Mkuu kwenye issue kama hizi ni vema ukiambatanisha na picha maana ukileta bla bla kama hizo tunahisi kwamba lengo lako ni kuvuruga biashara ya SSB,mie ni mtumiaji mzuri sana wa bidhaa zake sijawahi ona kosa au hayo mambo,weka picha tuone hayo mauchafu....[/QUOTE
MIMI ILINITOKEA DOM NIKAPOTEZEA SAS NIMESHTUKA!