Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

Sidhani kama wanaweka Viagra

Viagra kidonge kimoja cha 50mg ni 3000 cha 100mg ni 4000 sasa ataweka vingapi kwenye iyo alkasusu ili ikolee?
 
Hahah wewe ni yule muuza kasusu wa siku ile nini,naona lile tukio halijakutoka kichwani bado!!!

Ume-panic sana,but hii haitakupunguzia shida zako wala haitahalalisha uuze vilaji ktk mazingira machafu na mavazi yasiyo masafi badilika.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Upumbavu wako Wa kikafiri kukashifu dini yetu kwa madhaifu ya baadhi ya watu ndio yamenileta kukujibu pimbi wewe. Uislamu hauhusiki na hayo mavitu kuwa mstaarabu.
 
Daaah kwa hali hii tutaisha wengi sana..Maana Al kasusu imekuwa kama breakfast huku kitaa..Raia wanajidunga madozi ya kufariki mtu..
 
AL-KASUS NDIO HABARI YA MJINI KWA SASA
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Kweli kuna shida Tz. Pamoja na vyuma kukaza hivi bado mwanamume unawaza kuongeza nguvu ya kuvyata?? Dunia simama tu wengine tushuke. Hapa ninawaza namna ya kupata hela za ada ya mwanangu 1 tu aende shule nzuri nyiye mnawaza alkasusi. Poleni sana.
Kangi alifanya vyema kujichotea 10% yake kimya kimya
 
Upumbavu wako Wa kikafiri kukashifu dini yetu kwa madhaifu ya baadhi ya watu ndio yamenileta kukujibu pimbi wewe....uislamu hauhusiki na hayo mavitu kuwa mstaarabu.

Nonsense!!!

Shida yenu kukurupuka na kuongea lugha za kuudhi ili kuhamisha mjadala ila hakuna nilipokashifu dini ya mtu wewe ndiye unaejistukia onyesha ktk post zangu nilipotaja dini na kama unahisi dini yako kila saa inakashifiwa kashike bunduki.

Sawa nimekubali mimi mpumbavu,pimbi ila kaffir ni nyanya yako aliyeko kaburini na ukiingia tena rodi na thermos zako za kasusu kumbuka kuwa msafi na ukikutana tena na mimi lazima nikupe lessons za kufanya biashara ya vyakula kama utakuwa hujabadilika,hatuwezi kama jamii tukaacha watu wauze vyakula ktk mazingira machafu tukaacha kuwakemea eti kisa kuna dini itakashifiwa.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kuna mmoja nilimuuliza akaishia kuniambia “wewe kaffir unajua nini wewe?” na mimi kwa hasira nikawahamasisha wale waliomwita,{ni jamaa zangu} wafikirie kuhusu afya zao kwanza hizo chai sijui kasusu wanazokunywa wanajua zinavyoandaliwa?pia ushikaji wa tule tukombe twake muuzaji anavishika shika kila wakati huku maji ya kunawa mikono yake hana wanauchukuliaje?

Hakuna hata mmoja aliyenunua zaidi walimwambia aondoke nakumbuka jamaa alinipiga jicho moja matata nami nikamwambia akajifunze usafi

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
😂atakushughulikia
 
Back
Top Bottom