watu wengine ubongo wao umeoza kwa udini, yaani mtu analalamika katoa pesa yake kanywa uchafu, mwingine anakuja kuleta sababu za udini,mijitu mingine bwana sijui ina kuwaga vipi?hii ndiyo kila watoto wao wakifeli shule inasema wameonewa ata kama watoto hamna kitu kichwani