mada ilikuwa kuvaa kanzu na kuuza al kasusu nashangaa ghafla umeanza habari za uislaam na waislaam.Umewahi kuta mkristu amevaa kanzu anazunguka mtaani anayauza hayo makitu ya hovyo?
Waislamu ndio wahusika na watumiaji wakubwa, huenda ndio mnaoongoza kwa upungufu wa nguvu za kiume ndio maana mnabuni boosta mbalimbali kama hiyo
Hii huenda huwa mnatangaziwa msikitini muitumie kwa wingi
Hata ukikuta mkristo kavaa kanzu anauza al kasusu bado utasema ni muislaam ili hoja yako itimie. Kama ambavyo mnafundishwa mvae kanzu mkanunue nyama ya ngiruwe ili ionekane waislaam wana kula nguruwe
Sent using Jamii Forums mobile app

