Tahadhari: Mzee wa Msoga kuna siku utazomewa

Tahadhari: Mzee wa Msoga kuna siku utazomewa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,144
Reaction score
162,542
Naomba nikwambie kuwa ukiendelea na hii tabia yako ya kupuuza maoni na matakwa ya wengi, kuna siku utakuja kupingwa kwa kuzomewa hadharani na heshima yako itashuka vibaya sana.

Mwaka 2015 ulipindua matakwa ya wanachama wenzako kwa kumpiga chini Marehemu Mzee wa watu na safari hii unafanya yale yale kwa kuwaletea wenzako mgombea wasie mtaka(asietakiwa na wengi) huku ukikiri wazi kuwa mnakosea(kumbuka kukosea ni kukosea tu na hakuna kukosea kidogo kama ulivyosema).

Mzee wangu, tambua unaheshimiwa kwa nafasi kubwa uliowahi kushika katika hii nchi na si vinginevyo. Hivyo, usipojirekebisha, watu hawataendelea kukuvumilia na kuna siku utazomewa iwe ni ukumbini au katika eneo la wazi.

Kwa nafasi yako, unapaswa kuwa mshauri bora kwa chama chako na kwa nchi yako kama alivyokuwa Hayati Mwalimu Nyerere baada ya kustaafu ambapo alikuwa anashauri na kukemea hata hadharani inapobidi.

Nimemaliza.
 
Naomba nikwambie kuwa ukiendelea na hii tabia yako ya kupuuza maoni na matakwa ya wengi, kuna siku utakuja kupingwa kwa kuzomewa na heshima yako itashuka vibaya sana.

Mwaka 2015 ulipindua matakwa ya wanachama wenzako kwa kumpiga chini Marehemu Mzee wa watu na safari hii unafanya yale yale kwa kuwaletea wenzako mgombea wasie mtaka(asietakiwa na wengi) huku ukikiri wazi kuwa unakosea(kumbuka kukosea ni kukosea tu na hakuna kukosea kidogo kama ulivyosema).

Mzee wangui, tambua unaheshimiwa kwa nafasi kubwa uliowahi kushika katika hii nchi na si vinginevyo., ila usijirekebisha, watu hawataendelea kukuvumilia na kuna siku utazomewa iwe ni ukumbini au katika eneo la wazi.

Kwa nafsi yako, unapaswa kuwa mshauri bora kwa chama chako na kwa nchi yako kama alivyokuwa Hayati Mwalimu Nyerere baada ya kustaafu ambapo alikuwa anashauri na kukemea hata hadharani inapobidi.

Nimemaliza.
Yatakuwa marudio wengine tushamzomea kitambo since 2011 tukiwa pale UD
 
Naomba nikwambie kuwa ukiendelea na hii tabia yako ya kupuuza maoni na matakwa ya wengi, kuna siku utakuja kupingwa kwa kuzomewa na heshima yako itashuka vibaya sana.

Mwaka 2015 ulipindua matakwa ya wanachama wenzako kwa kumpiga chini Marehemu Mzee wa watu na safari hii unafanya yale yale kwa kuwaletea wenzako mgombea wasie mtaka(asietakiwa na wengi) huku ukikiri wazi kuwa unakosea(kumbuka kukosea ni kukosea tu na hakuna kukosea kidogo kama ulivyosema).

Mzee wangui, tambua unaheshimiwa kwa nafasi kubwa uliowahi kushika katika hii nchi na si vinginevyo., ila usijirekebisha, watu hawataendelea kukuvumilia na kuna siku utazomewa iwe ni ukumbini au katika eneo la wazi.

Kwa nafsi yako, unapaswa kuwa mshauri bora kwa chama chako na kwa nchi yako kama alivyokuwa Hayati Mwalimu Nyerere baada ya kustaafu ambapo alikuwa anashauri na kukemea hata hadharani inapobidi.

Nimemaliza.
Tangu lini maoni kama haya akayatia maanani ??!
Unamjua au unamsikia tu ?!!

Utasubiri sana !
NIMEMALIZA 😳 !
 
Familia ile ina uroho hatari. Baba alikuwa mtu wa madili na anakula pensheni na marupurupu ya kila aina. Mke wake ni mbunge. Kama hiyo haitoshi akapeleka muswada bungeni wenza wa viongozi walipwe mafao sawa na wake/waume zao waliostaafu. Muswada ukapitishwa na sasa analipwa mamilioni kila mwezi pamoja na hela zake za ubunge. Mtoto naye ni mbunge na waziri; na anaandaliwa kuwa rais ajaye. Baba bado ameshikilia remote kila siku front page na kuwakilisha taifa ndani na nje madili yote anapiga.

Siku akianguka watu wengi wanaoipenda nchi hii watashangilia sana maana angalau kutakuwa na matumaini kwa Tanganyika na watu wake. As long as he is alive, there is no hope for Tanzagiza. Sema tu "wema" huwa hawafi (mapema)!😡😡😡
 
"Akili za mbayuwayu"
Huyu aliwahi kuwa Rais pale UDSM, Waziri wa fedha, waziri wa nishati na madini, Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, halafu RAIS wa Tanzania.

Hivyo vyote ni vyeo vidogo sana alivyowahi kushika huyo mwamba, ila ana cheo kingine kikubwa sana.

kwaherini Damascus, safarini Rostov - Russia.
 
Naomba nikwambie kuwa ukiendelea na hii tabia yako ya kupuuza maoni na matakwa ya wengi, kuna siku utakuja kupingwa kwa kuzomewa na heshima yako itashuka vibaya sana.

Mwaka 2015 ulipindua matakwa ya wanachama wenzako kwa kumpiga chini Marehemu Mzee wa watu na safari hii unafanya yale yale kwa kuwaletea wenzako mgombea wasie mtaka(asietakiwa na wengi) huku ukikiri wazi kuwa unakosea(kumbuka kukosea ni kukosea tu na hakuna kukosea kidogo kama ulivyosema).

Mzee wangui, tambua unaheshimiwa kwa nafasi kubwa uliowahi kushika katika hii nchi na si vinginevyo., ila usijirekebisha, watu hawataendelea kukuvumilia na kuna siku utazomewa iwe ni ukumbini au katika eneo la wazi.

Kwa nafsi yako, unapaswa kuwa mshauri bora kwa chama chako na kwa nchi yako kama alivyokuwa Hayati Mwalimu Nyerere baada ya kustaafu ambapo alikuwa anashauri na kukemea hata hadharani inapobidi.

Nimemaliza.
Wewe liache! Wala siyo kuzomewa tu bali ni kupigwa mawe kabisa! Zee limekuwa pumbavu sana sijui kwa nini bwana!
 
Back
Top Bottom