Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

MUNGU wa wakristo ni tofauti kabisa na mungu wa waislamu, usimlinganishe MUNGU na lile jiwe la makka

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah habari za Mungu hakuna anaezijua kwa asilimia mia wakuu,mjifunze kupunguza kashfa kwa dini za watu.Unajua kabisa waislamu wanamwabudu Allah,Wakristo Jehova/Yahweh kadhalika Wayahudi ambao pia humwita Ellohim na wanavyotamka ina sound kama Allah. Muislamu na Mkristo kutukanana ni kama kuta za makalio na kinyeo(situkani natoa mfano wa hasira) harufu ya mzigo unaopita pale ni ile ile,cuz wote vitabu vyao ni almost vile vile.Halafu ni aibu sana kwa watu wa Afrika kugombea au kubishania dini wakati kwetu ni mapokeo tu.

Tuamkeni! Mwislamu na Mkristo wakitukanana sisi ma "monk" tunawashangaa sana cuz ni two sides of the same coin kama ukristo ni uongo basi na uislamu ni uongo and vice versa.Quran ina contents kibao za bible ni kama imefanya deduction,na quran na bible zote zimeandikwa na kuwa compiled na watu habari za kushushwa na kupatikana kwa njia ya ufunuo wa roho mtakatifu ni dhana tu,at the end watu waliandika wakajadiliana na kubishana waweke kipi waache kipi.Halafu mbaya zaidi kwetu zote hizi zilisapoti utumwa, na mpaka leo zinachochea ubaguzi.
 
Dah habari za Mungu hakuna anaezijua kwa asilimia mia wakuu,mjifunze kupunguza kashfa kwa dini za watu.Unajua kabisa waislamu wanamwabudu Allah,Wakristo Jehova/Yahweh kadhalika Wayahudi ambao pia humwita Ellohim na wanavyotamka ina sound kama Allah.Muislamu na Mkristo kutukanana ni kama kuta za makalio na kinyeo(situkani natoa mfano wa hasira) harufu ya mzigo unaopita pale ni ile ile,cuz wote vitabu vyao ni almost vile vile.

Halafu ni aibu sana kwa watu wa Afrika kugombea au kubishania dini wakati kwetu ni mapokeo tu.Tuamkeni!!!Mwislamu na Mkristo wakitukanana sisi ma "monk" tunawashangaa sana cuz ni two sides of the same coin kama ukristo ni uongo basi na uislamu ni uongo and vice versa.Quran ina contents kibao za bible ni kama imefanya deduction,na quran na bible zote zimeandikwa na kuwa compiled na watu habari za kushushwa na kupatikana kwa njia ya ufunuo wa roho mtakatifu ni dhana tu,at the end watu waliandika wakajadiliana na kubishana waweke kipi waache kipi.Halafu mbaya zaidi kwetu zote hizi zilisapoti utumwa, na mpaka leo zinachochea ubaguzi
Mbaya zaidi Wakristo wengi hawaujui Biblia wala Quran.

Wanajua mapokeo ya dini zao ambayo yapo nje ya Biblia.

Wakoloni ni watu hatari sana. Walipokuja waarabu walihamasisha mila zao na kuacha kuhamasisha Watu kumjua Mungu Muumba na kuwa na Imani thabiti na inayohamasisha Upendo na Ukweli na Usawa kwa wote na kuacha dhulma.

Halikadhalika Walipokuja Wazungu waliacha kuhubiri Ukweli ulioko ndani ya Biblia na wakaanza kuhubiri na kufundisha mila zao ambazo ni potofu kuliko hata za Kiarabu na kiyahudi.

Wazungu wakafanikiwa kumtengeneza Yesu wa Ulaya na kumwacha Yesu wa Kiyahudi aliyekulua Mashariki ya kati na kuabudu na kuamini Mungu mmoja tu aliyeumba vyote kama watu waashariki ya kati. Wazungu wakafundisha mpaka kusujudia na kuheshimu Masanamu kama walivyopokea toka kwa Wazungu.

Waislam wengi wanojitambua hawana Muda wa kuidharau wala kuikashifu mana wanajua kuwa Yaliyomo Humo hasa Tourati ,Zaburi na Injili ni maagizo toka kwa Mwenyezi Mungu.

Nakuunga mkono kuwa Tusibaguene kwa sababu ya Mapokeo ya Dini na madhehebu yetu ambayo mengi yalianzishwa kama Taasisi za watu kama ilivyo leo taasisi za Bonifasi Mwamposa Buludoza lililopita kwenye Lami lkaharibu Barabara.

Mkristo na Muislam Mungu wao ni mmoja ,Mungu wa Ibrahim ambaye aliumba vitu vyote . Yaye pekee Hakuumbwa Bali ni muumbaji wa vyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
drilling, Kuchanganya na unga wa Viagra ni uongo mkuu kwa faida gani wanayo ipata na garama ya kidonge cha Viagra ni shi ngap na wanaweka vidonge vingapi ukipata jibu hilo ndio urudi hapa uthibitishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As long as mtu hukuzaliwa na tatizo na unakula fresh,upungufu wa nguvu za kiume ni akili tu..
Mkuu, nakazia hapa.

Ule chipsi, ugali, wali n.k ila ukawa unakula milo si chini ya 3 na akili yako ipo imetulia kabisa, basi utainjoy sex.

