TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,206
- 25,399
Nilinunua dawa flani ya kienyeji pale darajani unguja nikaenda nayo Dar, mchana wakati wa kunywa jamaa zangu wakaanza kugombea niwape eti ma wao wanywe, niliwaambia ni dawa ya tumbo hawakutaka kunielewa.
Wao walihisi ni booster a.k.a Viagra, yaani wanaumme wenzangu kwa sasa wana shida.
Wao walihisi ni booster a.k.a Viagra, yaani wanaumme wenzangu kwa sasa wana shida.
Longolongo tu,nguvu za kiume ni jinsi unavyoi-tune akili yako.ukihisi kushindwa utashindwa kweli ukihisi kushinda utashinda kweli hao wanawauzia maji tu ni vile wabongo kuamini kila kitu ni dawa na kila kitu ni maradhi ndo maana wanawapiga changa huku wakijiona.