bahati nzuri dr slaa ni mtumishi wa mungu kwa cheo cha upadri na ni mtu anayejua nini maana ya siri na nini maana ya kutunza siri.
Gwajima naye ni mtumishi wa mungu mwenye cheo cha uasikofu kama ilivyo kwa dr slaa naye ana jua siri ni nini na namna ya kutunza siri.
Kwa pamoja wote ni watumishi wa mungu wanaopaswa kutunziana siri pamoja na siri za watu wengine.
Kama kuna mtumishi mmoja kaamuwa kumwaga ugali hadharani,mwenzake kajibu kwa kumwaga mboga hadharani,huyu mtumishi wa pili aliyejibu kwa kumwaga mboga hadharani ana laumiwa kwa kosa gani?.
gwajima ni kiumbe sio mwanadamu wa kawaida.... Muulizeni mshirika wake wa mwanzo anaitwa baba god yupo mwanza karibu na miti mirefu... Kitu kingine ambacho mkijue jamaaa ni agent wa kusambaza sembe kimataifa.... Yeye na mgombea urais wake wana link ya kimataifa kwenye mambo ya sembe