kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,335
- 7,746
Tito ni mkristo usidanganye watu na anahubiri kupitia bibilia. Je vazi la kanzu ndio uislamu? Naona hata Papa ana kanzu na kiuaTito hana impact yoyote kwa ukristu inafahamika wazi kua ni chizi na shoga mzoefu so automatically hana element zozote za ukristu
Sent using Jamii Forums mobile app
