Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,606
- 93,331
Unatudanganya, hivi unaelewa postmortem ni nini?Aise bac azam kuna tatizo hapa mtoni mtongani kuna mtoto wa shule ya msingi kama miaka 6hv amefariki kwa kunywa juice ya azama zile nyeusi ndani,alilia asubuhi akapewa hela kaenda nunua, gafla akaanza kulia tukaona ni tatizo kufika muhimbili akawa hoisana akafariki,tukarudi nyumbani tukachukua juice walivyoipima wakasema ina kemikali hatari kwa afya,ndio imemuua,nikasema nitakwepa bidhaa zote za azam,c juice wala maji ctaki tena,KUWENI MAKINI.