Mimi naamini katika mtu kupata mlo vizuri na kucheza na akili yake tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fahamu kwamba hadi mwaka 2018 wanawake nchini Iran walikuwa hawaruhusiwi kuangalia mpira,wanawake nchini Saudia Arabia walikuwa hawaruhusiwi kuendesha magari. Hadi sasa wanawake nchini Saudia Arabia wakienda kutembea wanapaswa kuwa na kibali cha mwanaume(hata kama hawajaolewa),nchini Misri,Somalia na Sudan ukeketaji wa wanawake bado ni jambo la kawaida na hayo yote ni mataifa ya Kiislamu rasmi au yenye idadi kubwa ya waislamu.

Tatizo lingine wengi wenu mna akili finyu za kupenda kuelekezwa kila kitu,Magharibi hakuna hayo mambo,kila mtu anakuwa huru jinsi binadamu anavyopaswa kuwa ndio maana kuna watu wengi hata kutoka huko uarabuni(ambako hawatamaniani) wanakimbilia Ulaya,Marekani na Australia kufurahia maisha na kanzu,hijab na niqab zao bila kusumbuliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama hujui uliza ukeketeji hausiani na imani ya kiislamu ingekua hivo hapa kwetu tungeeona maeneo kama zanzibar na au mikoa ya pwani ingekua na matukio ya ukeketaji lakini badala yake kwetu tatizo laukeketaji linapatikana mikoa ambayo wasilamu ni wachache.
 
Kuna mmoja nilimuuliza akaishia kuniambia “wewe kaffir unajua nini wewe?” na mimi kwa hasira nikawahamasisha wale waliomwita, {ni jamaa zangu} wafikirie kuhusu afya zao kwanza hizo chai sijui kasusu wanazokunywa wanajua zinavyoandaliwa? Pia, ushikaji wa tule tukombe twake muuzaji anavishika shika kila wakati huku maji ya kunawa mikono yake hana wanauchukuliaje?

Hakuna hata mmoja aliyenunua zaidi walimwambia aondoke, nakumbuka jamaa alinipiga jicho moja matata nami nikamwambia akajifunze usafi.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Bold.......Hichi Kiswahili au Kirundi/kinyaruanda?
 
Kama hujui uliza ukeketeji hausiani na imani ya kiislamu ingekua hivo hapa kwetu tungeeona maeneo kama zanzibar na au mikoa ya pwani ingekua na matukio ya ukeketaji lakini badala yake kwetu tatizo laukeketaji linapatikana mikoa ambayo wasilamu ni wachache.
Kama Singida eti?
 
Napenda niwaombe Watanzania kinywaji cha al kasusi ni hatari kwa afya yako hasa upande wa high blood pressure. Al kasus hii sio hiyo wanayoitumia Waarabu, ladha tofauti kabisa.

Wauzaji wa al-kasus wamejificha kwenye kuvaa kanzu ili unapomuona kavaa kanzu una uhakika na imani na unachokunywa, kumbe tofauti kabisa.

Vitu wanavyochanganya Mungu anajua. Wanaweka maziwa kuongeza harufu nzuri na ladha.

Al kasusi Waarabu wanaitengeneza bila maziwa na bila kahawa yenyewe kama yenyewe na nilikuwa nakunywa sana Dubai.

Hapa Tanzania nimejaribu kunywa jana matokeo yake nikajiona siyo kawaida nikachukua mashine ya kupima presha nikakuta inasoma sys 185/110.

Jihadharini. Kuna baadhi ya watu nimewauliza wanasema wanahisi wanachanganya na unga wa viagra ili kupata wateja. Viagra imeua watu wengi sana na wengine ni wagonjwa wa moyo.
kwanza naomba nikurekebishe...
Hii ya Tanzania inaitwa ANKASUS na sio AL-KASUS kama walivyozoea wengi kuiita... Na ile ya Arabuni Pia haiitwi ALKASUS bali inaitwa ARQASUS..
ANKASUS(tz) na ARQASUS(arab) ni vitu viwili tofauti.. Binafsi sijawahi kunywa ARQASUS lakini naifaham kijuujuu tu kupitia mtandao. Lakini ANKASUS naifaham ..
ANKASUS : in simple language we can call it "SPICED/HERBAL COFFEE". kwahiyo ANKASUS ni kahawa na ndo maana inapandisha presha, japokuwa upandishaji wake wa presha ni tofauti na kahawa nyeusi kwa sababu ANKASUS imechanganywa na viungo vinavyopunguza makali ya kahawa..
Kuna watu wanadhani ANKASUS inatiwa VIAGRA ..!! Noo Nooo NOOOO!
Kama kuna muhalifu anaweka vagra ni yeye kama yeye na akigundulika hatua za kisheria zinatakiwa kufuatwa..
ANKASUS is composed of coffee and some spices like cloves ,cinnamon, ginger, black pepper, black seeds(habbatsoda) etc
 
Hichi kinywaji Nilikunywa na nikaapa sitorudia tena. Mapigo ya moyo yalikuwa juu sana pia nikawa siwezi kutulia kisebusebu cha uhakika. Usiku kucha niliteseka, niliona ndio mwisho wangu . Asubuhi ilipofika nilishukuru Mungu. Kahawa nakunywa hata vikombe viwili na Sina shida ila kwa hii, Aisee ni ishu nyingine.
 
Back
Top Bottom