Baada ya muda mliopewa kwisha jana tarehe 30/11/2020, na ujenzi kutokukamilika bado unaendelea japo kuwa nje ya agizo la Mh. Rais.
Ushauri wangu ni kuwa msilipue kazi bora kuomba muongezwe muda kuliko ku-force halafu mwishowe mkaharibu au ubora ukapotea.
Hiyo ni stendi ya kimataifa ni sawa tu na uwanja wa ndege wa kimataifa maaana ni stendi inayo hudumia mataifa mbalimbali hivyo umakini an ubora ni jambo la kuzingatia, isiwe bora tu kumaliza bali tuone thamani ya fedha zilizotolewa.
KAZI inaendelea.
Ushauri wangu ni kuwa msilipue kazi bora kuomba muongezwe muda kuliko ku-force halafu mwishowe mkaharibu au ubora ukapotea.
Hiyo ni stendi ya kimataifa ni sawa tu na uwanja wa ndege wa kimataifa maaana ni stendi inayo hudumia mataifa mbalimbali hivyo umakini an ubora ni jambo la kuzingatia, isiwe bora tu kumaliza bali tuone thamani ya fedha zilizotolewa.
KAZI inaendelea.